Huyo mwanamke ni kwamba yeye ni mtoto mdogo hana maamuzi yake na hisia?Wewe unaumia sababu una gharamia mkeo sasa nikuulize kwa nini ukale mke wa mwenzako kwamba yeye haumii au? Huyo mwanamke unavyolala nae unafikiri unatengeneza kitu gan hapo baadae ? Nyie ni waharibifu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Au nyie kwenye mahusiano hamnaga akili ya maamuzi?