Ukweli ulikuja kujulikana baadae sana, after demu alipojifungua. Sasa imagine hapo kati maisha yalikuwaje.Ila mwisho wa siku ukweli si ulijulikana mkuu??
Wewe una cha kuongezea kidogo hapa mkuu. Vp kuhusu gharama zake kwa wenzetu Kenya?Kenya hawana ubabaishaji Kama huku,Nyoa mtoto chukua nywele ya mtoto Kama sample nenda Kenya uhakiki Kama ni wako, utakavyo amua kumwambia mama mtoto au ukae nae moyoni.Mimi nilikiwa na mashaka nilivuka border nikajua ukweli. Lkn inahitaji moyo wakati wa kupokea majibu Kam ulihusika kwenye malezi moja kwa moja.
Ukijulishwa, naomba na mimi uniambie aisee maana tupo kwenye boti moja mkuu.Unaweza nitajia vituo binafsi vinavyotoa hiyo huduma kiongozi, nina kesi mbili natakiwa nizitatue kabla mwaka haujaisha.
Unaweza nitajia vituo binafsi vinavyotoa hiyo huduma kiongozi, nina kesi mbili natakiwa nizitatue kabla mwaka haujaisha.
Wakuu..siwezi andika jukwaani au kwa mtu tu wanapopima maana hairuhusiwi.Je, Na vituo binafsi nako kuna utaratibu mpaka uende mahakamani?
Hiyo namba 4 mshindwe na mlegee. Hayo mengine nakubaliana nawe.1. Kitanda hakizai haramu
2. Kuchapiwa ni siri ya ndani
3. Kuchapiwa hakuepukiki
4. DNA
5. Kwa sasa usikwepe majukumu [emoji2221][emoji2221][emoji2221][emoji2221]
Tanzania hakuna system...hakuna mfumo kabisa.asante Mkuu. ila nina uhakika 100% mtoto si wangu, mm nilikuwa najipigia km kupunguza stress za wife wakati mwingine na mpira
kumbe kuna mwenzangu anakuja kupewa usiku kucha na pesa au supu asubuhi
sasa ngoma ni kulea , wanashindwa na huyo mwizi ananijua, kosa wanalofanya ni kunikabidhi na malezi ili waondoe njaa na malazi
haya madawati ya JINSIA kule POLISI ni ya kuangalia sana yanalazimisha au kusanifu mm waliniambia unaibiwa na wafungabuti kwa sababu hujui gwaride ndio mwanamke katoka nje chukua tu kitanda hakizai haramu ili wamtetee mwenzao nibebeshwe mm
Kupima DNA ni laki mojaHabari zenu ndugu?
Poleni na mihangako ya kila siku ya Maisha, natumai mu wazima wa afya.
Kama heading inavyosema, nataka kufaham kama ulishawahi kutana na situation kama hio na ulifanyaje kukabiliana na hali kama hio? Maana wanawake siku hizi wamekua ni wenye akili nyingi na ujanja mwingi sana.
Binafsi nna huyu binti kabla hajanipa taarifa kua anaujauzito alikua ananiuliza maswali mengi sana ambayo mpka sasa yananipa utata.
Mfano:
1. Hivi fulani (jina langu) unaweza kuwa na mahusiano na mwanamke mwenye ujauzito au mtoto wa mtu mwingine? Hili swali kila nkikumbuka nachoka coz yeye kaniuliza mara 2 nyakati tofauti tofauti na rafki pia aliniuliza.
2. Mfano leo nkapata ujauzito utafanyaje? Hapa nahisi alikua ananpima akili ili ajue ananiingiaje?
3. Kuna day nlimkuta yuko so sad and silent, nkamuuliza "unaumwa?" Kajibu hapana, "tatizo nn?? Mbna uko hvo?" Kajibu hamna shda, nkamtania "au umetoa mimba?" Hilo swali lilisababisha ugomvi sku hio stak hata kukumbuka.
4. Last month aliniambia akipata ujauzito bas ataondoka na kwenda somewhere ambako hakuna atakae muona, nkamuuliza kwann akasema "basi tu"
Then two weeks ago ananambia anaujauzito wangu, nashndwa kumuamini coz nna series ya vitu kichwan vinavyofanya roho ikatae kabisa na kuona kua hapa kuna game nachezewa. Hapo juu nmetaja baadhi tu.
So wakuu naombeni ushauri wenu, coz me kulea mtoto sishindwi wala siogopi, ila nnachoogopa ni kulea mtoto asie wangu "For the rest of my life"
Mkubalie ajiue tu mdau utue zigo ilo litakupa stress bure..........natamani hiki kisanga chako kingenikuta mie maana kuna mmoja nilimnyoosha haswa mpaka akaja tu kukiri dogo si wangu hapo dogo ana miezi sita toka azaliweAf cha ajabu anatishia kujiua.. Et nisipokubali atawaambia wazaz wake pamoja na wazaz na ndugu zangu kwann anajiua, then anajitoa uhai.
We ulimsingizia nani
Upo fasta sana mimba 7 sio mchezoMimi nimeshapakaziwa mimba 7 na zote nimezipangua kwa kasi ya 5G
Hahahah polee sana ndugu..Ukweli ulikuja kujulikana baadae sana, after demu alipojifungua. Sasa imagine hapo kati maisha yalikuwaje.
Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
Mkubalie ajiue tu mdau utue zigo ilo litakupa stress bure..........natamani hiki kisanga chako kingenikuta mie maana kuna mmoja nilimnyoosha haswa mpaka akaja tu kukiri dogo si wangu hapo dogo ana miezi sita toka azaliwe
Sasa hilo jambondio la kutaka ushauri?Kwanini mkuu??