Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 11,640
- 24,066
Inauma sanaUsipokuwa na pesa ,shida, ukiwa na kazi inayokukeep busy Kama engineer hapo Napo shida.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inauma sanaUsipokuwa na pesa ,shida, ukiwa na kazi inayokukeep busy Kama engineer hapo Napo shida.
Mkuu Dr. Namugari hio dp yako inatuchanganya wengine...😃😃😃🤓🤓😂😂😂🤣🤣Kuna member yumo huku Ni mkee wa mtu naogopa kueleza jins tulivyo anza mausiano
Mm nakwepa vzr sabb najua...Wake za watu ni simple sana kula hasa hawa wenye marejesho ya Vicoba na kausha Damu...
mi kuna mmoja kaahidi kunizalia ila kasema tutunze SIRI😅😅😅
jamani wanawake heshimuni ndoa zenu, hakuna mwanaume rijali anaekwepa mtego wa mbususu
wewe kila siku unatongozwa, je wote wanakutongoza wanakosea?Nasemea wale wanaume wanaotongoza wanawake wakijua fika huyu ni mke wa mtu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Aiseee. Wee endelea tu na hiyo akili yako mzee mana hatuelewani. Siku wakikudaka ndio utaelewa.wewe kila siku unatongozwa, je wote wanakutongoza wanakosea?
Kwanza mkitongozwa mnafurahi na msipotongozwa anajisikia vibaya na kujiona hamna demand.
Wafipa hatari saana mkuuKuleni wake za watu ila kama mme wake ni muha, mfipa, mkinga, mkerewe au msukuma bas UJUE SIKU ZAKO ZINAHESABIKA
Siendi na mwanamke faragha kizembe, nimejipanga kwa lolote.Sawa mkuu, endelea kutongoza na kutoka na wake za watu na ukifumaniwa utatoa hizo sababu. Watakuelewa
Wakijichanganya wao ndiyo watajua hawajui.Aiseee. Wee endelea tu na hiyo akili yako mzee mana hatuelewani. Siku wakikudaka ndio utaelewa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Labda nikukumbushe,Siendi na mwanamke faragha kizembe, nimejipanga kwa lolote.
Mzembe yeyote akijichanganya eti ananifumania namla za kichwa anatangulia mbele za haki naendelea kujipigia goma lake.
Subiria ukue hutaona tena kinyaa utagongaMimi kiukweli nina kinyaa kikali sana siwezi gonga mke wa mtu naona ni uchafu tu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] sawa sawa.Wakijichanganya wao ndiyo watajua hawajui.
Mwanamme yeyote akinifuata faragha kunifumania nakula mke wake, lazima nimlime shaba za kichwa.
Kama kuna hatari mbele yako huruhusiwi kujihami?Labda nikukumbushe,
Nchi inaendeshwa Kwa katiba, Sheria,kanuni na taratibu zake.......
Otherwise ni kugawana majengo ya serikali.....
🤓😊😃😆
Uchukue mke wa MTU alafu ufumaniwe ujihami....???Kama kuna hatari mbele yako huruhusiwi kujihami?
[emoji16][emoji16][emoji16]Uchukue mke wa MTU alafu ufumaniwe ujihami....???
Labda uyeyuke au ugeuke mjusi,nzi,mbu au kokoto.....[emoji4][emoji4][emoji4][emoji4][emoji4]
39Siku za mwizi .........!
Japo wanasema za mwizi arobaini kuna wakati hiyo arobaini haifikagi.Msisahau kuweka na mlivyokamatwa.
Kama kuna hatari mbele yako huruhusiwi kujihami?Labda nikukumbushe,
Nchi inaendeshwa Kwa katiba, Sheria,kanuni na taratibu zake.......
Otherwise ni kugawana majengo ya serikali.....
🤓😊😃😆
Uchukue mke wa MTU alafu ufumaniwe ujihami....???
Labda uyeyuke au ugeuke mjusi,nzi,mbu au kokoto.....😊😊😊😊😊
Mkuu,Kama kuna hatari mbele yako huruhusiwi kujihami?
Kwanini ushindwe kujihami?
Heeee kumbe upo single........... hatuambiani kabisa yaani haaaaaaa........ nakuja huko.Hivi wadada wote hawa tulio single mnaona mtuache mkatembee na wake wa wenzenu kweli? Unamuona mzuri sababu mwenzio anahudumia tafuta wako naye umtengeneze.
Mkimaliza mje mtuambie na jinsi mlivofumaniwa na mlichofanyiwa🤔