Ulishawahi kutembea na mke wa mtu, mlianzaje na baadaye ikawaje?

Ulishawahi kutembea na mke wa mtu, mlianzaje na baadaye ikawaje?

Nikikumbuka Fumanizi Morogoro Ifakara nabaki nacheka sana ilikuwa kama movie kumbe ndio uhalisia. Kilichoniokoa ni kuwa mwenye nyumba na mzee wangu walikuwa marafiki.

Kila nikikumbuka lile tukio kimsingi nilizingua bigtime ni tukio la aibu mwishoni wa mwaka 2022 mtaa mzima ulijaa mlangoni.

Baada ya Fumanizi yule bibie aliachika akarudi kwao tuliendelea kuwasiliana tukisimuliana yaliyotokea siku ya fumanizi jinsi alivyochezea kichapo na mimi nikimsimulia jinsi nilivyoweza kutoroka usiku wa manane kwenye ule mji.

Kama mwanamke ni msukuma, ameishi dar sasa yupo Arusha nitakuwa namjua [emoji3][emoji3][emoji3]
 
Dah! Best aliuwawa kikatili kinoma wakatoboa na macho, ushahidi ulikuwa wazi kwamba jamaa mwenye mke ni muhusika lkn kesi iliisha hovyo. Kinachoniuma mkewe alikufa kwa presha sasa watoto wake ndo wanalipa ujinga wake, wote ni malaya kijana wake wanachi wenye hasira walimuwahisha. Mke wa mtu aliepelekea kifo chake ndoa yao ipo fresh. Tuache ujinga vijana hawa wanawake wanatupotezea future .
Tulikia mradi wa bararaba Njombe-makete. Jamaa akamfumania mfanyakazi mwenzetu na demu wake (alizaa nae uyo demu), mida ya saa mbili tuu aisee jamaa alimkatakata mapanga vibaya mno, mixer izo za kutoboa macho..

Kesho tunaenda site tunakuta maiti pembeni ya barabara ikiwa uchi huku haitamaniki.

Kutembea na mke wa mtu ni nusu ya kifo
 
Kuna mmoja nnpo nae huu kijiji najilia tu mumewe yupo Dar huko

Halina mbamba yaan jeupeee kama papai nalipelekea moto mpaka linakuwa jekundu maaanina
Mmewe kuja huku Kwa mwaka mara moja anakaa week 1 au siku 3 then ananichia kitumbua changu niendelee kujibandulia gogo

Mkienda mjin kutafta maisha nenden na wake zenu mnatuweka katika vishawishi huku
Astakafulli-llah!!!
 
Back
Top Bottom