And the married ones are so risky, so utauelewa umuhimu wa sisi tusioolewa siku ukifumwaππ utakua mpoleeNyinyi ambao hamjaolewa mbwembwe nyingi halafu wasumbufu. Unlike married ones.
Sio tukutunza siri hata Adabu hanaπππTUseme umeshindwa kutunza SIRI.
π€£
Ttz tukiwatongoza hamtakiHivi wadada wote hawa tulio single mnaona mtuache mkatembee na wake wa wenzenu kweli? Unamuona mzuri sababu mwenzio anahudumia tafuta wako naye umtengeneze.
Mkimaliza mje mtuambie na jinsi mlivofumaniwa na mlichofanyiwaπ€
Umihimu wa single ones ninaulewa. Na mimi sio muumini wa ulaji wa wake za watu.And the married ones are so risky, so utauelewa umuhimu wa sisi tusioolewa siku ukifumwaππ utakua mpolee
Kitendo cha wewe kuridhika haimainishi kua na mwenzako atakua ameridhika na wewe. Unaweza ukawa umeridhika ila mwenzako akawa na mwenzake mwingine anae mridhisha.Suala sio kuchapiwa maana hao wanaopigwa wamekubali wenyewe kuwa hivyo hawakulazimishwa bali ni umalaya wao tu
Kama mwanamke ana hofu ya Mungu (anaeamini) na anajiheshimu, kujizuia na matamanio kwa mwanaume mwingine linawezekana sana
Sio kwa mke tu hata mimi mwanaume sichepuki kwa sababu naridhika na nilichonacho
Nikitamani naruhusiwa wanne kuoa
Hapo sawa, mke wa mtu ni wa kuogopwa kama bomuπUmihimu wa single ones ninaulewa. Na mimi sio muumini wa ulaji wa wake za watu.
Aah waliosingle hatujui kukataa π wake za watu ndiyo inabidi wawe wachoyo banaTtz tukiwatongoza hamtaki
Acha utani basi kwahio ni mimi tu πAah waliosingle hatujui kukataa π wake za watu ndiyo inabidi wawe wachoyo bana
Home kwako una maziwa eeh, shauri yako watakachokufanyia wenye mke waoπMke WA MTU sio sumuuuuuuuuuuu
Wewe ndiye unashida labdaπ huwa unasoundishaje kwanza tujue tatizo lipo wapi?Acha utani basi kwahio ni mimi tu π
Kawaida yaani kama mambo vp dada nimependa kalio hilo πWewe ndiye unashida labdaπ huwa unasoundishaje kwanza tujue tatizo lipo wapi?
Mtoto anaona kabisa hapa husband material hamna the future is uncertain πHizi sound za mvuta bsngi mkuuuu, ππππππππ
Haahah ha hata Kama wewe ni mke WA MTU... Tunapita na wewe Bibi....Home kwako una maziwa eeh, shauri yako watakachokufanyia wenye mke wao[emoji3]