Ulishawahi kusingiziwa ujauzito wakati wewe si muhusika? Je, ulifanyaje kukabiliana na hali hiyo?

Ulishawahi kusingiziwa ujauzito wakati wewe si muhusika? Je, ulifanyaje kukabiliana na hali hiyo?

hata ukienda POLISI DAWATI LA JINSIA ni 100,000/ au bure km Kesi ni nzito
lkn majibu ndio hivyo tena km alivyosema jamaa hapo juu Itel A51
Mimi yalinikuta, nyumba ndogo, kumbe mm nalisha na chumba nalipia usiku anakuja mlinzi Korokoroni kulala anaacha lindo anaisimamia kwa vidole mali yangu
mtoto kutoka hatufanani kabisa jirani wakanitonya ni wa mlinzi pale kituo cha mafuta
tukafikishana POLISI wakanilazimishia kuwa nikikataa na licha ya kutoa laki nitashtakiwa
niliporudi siku ya pili Mlinzi akajatishia na kukubali ni damu yake hataki na hakuna cha DNA akasaini
kw hiyo mm nikachukua maelezo nakala yangu nikayahifadhi
sasa mwanamke bado ananitaka nilee, nikamuonesha maelezo ya POLISI akadai huyo Baba hana uwezo atamuua mtoto au amnyweshe sumu, NIKAACHANA NAO ingawa mwanamke hajakubali
Baadhi ya wanawake ni wapumbavu, hawawezi hata kuvuka barabara!!
 
Mlianza lini kufanya zinaa ?
Nenda kituo cha afya Fanya ultrasound ujue mimba Ina miezi mingapi ili uone kama kuna uhusiano.
 
Subr mtoto azaliwe umuone afu ukapme DNA.ingawa kunasiri kubwa kwenye DNA apa bongo labda Kama mngekuwa watu Zaid ya1 mnagombania mtoto...lakn unaweza fanya vpmo kwasiri baada yakupata kbar chamahaka.unaenda kimyakmya hospital binafsi afu unampanga doctor ili askudanganye majbu.Chapl usiogope kumwambia uyo manzi ukwel ili ajue unamashaka naajiandae mtoto atakapo zaliwa mkapme DNA naukubaliane nae ksheria akiwa sio wako akulpe ghalama zako
Nashauri asimwambie kabla ya kujifungua.wenye mimba wanasumbua sana/pasua kichwa
 
Ahsante kwa ushauri ndugu,

swala la DNA pia linaonekana linamlolongo sana na pia majibu yake sio ya uhakika sana kwa Hapa TZ hili pia linanipa changamoto mno. Vp nkakomaa saiv, af hayo mambo ya DNA yaje kunirudisha tena kwenye hali ya mkanganyiko kama sasa??
Kuna mjeshi aligharamia mimba mpk mtoto mwaka na nusu.alipogombana na demu wake( hawakuoana).Akamchukua mtoto akaondoka nae siku ya kwanza akamrudsha...after week akamchukua tena ,akamrudsha.kumbe alikuwa anahaha na ushahid.majibu kutoka Alitaman kumuua demu wake...2times Matokeo yameonyesha MTOTO SIO WAKE
 
