Ulishawahi kutembea na mke wa mtu, mlianzaje na baadaye ikawaje?

Sasa nishajua kwanini mange ni Kama mtu alierukwa na akili
 
Ulikula utumbo?
 
Duuh. Hamna kazi hapa
 
Daa this is madness na bado mnanishauri ndoa
 
Kuna mke wa mtu ni bonge moja la pisi ya kinyaturu. Kanapiga simu daily mpaka ananambia mimi ndio mzinguaji. Kwamba nijiongeze. Nafkiria mzee wake anavyopambana huko duniani kupata riziki ya kutunza familia yake the mimi nile mzigo bure bure naona sio fair kabisa.
 
Yeah, Kweli na yule bonge wa Kiarabukoko alipotelea kama siyo Nairobi basi ni Mombasa. Mpaka leo hajapata kuonekana hapo mjini. Kwa kweli aliyakanyaga kwa lile jambazi la Kichaga!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…