Hii inatokana na utamaduni wa makabila fulanifulani haswa wafugaji na wa pwani. Wafugaji wanasema kama jike lako likipandwa machungani huyo ndama ni wa mwenye jike au dume? Na hawa wa ngomani wanaojua fika kinachoendelea huko unategemea wawe na kesi za kujadili mimba?1. Kitanda hakizai haramu
2. Kuchapiwa ni siri ya ndani
3. Kuchapiwa hakuepukiki
4. DNA
5. Kwa sasa usikwepe majukumu [emoji2221][emoji2221][emoji2221][emoji2221]
Hili jambo niliwahi kusikia toka kwa rafiki yangu kituo cha afya hivyo hivyo.Kuna tetesi nliskia et kua ukienda pima DNA lazma tu matokeo yatakuja kua "ww ndio baba" lengo lao likiwa ni kupunguza watoto yatima sjui haki za mama na mtoto blah blah.. Kuna ukweli hapa?
Vipi mtoto umefanana nae????[emoji23][emoji23][emoji23]Dah,hii kitu ilinitokea miaka ya 2003 nilipata kuwa na mdada dizaini mdangaji fulani mana nilikua simuelewi elewi,katika harakati za mahusiano nikaja kumkuta "red handed"anabambiwa uchochoroni nilikua na washkaji kwa bahati nzuri mimi ndio niliyemuona Mana si unajua mtu chake mana ilikua saa nne usiku.
Nikawashtua jamaa tukarudi mpaka pale wakamsalimia kisha tukaendelea na safari yet na ndio ukawa mwisho wa mahusiano yetu,haikupita mwezi yule binti akaondoka kwenye ile nyumba ambayo alikua akiishi.
Baadae sana ndio nikaja pata stori yake kuwa kipindi anaondoka alikua mjamzito hivyo maisha yalikua magumu akaamua kwenda kwa dada yake kwani alijaribu kwa wanaume kama watatu kuwabebesha ule mzigo wote wakakataa ila bahati ikawa upande alipofika kwa dada ake kuna lijamaa akazimia mzigo akapewa ile mimba mana yule dada alikua na tumbo zuri kweli nafikiri wazoefu wananielewa hapo mana halionekani.
Jamaa akamsogeza akalea mimba na mtoto,nikaja kuonana nae kwa bahati mbaya kweli mwaka 2007 mwishoni mtoto mkubwa hapo, alikua na mawifi zake,dah nafikiri mawifi waliona aibu.....
Kwa kauli ya mama............dah[emoji23][emoji23][emoji23]Vipi mtoto umefanana nae????[emoji23][emoji23][emoji23]
Haa ha...!! So hukwenda kudai damu yako au umeacha ipambane na hali yaooKwa kauli ya mama............dah[emoji23][emoji23][emoji23]
Dah,siwezi aisee mana ntamtia majaribuni mwanaume mwenzangu na sio haki kabisa .Haa ha...!! So hukwenda kudai damu yako au umeacha ipambane na hali yaoo
Nmekuelewa vyema sana Mkuu... Ahsantee!Mi binafsi niko tofauti na unavyowaza. Swali namba 1 nadhan alikuwa ana ujauzito wako kweli ila bado alikuwa anafanya utafiti kujua iwapo atazaa na wewe ukamuacha ataweza kupata mwanaume atakaekubali kulea mtoto asie wake!
Hivyo alikutumia kama sample kujua wanaume mnalichukuliaje suala hilo. Lakini pia inaoneka hueleweki kama upo nae kwa muda au chapa ilale ndio maana hata ulipojua ana mimba bado aligoma kukuambia ukweli/kupima ili ajue kama AKWAMBIE au AITOE ila akapata shauri la bora aibebe tu liwalo na liwe. Na kama ungekuwa na muelekeo unaoeleweka kwake angekwambia wazi tangu alipohisi dalili za ujauzito.
Binafsi hicho ndicho nilichokugundua kutoka kwenye mada yako. Na ukweli mabinti wengi wakipata mimba kwa mtu ambae haonyeshi hata dalili za kuishi wote/kumuoa huwa wanawaza "NI MWANAUME GANI ATAMPENDA IKIWA KAZALISHWA NA KUTELEKEZWA?"
Usimuhukumu mapema wakati ulikuwa unamwagia ndani.
Jitafakari zaidi wewe.
Unaibiwaa[emoji444][emoji444]kawimbo ya rayvanyHabari zenu ndugu?
Poleni na mihangako ya kila siku ya Maisha, natumai mu wazima wa afya.
Kama heading inavyosema, nataka kufaham kama ulishawahi kutana na situation kama hio na ulifanyaje kukabiliana na hali kama hio? Maana wanawake siku hizi wamekua ni wenye akili nyingi na ujanja mwingi sana.
Binafsi nna huyu binti kabla hajanipa taarifa kua anaujauzito alikua ananiuliza maswali mengi sana ambayo mpka sasa yananipa utata.