Umenikumbusha stori yangu hii
Kuna mwaka flani nlikua na mahusiano ya binti mmoja iviii, nlikutana nae kingono then baada ya muda akaniambia ana mimba nikamjibu sawa,(mda huo mimi nmeondoka kule tulipokua nmerudi zang kibaruani) then baada ya km miezi 2 au3 ivii akanambia Mimba imetungwa nje ya mfuko wa Uzazi kwaiyo nimtymie hela, NIKATUMA( mimi nikaulizia kwa Wataalamu wangu kua mimba ikitungwa nje ya mfuko wa uzazi inakuaje! Wakanijibu hakuna cha kufanya kuirudisha ndani hapo tu kutoa tu. NIKALISAVE HILI)
Baada ya Muda akanambia Wazazi wake wamemfukuza nyumban kwao sababu ya Mimba saiz yupo kwa Bibi yake anapata shida So nimtumie Nauli aje kwangu
Mi nikatuma nauli, baada ya kutuma Nauli bint akaanza Longolongo kua sijui ela iyo ya Nauli kafanyia nin mara kaanza safari sijui hajiskii vizuri kashukia njiani. Mimi nikamjibu kua Nlitaka kumsaidia lakini kama hataki kuja kwangu kwaiyo asinishirikishe na sinisumbue kwa lolote. Baada ya siku km mbili hivii yule bint akanambia yupo njiani anakuja. Kwel alifika nikampokea na kwenda nae nyumban. Nlipokua nae kwakwel yule bint alijitahidi sana kula ndolo (embe mbichi) lakin tumbo lake lilikua kawaida tu(apo mimba ina miezi 3 au4)
Uyu binti nliishi nae kwa Wiki mbili tu lakini nlichoka utafikiri nimeishi nae Mwaka. Ilifika pahala binti aliandika barua ndefuuuuu kwa Peni nyekundu akitaka kujiua mana nlimkutia na kashika dawa(Vidonge) vingiiiii anataka kunywa. Ugomvi huu ulitokea baada ya kumwambia arudi kwanza nyumban wazazi wake wanamtafuta baadae mimi nitamfuata.
Baada ya kumpa kilakitu alichotaka hatimaye yule binti aliondoka kurud kwa wazazi wake. Baada ya tukio hili nikaanza kupunguza mawasiliano hatimaye tukakata mawasiliano
Binti alikuja kunitafuta badae kua nimtumie ela anataka kujifungua(Mimba ile iliyotungwa nje ya Mfuko wa Uzazi) na apo ilikua imetimia Miezi 11 kamili tangu nmekutana nae kingono aliponambia amenasa Ujauzito.
Nikaunganisha Matukio
i) Kajifungua baada ya miezi 11 na sio 9
ii) Mimba ilitungwa nje ya Mfuko wa Uzazi, je iliingiaje tena ndani?
iii) nikakumbuka ile purukushani ya kutaka kujiua nyumbani kwangu
Aaaaaaah nikampotezea adi leo hatujatafutana tena
NINACHITAKA KUSEMA NI KUA
Mwanaume usipokua na Msimamo kuhusu masuala ya Mimba Wanawake/wasichana watakusumbua na kukuyumbisha sana mwisho wa Siku unajikuta umelea Mimba ya Mwanaume mwenzio
 
Njia pekee ya kujua kama mtoto wako DNA...hawa wanawake atakukazia uso mkavu hata umtishie atakuambia mtoto wako. Kama unauwezo muda ukiwadia kapime.

Kwasasa kuwa mpole.
Laki ngapi kupima DNA ?
 
Kuna tetesi nliskia et kua ukienda pima DNA lazma tu matokeo yatakuja kua "ww ndio baba" lengo lao likiwa ni kupunguza watoto yatima sjui haki za mama na mtoto blah blah.. Kuna ukweli hapa?
Basi kama ndio hivyo nitafanya hivi..

1. Namchukua manz na mshkaji wangu yoyote wafanye kwenda kupima.. halaf mm nitapima separate kabisaa....
 
Hili kweli kabisa, coz hata huyu katika mahusiano yetu kuna kipindi tulikua hatuna maelewano ya karibu (mwez March na April) and tulikua mikoa tofauti, but tukaja solve tofauti zetu. Lakin bdae nkagundua kua mwenzangu alikua tayar ana mahusiano ya karibu na mtu mwingne, nkajaribu kuongea nae kuhusu hilo swala akanijibu

"Huyo jamaa sio permanent atamfuta taratibu kwenye maisha yake, coz he was there for her kwa kipind chote tulichokua tumegombana"

Jibu hili liliniumiza but nlikaza moyo coz Nlimpenda Sana and nkajipa moyo kua kwenye mahusino always kuna "Ups and downs"

Sasa sjakaa sawa naletewa hili la ujauzito tena. How can i trust her on This??
Samahani mkuu. How old are you???
 
