Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndo unavyotongozaga mkuu!Tufanye mpango mwaka usiishe huu tufanye mambo 🧑🎄👰
Mkuu hukupima urefu wa mkeo tu?Mwanaume kumbuka mwanamke Malaya ni adui wa mwanaume mwenzako. Kemea umalaya.
Jana ilishindikana mkuu, alikuwa kalala ile nimeshika futi nimpime akashtuka ikabidi nijifanye naruka kamba. Nimeamua sitaki tena kuhatarisha ndoa yangu ili niwaridhishe.Mkuu hukupima urefu wa mkeo tu?
Labda ni demu wa mtuMmh kwa mdada mbona ni rahisi sana kujulikana kama ni mke wa mtu or not, usihisi hata kama kuna limitations anakupa mfano muda wa kuwasiliana na wewe, utakapomuhitaji, yaani usihisi kabisa ? Kwa hiyo case yako labda kwa sababu alikua mbali, ila hawa ambao wanaishi na waume zao hapa hapa mmh
Kwa mantiki hiyo inaonekana huna power juu ya mkeo pole mkuu.Jana ilishindikana mkuu, alikuwa kalala ile nimeshika futi nimpime akashtuka ikabidi nijifanye naruka kamba. Nimeamua sitaki tena kuhatarisha ndoa yangu ili niwaridhishe.
Naogopa kunyimwa.Kwa mantiki hiyo inaonekana huna power juu ya mkeo pole mkuu.
Au labda tunatofautiana kimtazamo
Mwanamke alikuwa malaya tu, no other way to define her.Usipokuwa na pesa shida, ukiwa na kazi inayokukeep busy Kama engineer hapo Napo shida.
Watu wanachezea maisha mkuuHaya maisha!!
Tuelezee mkuuNi story ndefu
Amekufa au!?Limekata moto
Eeeh zamani hivyo!!Naongea ilikua miaka ya 90 ntajuaje alipo leo?
Hahaha nimecheka sanaJamani Jamani ninao wawili wameniganda mwenzenu mwaka wa nne huu, na block lakini wapi namba mpya wanasajir,siwapi chcohote lkn wapi,nakosea mimi wanaomba msamaha wao,najisikia vibay sana ila wananifariji mno kuwa hamna baya litatokea,siku mkiona humu ndani kimya mjue nimetangulizwa mbele za haki.Kuanza ni rahisi mno kuacha ni shida.Najuta mimi Najuta mimi.Msinsahau kwenye maombi yenu.