Ulishawahi kusingiziwa ujauzito wakati wewe si muhusika? Je, ulifanyaje kukabiliana na hali hiyo?

Ulishawahi kusingiziwa ujauzito wakati wewe si muhusika? Je, ulifanyaje kukabiliana na hali hiyo?

1. Kitanda hakizai haramu
2. Kuchapiwa ni siri ya ndani
3. Kuchapiwa hakuepukiki
4. DNA
5. Kwa sasa usikwepe majukumu [emoji2221][emoji2221][emoji2221][emoji2221]
Hii inatokana na utamaduni wa makabila fulanifulani haswa wafugaji na wa pwani. Wafugaji wanasema kama jike lako likipandwa machungani huyo ndama ni wa mwenye jike au dume? Na hawa wa ngomani wanaojua fika kinachoendelea huko unategemea wawe na kesi za kujadili mimba?
Watoto wa machungani na ngomani ni wengi mno!
 
Kuna tetesi nliskia et kua ukienda pima DNA lazma tu matokeo yatakuja kua "ww ndio baba" lengo lao likiwa ni kupunguza watoto yatima sjui haki za mama na mtoto blah blah.. Kuna ukweli hapa?
Hili jambo niliwahi kusikia toka kwa rafiki yangu kituo cha afya hivyo hivyo.
Sasa uhitaji wa DNA haupo!
 
Dah,hii kitu ilinitokea miaka ya 2003 nilipata kuwa na mdada dizaini mdangaji fulani mana nilikua simuelewi elewi,katika harakati za mahusiano nikaja kumkuta "red handed"anabambiwa uchochoroni nilikua na washkaji kwa bahati nzuri mimi ndio niliyemuona Mana si unajua mtu chake mana ilikua saa nne usiku.
Nikawashtua jamaa tukarudi mpaka pale wakamsalimia kisha tukaendelea na safari yet na ndio ukawa mwisho wa mahusiano yetu,haikupita mwezi yule binti akaondoka kwenye ile nyumba ambayo alikua akiishi.
Baadae sana ndio nikaja pata stori yake kuwa kipindi anaondoka alikua mjamzito hivyo maisha yalikua magumu akaamua kwenda kwa dada yake kwani alijaribu kwa wanaume kama watatu kuwabebesha ule mzigo wote wakakataa ila bahati ikawa upande alipofika kwa dada ake kuna lijamaa akazimia mzigo akapewa ile mimba mana yule dada alikua na tumbo zuri kweli nafikiri wazoefu wananielewa hapo mana halionekani.
Jamaa akamsogeza akalea mimba na mtoto,nikaja kuonana nae kwa bahati mbaya kweli mwaka 2007 mwishoni mtoto mkubwa hapo, alikua na mawifi zake,dah nafikiri mawifi waliona aibu.....
 
Dah,hii kitu ilinitokea miaka ya 2003 nilipata kuwa na mdada dizaini mdangaji fulani mana nilikua simuelewi elewi,katika harakati za mahusiano nikaja kumkuta "red handed"anabambiwa uchochoroni nilikua na washkaji kwa bahati nzuri mimi ndio niliyemuona Mana si unajua mtu chake mana ilikua saa nne usiku.
Nikawashtua jamaa tukarudi mpaka pale wakamsalimia kisha tukaendelea na safari yet na ndio ukawa mwisho wa mahusiano yetu,haikupita mwezi yule binti akaondoka kwenye ile nyumba ambayo alikua akiishi.
Baadae sana ndio nikaja pata stori yake kuwa kipindi anaondoka alikua mjamzito hivyo maisha yalikua magumu akaamua kwenda kwa dada yake kwani alijaribu kwa wanaume kama watatu kuwabebesha ule mzigo wote wakakataa ila bahati ikawa upande alipofika kwa dada ake kuna lijamaa akazimia mzigo akapewa ile mimba mana yule dada alikua na tumbo zuri kweli nafikiri wazoefu wananielewa hapo mana halionekani.
Jamaa akamsogeza akalea mimba na mtoto,nikaja kuonana nae kwa bahati mbaya kweli mwaka 2007 mwishoni mtoto mkubwa hapo, alikua na mawifi zake,dah nafikiri mawifi waliona aibu.....
Vipi mtoto umefanana nae????[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Daah...kweli tunatofautiana na ndo uzuri wa Jf.

Binafsi ni fan mkubwa sana wa hawa madogo wanaozaliwa kiutatautata hivi, mara cjui dingi kakana mimba siyo yake mara dingi cjui kapotea mazima mara cjui maza kataka kumtia dogo maliwatoni.

Madogo dizaini hizi wanakuwa bold sana hlf wana spirit ya kuwa independent mapema sana, wengi wao sio lelemama ukilinganisha na hawa tunaosema ni wetu OG. Ukimtupa popote yey anastawi. Ni kama mungu anawasimamia sana.