Mi nilipata huo mziki siji kuusahau,iko hivi nakaa geto mwenye nyumba ni shekhe , mganga na ni balozi pia ana mjomba ake anamkubali mbaya huyu mjomba wake alikuwa mahikaji ila anafamilia na mtoto mmoja baba wa binti ni mpangaji mwenue asili ya ya tanga anapenda habaei za uganga hatari pia ni mtata alikuqa ahchelewi kuwafukuza qanae qa kiume kqa panga mpaka kuna wakati mama au mkewe alikuwa ananipa chakula kiana ili niwape watoto aliogombana nae na hataki wale chakula cha home

Chezo liko hivi,

Binti nimezoeana sana kiasi cha familia zote kutokuwa na mashaka hata akiingia geto ambalo tulikuwa tunaka wana kadhaa siunajua tena Ujana na maisha ya kuungaunga! Sasa kale kabinti ni kazuri hatari na kana rangi fulani hivi amazing kakiingia geto mzee mi ni kukafinya maziwa yaliyosimama. Vizuri kwenye kifua chake huku nikabembeleza niwe mchuchu wake, kaniambia sawa ila niache qatatuona watu, mzee nabaki nahamu na utamu wa kukanyonya maziwa, kakitumwa duka kataweka iahara kuwa kamwtumwa na hasa ile mida ya moja au mbli Fulani ya night basi mi nakaungia njiani nafaidi kumshika mchuchu kumshika balaa tunarudi maisha ya kusubilia kupewa tunda siku moja hiyo imeenda mda sana
Kumbe mjomba wa mwwnye nyumba apiga mzigo aise na kwakuqa walikuwa haka katoto kabila moja na mkewe mjomba wa mwenye nyumba kalikuwa huru sana kuingia kwa yule jomba akitoka tu mkwe jamaa kama yupo anakaita kumbe anapiga mambo sa kwa akili ya kukapenda kale katoto akili ilikuwa inaingia na kutoka kuwa yule jomba mbona kama hawezi kapiga mambo haka kamrembo,

Alikuja binamu yake haka kabinti huyu alikuwa mkubwa akanizoea sana tunakaa tunapia sana story nikampanga kuwa nimemuelewa binamu yako, akaniambia we unatakaje? Nikamwambia hebufanya mpanda siku moja tutoke tukatembee na mrembo sehemu yeyote! Akaniambia lini? Nikamwambia hata kesho! Akaniambia poa jipange! Nikajipanga jtatu binamu akaniambia naenda na mtoto kkoo unataka nikawache nae wapi? Akili ikaruka nikwaza chap nikaona eneo la mbali sana ni buguruni japo sikuwa napajua sana, tukatoka mtu tatu kwa kupishana kuondoka nyumba kuwapoteza maboya wanafamilia, mpaka buguruni kwenye ile baa ya Malaya na mashoga wengi karibia na mataa jina lake limenitoka,binam alikuwa anaenda jwa bwana ake na yeye wakaongea mawili matatu pembeni then akatuaga nikazama kwenye wallet yangu nikamtoa 5000 yule binamu yake akaniasa ikifika saa saba nimrudishe mpaka sehemu fulan ili akaungane na binamu yake ili waende nyumbani pamoja pasje tokea msala kumbuka baba wa mtoto ni kaksi balaa.

