Ulishawahi kutembea na mke wa mtu, mlianzaje na baadaye ikawaje?

Ulishawahi kutembea na mke wa mtu, mlianzaje na baadaye ikawaje?

Mimi nlitembeaga na mke wa mwanajeshi.....mtoto mtam yule
Sasa siku moja mmewe na rafiki zake wakatufuma wakaniambia nichague KUFA AU KUBAKWA....NIKACHAGUA KUFA....WAKANIUA!!!
...wake za watu watamu....Ila siku ukikutwa mtamu unakuwa were..
Wafu
Wapo akhera au peponi
Kwakua wewe upo humu JF
Ni wazi utakua ulibakwa.....
Very sorry for your loss...
 
Hivi wadada wote hawa tulio single mnaona mtuache mkatembee na wake wa wenzenu kweli? Unamuona mzuri sababu mwenzio anahudumia tafuta wako naye umtengeneze.
Mkimaliza mje mtuambie na jinsi mlivofumaniwa na mlichofanyiwa[emoji848]
Nyinyi mlio single wahuni saana. Wake za watu wametuliaaaaaa saaaana
 
Nimefanya uhuni mwingi sana, ila MKE WA MTU is my limit aisee. The risk is not worth at all. Kuna pisi kibao fresh za 2000s huku kali kinouma, why ni risk maisha yangu na mali ya mtu alietolea mahari kabisa. Yaani jaribuni kujiweka kwenye kiatu cha mwenye mali, yaani akatoe mahari, akae vikao miezi 3 akusanye pesa ya harusi aoe then wewe firauni haujapitia process zozote alafu akutane na sms kuwa umetoka kumf**a mke wake. Ujue hata kama hauna asili ya kuuwa lazima itatokea tu. Mimi unless mwanamke atumie sijui uongo gani ila nikishajua ni mke wa mtu hata kama mumewe yuko sayari ya PLUTO si mgusi. Women are very careless in cheating, wanapenda kubakisha kumbukumbu and once they become emotional ni basi umekwisha.

Nataka kuanzisha kampeni

KATAA MKE WA MTU!!!!!!
I love this..
Hapo mwisho imeongea ukweli, ...tuko so emotional....
 
Mimi ilikuwa hivi,

Ilikuwa kama ajali tu. Mimi nilikuwa nasali nae kanisani mume wake engineer kuwepo nyumbani ngumu mtu wa kusafiri safiri kwa hiyo ili mke asiwe mpweke nilikuwa kama namsaidia maana mimi sio mchoyo akija anaendeleza 🤣🤣 akitoka namfanya mke wake asitoke kwa wengine ila Mimi tu.

Baadaye nilipata mchongo mkoa ikabidi nihame mawasiliano yakaanza kupungua siku hadi siku si unajua tena fimbo ya mbali haiui nyoka 🤣🤣.
kipindi nipo mdogo tunakaa nyumba za kupanga kwa mara ya kwanza nashuhudia jamaa akimfumania mkewe na bahati mbaya mwanaume aliyekuwa naye alifanikiwa kukimbia mke alibaki aisee yule mume mtu alimtoa mkewe chumbani mpaka kwenye korido akamkamata shingo na kumchinja pale pale sitasahau lile tukio mpaka nakufa.. yaani toka wakati huo sikuwahi kumtongoza mwanamke wa wawatu hata unishikie bastola sitajihusisha naye.. ni tukio baya nililowahi kulishuhudia kwa macho yangu ... kijana/vijana acheni hiyo michezo kabisaaa.
 
Haya mambo yapo sana.
Niliwahi kuruka viunzi vitatu wake za watu wakitaka tuingie kwenye uhusiano ili kulipa kisasi kwa waume zao.

Nilishinda hizo.
Sasa kuna mwingine ni full usumbufu kutaka nimle na roho yangu imegoma
Hongera....
Ila Mungu atusaidie sana wanawake..
Mwanaume akiwa Hana hela shida, akiwa ana Hela napo shida...sijui tunataka nn....
Kweli tumetofautiana aisee....sijui watu wengine hawana wivu?! unamvulia mwanaume mwingine chupi kabisaaa na umeolewa?!!!
🙌🙌,
 
Back
Top Bottom