Kwangu mmama akijimix akanipa dogo kwa dizaini hizi bas imekula kwake nitamtwaa huyo dogo tu na kuhakikisha tunasainishana kabisa kuondoa utata wowote huko mbeleni.

Mtoto akishazaliwa anahitaji malezi tu na miongozo unapata jembe lako safi la bdae. Sie wote ni waja hujui nani atakusaidia hapo bdae.
 
dah kwa mwanaume kusingiziwa mtoto ni kawaida sana nilishapatwa na huo mkasa,jambo la kwanza baada ya kuhisi mtoto anaweza asiwe wangu nilituliza akili na kujiuliza nifanye nini kujua ukweli pasipo kumshilikisha huyo mwanamke.na hapo ndo nilipofankiwa maana nilifanya action moja matata sana yaani mwanamke niliendelea kuishi nae bila kuonesha utofauti huku nikikusanya data mpaka nilipofikisha asilimia 90 ya ushahidi ndo nikaweka kikao,lkn hicho kikao nilikipa kichwa cha habari "KIKAO CHA AWALI CHA NDOA".nikaomba aje na ndug yake mmoja kama muwakilishi na mimi nikaita ndugu zangu watatu ambao nilishawapanga kila kitu,nikamwaga data zangu nilizokusanya mwezi mzima tena kwa kumtumia yeye bila yeye mwenyewe kujua.tulimbana mpk akakubali na picha likaishia hapo japo haikua rahisi hata huko kukubali kwenyewe ndugu yangu mmoja alitumia plan B kwenye kikao baada ya plan A kuchelewesha matokeo,ila kuanzia cku hiyo ndo nilijua kwamba ningezingatia masomo ningekua mpelelezi maana nilifanikiwa kwa vitu vikuu vitatu ,(BUSARA,UVUMILIVU na AKILI)
 
Mi binafsi niko tofauti na unavyowaza. Swali namba 1 nadhan alikuwa ana ujauzito wako kweli ila bado alikuwa anafanya utafiti kujua iwapo atazaa na wewe ukamuacha ataweza kupata mwanaume atakaekubali kulea mtoto asie wake!

Hivyo alikutumia kama sample kujua wanaume mnalichukuliaje suala hilo. Lakini pia inaoneka hueleweki kama upo nae kwa muda au chapa ilale ndio maana hata ulipojua ana mimba bado aligoma kukuambia ukweli/kupima ili ajue kama AKWAMBIE au AITOE ila akapata shauri la bora aibebe tu liwalo na liwe. Na kama ungekuwa na muelekeo unaoeleweka kwake angekwambia wazi tangu alipohisi dalili za ujauzito.

Binafsi hicho ndicho nilichokugundua kutoka kwenye mada yako. Na ukweli mabinti wengi wakipata mimba kwa mtu ambae haonyeshi hata dalili za kuishi wote/kumuoa huwa wanawaza "NI MWANAUME GANI ATAMPENDA IKIWA KAZALISHWA NA KUTELEKEZWA?"

Usimuhukumu mapema wakati ulikuwa unamwagia ndani.

Jitafakari zaidi wewe.
Nmekuelewa vyema sana Mkuu... Ahsantee!
 
Habari zenu ndugu?

Poleni na mihangako ya kila siku ya Maisha, natumai mu wazima wa afya.

Kama heading inavyosema, nataka kufaham kama ulishawahi kutana na situation kama hio na ulifanyaje kukabiliana na hali kama hio? Maana wanawake siku hizi wamekua ni wenye akili nyingi na ujanja mwingi sana.

Binafsi nna huyu binti kabla hajanipa taarifa kua anaujauzito alikua ananiuliza maswali mengi sana ambayo mpka sasa yananipa utata.

Mfano:
1. Hivi fulani (jina langu) unaweza kuwa na mahusiano na mwanamke mwenye ujauzito au mtoto wa mtu mwingine? Hili swali kila nkikumbuka nachoka coz yeye kaniuliza mara 2 nyakati tofauti tofauti na rafki pia aliniuliza.

2. Mfano leo nkapata ujauzito utafanyaje? Hapa nahisi alikua ananpima akili ili ajue ananiingiaje?

3. Kuna day nlimkuta yuko so sad and silent, nkamuuliza "unaumwa?" Kajibu hapana, "tatizo nn?? Mbna uko hvo?" Kajibu hamna shda, nkamtania "au umetoa mimba?" Hilo swali lilisababisha ugomvi sku hio stak hata kukumbuka.

4. Last month aliniambia akipata ujauzito bas ataondoka na kwenda somewhere ambako hakuna atakae muona, nkamuuliza kwann akasema "basi tu"

Then two weeks ago ananambia anaujauzito wangu, nashndwa kumuamini coz nna series ya vitu kichwan vinavyofanya roho ikatae kabisa na kuona kua hapa kuna game nachezewa. Hapo juu nmetaja baadhi tu.