Nikaagiza chips kuku nusu mi wakati huo mi sina hata hamu ya chips akili yote iko kwa mtoto mweupe ninavyoenda kumfaidi,
Nikaingia ndani nikauliza chumba nikaambiwa bei nikarudi namkuta mtoto anakula chips kwa pozi ila pia hana amani akaniuliza umetokea wapi nikamzuga, nikarudi kwa mhudumu nikamsomesha akanihamishie mrembo wangu amlete room akikubali basi nimlipe, mi wakati huo nimeingia room nasubiri kama atakubali kuja? Mara paap mtoto na sahani yake yachips na soda yake analetwa na mhudumu, nikajiona Gaucho kwa kuweza kupiga goli kali kwa shot la akili nyingi ku win, nikatoka na kumfuata mhudumu nikamalizana na kurudi room, nijaona kama mtoto kahamaki Fulani na chips nimakama hazipandi tena nikaendelea kumpanga kuwa nakupenda sana ndo maana nataka tufurahi na yeye leo, nikaanza uchokozi kiana namuona mrembo amepoteza confidence na hana amani, akaniambia "M naomba tu usiniumize mwenzio" na mimi nikamtoa wasiwasi kuwa nampenda sana asiniwazie vibaya, nikafanikiwa kumvua kitop kwa mbinde nikakutana na kifua kitamu hatari maana nilishazoe kumshikashika huku macho yakiwa yanaangalia nani anaweza ibuka kule tunapokuwage kichocholoni mitaa ya home ila leo ni mimi na yeye tu kwa hii room, nikaendelea kumsikashika ile nataka kumuvua chupi akaniambia condom ziko wapi? Nikamwambia usiwaze, hakutaka maekezo yeyeto zaidi ya juzioba condom alikazia hatari mpaka sikuamini kama anaweza kuwa akili ile aise kwa umri wake nikatoja nikamfuta mhudumu nukanunua na kurud room, nikafanikiwa kumvua chupi kwa mbinde sana huki nishapewa masharti mpaka aone nimevaa condom nijawa najiuliza huyu bint amepata wapi uelewa haya mambo? Basi bani nijafanya kadri ya nilivyopewa masharti ile nataka kumpelekea mashine anaanza kulia eti M inatosha tutafanta tena siku nyingine basi ikawa mbinde kutenganisha miguu iki mkwaju upite kumbaka aligoma kabisa niuguse mzigi kwa mikono hivyo nikikuwa natembelea guzani sihui kama huyu mtoto amewahi kutumika au ni bikra japo nilikuwa na nashaka na yule mjimba kuwa kama anakukulaga haka katoto, kukulu kakala ikaishia kwa mm kugusa tu uchi wa mrembo huy wa kisambaa lakini sikuzama ndichi mwishi nijaona nikikazimisha sana yanaweza tokea ya kuumizana ukawa msala, pili kajipa noyo nikiforce kingi leo ataniona mrafi sana siku nyingine atanikomakia niona niache leo ila nikija siku ya pili lazima nizame ndichi, nikakapa hug na denda kiana kumuonyesha i m happy kumbe moyo unawaka tamaa ya mambo yetu, nikazama kwenye walet nikampa elfu tatu na buku nyingine kama nauli kumbuka ni mwaka 2001 hapo, nikamsindikaza standi akaingia kwa daladala zake kinondoni mi nikazamazangu kkoo mpaka saa mbili nijarudi kwa kunyata home nione kama kuna msala wowote, nafika nyumbani nikaona kama nyumba imepoa isivyo kawaida nikakaa kuna kigogo Fulani nyuma ya pale home nausikilizia mchezo mara namuona binamu aliniunganishia mchongo nikamkonyeza akaja akaanza kunilaumu kuwa nilichelewa sana kumbe yeye alipoenda kwa bwana ake akamkosa akageuka chap na kukaa pale walipokubakuana wakutane ndipo warudi wote nyumbani ila ikaonekana hamna shida kivileee!
Nikazama magetoni nikazima mpaka kesho yake,
Siku ya hilo tukii ilikuwa jmosi nijawanaiwazia siku nitakayopiga mashine mtoto, jtatu yaje kakaja kichocholoni kakaniambua "M naomba unipeleke hospital tumbo linaniuma" mi hospital gani? "Yoyote unayopenda wewe" ntwende buguruni? Akajibu "sawa!" mi kwa kutokujua nasetiwa chezo nikajikuta akili inaniambia eti mtoto ashaanza kuniekewa anataka akanipe mambo labda ameona alichonifanyia sio poa. Jumanne akanikumbushia tena kupelekwa hispital, kumbuja baba yaje akikuwa na bima za watoto wake wote walikuwa wanatibiwa hospital za kishua na hasa huyu binti wake pendwa sikuwaza chochote nikawa najua mtoto anataka akanipe mambo tu, mi nikamwambia ajiandae alhamis tutaenda akasema poa,

