Ulishawahi kupigwa faini kwa kumzalisha au kumpa mimba binti kabla ya ndoa? Kama ndio hebu tupe ushuhuda

Ulishawahi kupigwa faini kwa kumzalisha au kumpa mimba binti kabla ya ndoa? Kama ndio hebu tupe ushuhuda

Kimenikuta hiko...nilimzalisha bint mmoja hv..sasa mtoto akiwa na miez 3 akanambia mama ake mzaz anahitaj anione(anakaa na mama ake,mzee ashatangulia mbele za haki)..nikafunga safari nikaenda..kufika kumbe kilikuwa kikao bhana..yupo ba mkubwa sijui shangaz na ndugu wengine..jumla kama 7 hv

Nikawekwa kikaangoni...msemaji wa familia(ba mkubwa) akazungumza weeee mwisho wa siku Faini ikawa milion 2.5

1 milion ya kumgomboa mtoto
1.5 ya kumzalisha mwanao nje ya ndoa

Walivyomaliza kuongea nikauliza maswali 2 tu yaliyowafanya wabak wanatoa macho

Kwanza niliwauliza,hiyo faini ipo kisheria?au wamejitamkia?nchi inaongozwa na sheria,kama hyo sheria ipo ntalipa kama haipo SILIPI hata sumni

Pili nikawauliza,binti yenu ana miaka chini ya 18?si mtu mzima 28 years?nilimbaka?si aliridhia mwenyewe kushika mimba?kwa nn nilipe wakati mtoto ni wetu?

Mwisho wa siku mtoto anakaa kwa mama ake..kumuona namuona..kwangu anakuja na ubin anatumia wangu...kwisha habari
wewe ndio umeonesha msimamo
salute kwako
 
Ilikuwa mwaka 2015 life after Chuo hapo sina ajira wala mishe ya kueleweka ya kuniingiziamtoto mmoja WA kichaga nilipigwa faini ya milioni moja kwa kumzalisha binti ilikuwa hatari.
  • 500,000 faini ya kumzalisha Mtoto wao.
  • 500,000 kumgomboa Mtoto dah.
Kilichotokea after niliaga ntarudi hadi leo hii kimya nikajaga kusikia kuna jamaa alimuoga binti akiwa singo mazaa na mtoto jina anatumia ubini wa Mshikaji.
Sitasahau nilimpiga mimba binti, nilipoona mizinguo nikamshauri tukaitoe.

Akalia saana na kunambia kwake hii mimba ni zari la mentari kwasababu ukoo wao wana tatizo la kutopata watoto.

Nilipojifanya kauzu nikapelekwa Ustawi wa Jamii! Duh!
Nilipigwa bonge la fine ya kila mwezi, na siku moja nikafuatwa na polisi kazini kwangu wakaweka mkazo, nilishika adabu. Maana walinambia nashawishi mauaji.

Baada ya dogo kuzaliwa akawa kidume photocopy yangu. Niliwaza mengi sana!!!!!
Nilijikuta naongeza dau mwenyewe.

Now, dogo ana 4 yrs, huwa nikienda kumcheck kwa mamake namshukuru Mungu, japo kwa siku zile niliona napitia magumu.
 
Ilikuwa mwaka 2015 life after Chuo hapo sina ajira wala mishe ya kueleweka ya kuniingiziamtoto mmoja WA kichaga nilipigwa faini ya milioni moja kwa kumzalisha binti ilikuwa hatari.
  • 500,000 faini ya kumzalisha Mtoto wao.
  • 500,000 kumgomboa Mtoto dah.
Kilichotokea after niliaga ntarudi hadi leo hii kimya nikajaga kusikia kuna jamaa alimuoga binti akiwa singo mazaa na mtoto jina anatumia ubini wa Mshikaji.
mi nasubiria awamu yangu ,najiandaa huko UCHAGANI nikapigwe faini
 
Iliwahi nitokea nilipigwa faini ya mbuzi watatu kila mbuzi 50,000 nikalipa 150,000 maisha yakaendelea mtoto wangu na mamake tunafamilia sasa
kama ni mimi,aisee hao mbuzi tutawala wote,yaani wachome nyama mimi ntaongezea bia za baridiii.... si ndiyo maana ya kutuunganisha au??
 
Kuhusu mtoto familia imegoma kunipa mpka siku nitakapo kamilisha taratibu hela ya faini na kugomboa Mtoto na sasa hivi kiwango nimeongezewa kugomboa Mtoto inahitajika milioni 3 since sikufanya matunzo yoyote yalee

Najipanga mwakani nikamilishe hatua zote nipate million 3 yao na milioni moja iko palepale
hahahaahahahaha....pole mkuu
 
Halafu akipeleka hiyo pesa lazima alete mbuzi wa kuchinja, wa bibi yake na babu wa mtoto; kesho yake wanachinja mbuzi wa babu yake binti, etc yote hiyo mila ya kula nyama na kunwa mbege kwa kisingizio cha MILA. Bado Komba kyaruu
tufahamiane,uchagani wapi huko??? hahaha
 
Kimenikuta hiko...nilimzalisha bint mmoja hv..sasa mtoto akiwa na miez 3 akanambia mama ake mzaz anahitaj anione(anakaa na mama ake,mzee ashatangulia mbele za haki)..nikafunga safari nikaenda..kufika kumbe kilikuwa kikao bhana..yupo ba mkubwa sijui shangaz na ndugu wengine..jumla kama 7 hv

Nikawekwa kikaangoni...msemaji wa familia(ba mkubwa) akazungumza weeee mwisho wa siku Faini ikawa milion 2.5

1 milion ya kumgomboa mtoto
1.5 ya kumzalisha mwanao nje ya ndoa

Walivyomaliza kuongea nikauliza maswali 2 tu yaliyowafanya wabak wanatoa macho

Kwanza niliwauliza,hiyo faini ipo kisheria?au wamejitamkia?nchi inaongozwa na sheria,kama hyo sheria ipo ntalipa kama haipo SILIPI hata sumni

Pili nikawauliza,binti yenu ana miaka chini ya 18?si mtu mzima 28 years?nilimbaka?si aliridhia mwenyewe kushika mimba?kwa nn nilipe wakati mtoto ni wetu?

Mwisho wa siku mtoto anakaa kwa mama ake..kumuona namuona..kwangu anakuja na ubin anatumia wangu...kwisha habari
Aacha uduanzi mila na sheria za nchi ni vitu 2 tofauti
 
Back
Top Bottom