Mfano:
1. Hivi fulani (jina langu) unaweza kuwa na mahusiano na mwanamke mwenye ujauzito au mtoto wa mtu mwingine? Hili swali kila nkikumbuka nachoka coz yeye kaniuliza mara 2 nyakati tofauti tofauti na rafki pia aliniuliza.
2. Mfano leo nkapata ujauzito utafanyaje? Hapa nahisi alikua ananpima akili ili ajue ananiingiaje?
3. Kuna day nlimkuta yuko so sad and silent, nkamuuliza "unaumwa?" Kajibu hapana, "tatizo nn?? Mbna uko hvo?" Kajibu hamna shda, nkamtania "au umetoa mimba?" Hilo swali lilisababisha ugomvi sku hio stak hata kukumbuka.
4. Last month aliniambia akipata ujauzito bas ataondoka na kwenda somewhere ambako hakuna atakae muona, nkamuuliza kwann akasema "basi tu"
Then two weeks ago ananambia anaujauzito wangu, nashndwa kumuamini coz nna series ya vitu kichwan vinavyofanya roho ikatae kabisa na kuona kua hapa kuna game nachezewa. Hapo juu nmetaja baadhi tu.
So wakuu naombeni ushauri wenu, coz me kulea mtoto sishindwi wala siogopi, ila nnachoogopa ni kulea mtoto asie wangu "For the rest of my life"
Subiri mtoto azaliwe kma ni wako kuna vitu mtafanania,eidha vidole,masikio,macho,mdomo etc hakuna haja ya dna ni wewe mwenyeweAccording to yeye anasema ujauzito una week saba but me nlisha-suspect tangu kitambo and nkamwambie bas tukapime kama ana ujauzito akawa "Hataki"... Just imagine mtu hataki kujua hali yake ya Afya?!?? Especially swala la ujauzito?
Pole sana ndugu..je umeoa? Una watoto? Huyo mwanamke ni mfanyakazi au hajishughulishi? Tuliza sana kichwa katika kipindi hiki..subiri akizaliwa mtoto utapata. Majibu ya mashaka yakoHabari zenu ndugu?
Poleni na mihangako ya kila siku ya Maisha, natumai mu wazima wa afya.
Kama heading inavyosema, nataka kufaham kama ulishawahi kutana na situation kama hio na ulifanyaje kukabiliana na hali kama hio? Maana wanawake siku hizi wamekua ni wenye akili nyingi na ujanja mwingi sana.
Binafsi nna huyu binti kabla hajanipa taarifa kua anaujauzito alikua ananiuliza maswali mengi sana ambayo mpka sasa yananipa utata.
Mfano:
1. Hivi fulani (jina langu) unaweza kuwa na mahusiano na mwanamke mwenye ujauzito au mtoto wa mtu mwingine? Hili swali kila nkikumbuka nachoka coz yeye kaniuliza mara 2 nyakati tofauti tofauti na rafki pia aliniuliza.
2. Mfano leo nkapata ujauzito utafanyaje? Hapa nahisi alikua ananpima akili ili ajue ananiingiaje?
3. Kuna day nlimkuta yuko so sad and silent, nkamuuliza "unaumwa?" Kajibu hapana, "tatizo nn?? Mbna uko hvo?" Kajibu hamna shda, nkamtania "au umetoa mimba?" Hilo swali lilisababisha ugomvi sku hio stak hata kukumbuka.
4. Last month aliniambia akipata ujauzito bas ataondoka na kwenda somewhere ambako hakuna atakae muona, nkamuuliza kwann akasema "basi tu"
Then two weeks ago ananambia anaujauzito wangu, nashndwa kumuamini coz nna series ya vitu kichwan vinavyofanya roho ikatae kabisa na kuona kua hapa kuna game nachezewa. Hapo juu nmetaja baadhi tu.
So wakuu naombeni ushauri wenu, coz me kulea mtoto sishindwi wala siogopi, ila nnachoogopa ni kulea mtoto asie wangu "For the rest of my life"
Hapana sijaoa na sina watoto , yeye anafanya shughuli ndogo ndogo tu.Pole sana ndugu..je umeoa? Una watoto? Huyo mwanamke ni mfanyakazi au hajishughulishi? Tuliza sana kichwa katika kipindi hiki..subiri akizaliwa mtoto utapata. Majibu ya mashaka yako
Asee, kwa jibu lake ilo, mie ningepiga chini haraka sana.Hili kweli kabisa, coz hata huyu katika mahusiano yetu kuna kipindi tulikua hatuna maelewano ya karibu (mwez March na April) and tulikua mikoa tofauti, but tukaja solve tofauti zetu. Lakin bdae nkagundua kua mwenzangu alikua tayar ana mahusiano ya karibu na mtu mwingne, nkajaribu kuongea nae kuhusu hilo swala akanijibu
"Huyo jamaa sio permanent atamfuta taratibu kwenye maisha yake, coz he was there for her kwa kipind chote tulichokua tumegombana"
Jibu hili liliniumiza but nlikaza moyo coz Nlimpenda Sana and nkajipa moyo kua kwenye mahusino always kuna "Ups and downs"
Sasa sjakaa sawa naletewa hili la ujauzito tena. How can i trust her on This??