Ulishawahi kupitia changamoto kama hii?

Ulishawahi kupitia changamoto kama hii?

Not nonsense but Kuna kityu ambacho people uwa wajagundua about Medical people most uwa si waandishi wazuri but not all so am sorry for miss taken
kityu

Yaani pamoja na wadau kukwambia kote uko kuhusu uandishi wako bado unaandika utopolo tu.
Eti "kityu"[emoji848]
 
Habari za mda huu Wana fj.?
mimi mdogo wenu katik ujenzi wa Taifa lakini pia ni mgeni katika jukwaa Lini nimeandika ivi kuomba ushauri na kujua ni vipi ww ulikabiliana nalo ili tatizo!
Nipo chuo kikuu kwa Jina (naomba niifadhi) nasomea udaktari/MD lakini ivi juzi Kati Kuna mambo yalitokea kiukwel nimekuwa mtu wa mawazo sana kwasababu
nimerudia semister chuoni ila tatizo ni kwamba Kuna daktar ambaye kwa kweli alinifelisha kwenye somo La clinical na kunipa 35% makusudi kabisa ila theory nilikuwa na A ya 85% ila sasa kama mnavotambua kwa masomo yetyu ya afya lazima ufaulu kote at least 50% ndo pass marks. ila daktar uyo alinifelisha pasina kujua tatizo. Changamoto kubwa I nakuj kweny kurudia somo moja (paedtric), kwanza sikubahatika kupata mkopo wala sponsorship, wazazi ndo wananipa support na kwa wale mliopitia chuoni nadhan ugumu mnaujua,
kwa Sasa nimebakiza mwaka mmoja nitimu masomo angu kwa kwelii chuoni najituma kwenye kusoma ata Kuna wakati silali ata masomo mengine almost masomo yangu yote Nina A na sijawahi kupata C tangu niingie chuoni kabisa yaan ,
Sasa nimeamua kurudia ivo kwa kuwa mpini kashika yeye na mm makali lazima niumie. Nikijifanya niko juu au Kuja juu nitaumia mm na still na malengo makubwa.
kinachonipa matumaini nikuwa principal wa chuo aliona matokea angu nakuzungumzia swala Hilo nakunipa pole ila kaniahidi kuwa atalisimamia next exam clinical isitokee hivo.,
maana Kuna uwonevu ndani ake maana walijadiliana wenyewe maana clinical exam kufel ni ngumu sana.
Swali langu ni je ww ulishawahi kukutana na changamoto kama hii na nini mwisho wake ilikuwa je ?
Samahanini lakini kwa uwandishi mpovu, mtanisamehe kwa hilo
niwatakie ujenzi mwema ktk Taifa.
Daaaah!!! Daktari thamani yako inatakiwa ianzie kwenye maandishi yako.. Mpangilio wa mwandiko ni a very proxy measure of your capabilities.

Pole sana!
 
Kama kweli ni MD hii ni hatari maana kama uandishi huu hapa kidogo unakushinda je History taking utaweza kweli kupangilia vzr ?
 
Kama kweli ni MD hii ni hatari maana kama uandishi huu hapa kidogo unakushinda je History taking utaweza kweli kupangilia vzr ?
Tunaangamia mkuu

Kuna sehemu tulikosea... Ombwe kubwa

Hawa madogo ni wale waliokua secondary miaka Ile

Tuna kazi kubwa sana
 
Pole young man.

Hope all will turn out just right.

Ila je ikawa ndo gear Yako ya kutafuta tudem humu ndani?

Eti unajimwambafy na ka sredi ka udoctor Ili baadae utulie sredi Love Connect?🤣

Manake tudada nato tunayumbishwaga na ishu za ajabu mnooo.
 
Tunaangamia mkuu

Kuna sehemu tulikosea... Ombwe kubwa

Hawa madogo ni wale waliokua secondary miaka Ile

Tuna kazi kubwa sana
Kwa uandishi huu hatoboi hata kidogo intern maana wanakuwa wanaandika sana je ataweza huyu kupangilia vzr history ya mgonjwa physical exm diagnosis mpk management kweli tena usiombe kwenye surgery na obs and gyn panakera atleast medicine na paed
 
Huwezi kuwa medical doctor,rather unasoma clinical medicine, hata hivyo jibidiishe Sana kwani uwezo wako ni mdogo sana, japo unamlaumu daktari ila ukweli wewe uko chini sana.
Pambana na changamoto zako usije tuulia watanzania huko utakakoenda kutibia.

Sijajua tuna changamoto ya walimu au ufahamu wa hiki kizazi una shida.
Watu mnapima usmart wa mtu kwa mwandiko wake aisee 😂😂
 
kityu

Yaani pamoja na wadau kukwambia kote uko kuhusu uandishi wako bado unaandika utopolo tu.
Eti "kityu"[emoji848]
Siwezi kumlaumu huyu dogo about mwandiko Ina depend na watu anao interact nao Mara kwa Mara hasa Hawa wa kizazi kipya .. ma group yao ya shule from o level usikute Wana chat hivo na wanaona it is okay

Alichofeli ni clinical , I know about it na shida ya walimu wa bongo

Tusimwongeze mawazo
 
Kama kweli ni MD hii ni hatari maana kama uandishi huu hapa kidogo unakushinda je History taking utaweza kweli kupangilia vzr ?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Yeah kwa sababu ile iko systematic from demographic data up to management then follow up but Nita improve wadau [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Yeah kwa sababu ile iko systematic from demographic data up to management then follow up but Nita improve wadau [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wewe huwezi kuwa MD kwakuwa upo rafu sana
 
Pole young man.

Hope all will turn out just right.

Ila je ikawa ndo gear Yako ya kutafuta tudem humu ndani?

Eti unajimwambafy na ka sredi ka udoctor Ili baadae utulie sredi Love Connect?[emoji1787]

Manake tudada nato tunayumbishwaga na ishu za ajabu mnooo.
[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848] Not yet bcoz kwa this time mi team baharia
Hope u got me karucee
 
Kwa uandishi huu hatoboi hata kidogo intern maana wanakuwa wanaandika sana je ataweza huyu kupangilia vzr history ya mgonjwa physical exm diagnosis mpk management kweli tena usiombe kwenye surgery na obs and gyn panakera atleast medicine na paed
Uko kote nimepita uzuri Tena na good marks joh na nilixhikwa kwenye pediatric clinical so apo ndo ilikuwa changamoto bcoz theory I got A Safi ila Clinical Sasa ikawa tatizo
 
Watu mnapima usmart wa mtu kwa mwandiko wake aisee [emoji23][emoji23]
Thanks Baba swalehe wajui kuwa are two things different kabisa . Ndo Maan si kila proffesser ni mwandishi wengine are just examiners
 
Tatizo sio mwandiko,tuanzie hapa kwanza

Unasoma chuo gani daktari mtarajiwa
 
Back
Top Bottom