Jmatano asubuhi kama saa tatu nikamuona mzee mwenye nyumba ambae ni mganga na ni balozi wa nyumba kumikumi piani mjimba wa yule jamaa ninaehisigi anakakula kale katoto amekasilika baada ya kumsalimia hakupokea japo najya amenisikia kabisa maana akikuwa amesimama ananiangalia kwa hasira ila nijapotezea tu, baadae kidogo mkewa balozi akaniita sebuleni ni mama niliyemheshimu sana na ni mwenye busara sana nikaingia nikamkuta balizi amekaa chini kwenye mkeka wake kama kawaida yake anasuka ukili nikalimia hakupokea sikuwa na wasiwasi wowote, mara baby akamfokea mkewe "mwambie sasa" yule mama akaniambia kuwa "hapa kuna binti ana mimba na vaada ya kumbana amekutaja wewe" yaani kwa ujinga akili yangu hakuwa inamuwaza huyumtoto wa hapa home kwa kuwa mi hata kichwa chachini sikufanikiwa kuingiza na pia nilivaa condom siku ya jmosi na hata makinikia sikufanikiwa kufIkisha huko bandarini, nijamuuluza mama confidence ni binti gani huyo yule baby anakivyojuwa ameniangalua muda huo yuko kimya anasikilizamazungumzo yetu huku jicho kali lilokuwa limeanza kuniumiza sasa maana nilikuwa kama ninanichoma niltamani hataawe ameangalia pembeni linipunguzie maumivu aise, mama akamtaja huhuhuyu mtoto mzuri niliezani ataenda kunipa utamu kesho alihamis, nikakata nikamwambia mama "sio kweli" babu akadakuia "muite Mariam" Mariamu akatwa kutoja chumbani kwa baba na mama yake akaja pale akambiwa na babu "haya sema" Mariam akasema "mimi kama nitakuwa na mimba itakuwa yahuyu maana sijawahi kulala na mtu yeyote zaidi yake" hapa sasa akili ndo ikanirudi kwa kasi ya magari ya mwendo kasi iweje afike na kuanza kueleza mambo makubwa kiasi hiki nikahisi kuna mpango mbaya hapa huku akijuwa ni jmosi ndolitoka nae na anajua hatukufija hata hapo chini ya kile kilele cha ule mlima wapendacho kufika wengi, nikakataa nikasema "sio kweli we nariam mbona unaobgea vitu amvavyo havipo?" Mariam akasema "mimi sijawahi kulala na mwanaume yeyote mpaka wewe uliponipeleka pale guest ya buguruni siku ile" akili ikaanza kunionyesha narogwa na huyu babu wakishirikiana na na Baba wa mtoto nijaona polisi wanavyonijamata na kunifunga huku sina wakunisaidia maana bongo sina hata mtu uhakika wa kunipa hata 500, nikakataa yule babu mganga akasema "unabisha" huku amenikazia macho ya kibalozi kishekh na kiugangauganga huku mama akiniangalia kwa kunihurumia mama akamwambia babu hapa akapimwe mimba mariamu kwanza kama anayo tujue unajua mama yake mariam yuko ndani analia na wewe unamjua baba yake nariamu alivyo na alishagasema mtoto wake akileta mambi ya kijinga atamkta mtu panga na ata deal na mkewe jwa kumuacha mariam afanye uninga huu mliofanya mama yake mariam anataka kutoroka hapa"
Duh! Ha pa ndi nikaona ukubwa wa tatizi lililoko mbele yangu nasambalatisha familua za watu waliozijenga miaka mwisho nikaambiwa nitoe 3000 ili kesho akapime mimba kwanza,nijaahidi nitatoa jioni jioni nikapishana mama yake mariam nikamsalimia sikuona hata kama ana dalili yoyote ya kitu kibaya na hata babatake Mariam nilimuona ila kwa hofu sikutaka tupate ukaribu,

Kama zali jioni saa moja najiandaa kutoa 3000 ya kwenda kumpima Mariamu mimba huku nikijipa moyo Mariamu kuwa lazima hana mimba kwa kuwa hakuna kilichototea kupelekea yeye kupata mimba,


Itaendelea!!!!!!!!!
 
Ulitakiwa kushtuka wakati wa mwanzo kabla.
Yale maswali yalikuwa na lengo lake.
 
Back
Top Bottom