So wakuu naombeni ushauri wenu, coz me kulea mtoto sishindwi wala siogopi, ila nnachoogopa ni kulea mtoto asie wangu "For the rest of my life"
Unaibiwaa[emoji444][emoji444]kawimbo ya rayvany
 
According to yeye anasema ujauzito una week saba but me nlisha-suspect tangu kitambo and nkamwambie bas tukapime kama ana ujauzito akawa "Hataki"... Just imagine mtu hataki kujua hali yake ya Afya?!?? Especially swala la ujauzito?
Subiri mtoto azaliwe kma ni wako kuna vitu mtafanania,eidha vidole,masikio,macho,mdomo etc hakuna haja ya dna ni wewe mwenyewe
 
Tafuta ndugu unaemwamini zungumza nae mashaka yako juu ya huyo mwanamke, fanya jitihada za kupata ushahidi Kama kupima Kenya kimya kimya,

Kwa mujibu wa mada yako hii ni wazi hiyo mimba sio yako
 
Habari zenu ndugu?

Poleni na mihangako ya kila siku ya Maisha, natumai mu wazima wa afya.

Kama heading inavyosema, nataka kufaham kama ulishawahi kutana na situation kama hio na ulifanyaje kukabiliana na hali kama hio? Maana wanawake siku hizi wamekua ni wenye akili nyingi na ujanja mwingi sana.

Binafsi nna huyu binti kabla hajanipa taarifa kua anaujauzito alikua ananiuliza maswali mengi sana ambayo mpka sasa yananipa utata.

Mfano:
1. Hivi fulani (jina langu) unaweza kuwa na mahusiano na mwanamke mwenye ujauzito au mtoto wa mtu mwingine? Hili swali kila nkikumbuka nachoka coz yeye kaniuliza mara 2 nyakati tofauti tofauti na rafki pia aliniuliza.

2. Mfano leo nkapata ujauzito utafanyaje? Hapa nahisi alikua ananpima akili ili ajue ananiingiaje?

3. Kuna day nlimkuta yuko so sad and silent, nkamuuliza "unaumwa?" Kajibu hapana, "tatizo nn?? Mbna uko hvo?" Kajibu hamna shda, nkamtania "au umetoa mimba?" Hilo swali lilisababisha ugomvi sku hio stak hata kukumbuka.

4. Last month aliniambia akipata ujauzito bas ataondoka na kwenda somewhere ambako hakuna atakae muona, nkamuuliza kwann akasema "basi tu"

Then two weeks ago ananambia anaujauzito wangu, nashndwa kumuamini coz nna series ya vitu kichwan vinavyofanya roho ikatae kabisa na kuona kua hapa kuna game nachezewa. Hapo juu nmetaja baadhi tu.

So wakuu naombeni ushauri wenu, coz me kulea mtoto sishindwi wala siogopi, ila nnachoogopa ni kulea mtoto asie wangu "For the rest of my life"
Pole sana ndugu..je umeoa? Una watoto? Huyo mwanamke ni mfanyakazi au hajishughulishi? Tuliza sana kichwa katika kipindi hiki..subiri akizaliwa mtoto utapata. Majibu ya mashaka yako
 
Tafuta ndugu unaemwamini zungumza nae mashaka yako juu ya huyo mwanamke, fanya jitihada za kupata ushahidi Kama kupima Kenya kimya kimya,

Kwa mujibu wa mada yako hii ni wazi hiyo mimba sio yako
Ahsantee sana mkuu!
 
Pole sana ndugu..je umeoa? Una watoto? Huyo mwanamke ni mfanyakazi au hajishughulishi? Tuliza sana kichwa katika kipindi hiki..subiri akizaliwa mtoto utapata. Majibu ya mashaka yako
Hapana sijaoa na sina watoto , yeye anafanya shughuli ndogo ndogo tu.
 
Hili kweli kabisa, coz hata huyu katika mahusiano yetu kuna kipindi tulikua hatuna maelewano ya karibu (mwez March na April) and tulikua mikoa tofauti, but tukaja solve tofauti zetu. Lakin bdae nkagundua kua mwenzangu alikua tayar ana mahusiano ya karibu na mtu mwingne, nkajaribu kuongea nae kuhusu hilo swala akanijibu

"Huyo jamaa sio permanent atamfuta taratibu kwenye maisha yake, coz he was there for her kwa kipind chote tulichokua tumegombana"

Jibu hili liliniumiza but nlikaza moyo coz Nlimpenda Sana and nkajipa moyo kua kwenye mahusino always kuna "Ups and downs"

Sasa sjakaa sawa naletewa hili la ujauzito tena. How can i trust her on This??
Asee, kwa jibu lake ilo, mie ningepiga chini haraka sana.
 
Back
Top Bottom