Ulishawahi kutembea na mke wa mtu, mlianzaje na baadaye ikawaje?

Ulishawahi kutembea na mke wa mtu, mlianzaje na baadaye ikawaje?

Mmh kwa mdada mbona ni rahisi sana kujulikana kama ni mke wa mtu or not, usihisi hata kama kuna limitations anakupa mfano muda wa kuwasiliana na wewe, utakapomuhitaji, yaani usihisi kabisa ? Kwa hiyo case yako labda kwa sababu alikua mbali, ila hawa ambao wanaishi na waume zao hapa hapa mmh
Labda ni demu wa mtu
 
Jana ilishindikana mkuu, alikuwa kalala ile nimeshika futi nimpime akashtuka ikabidi nijifanye naruka kamba. Nimeamua sitaki tena kuhatarisha ndoa yangu ili niwaridhishe.
Kwa mantiki hiyo inaonekana huna power juu ya mkeo pole mkuu.

Au labda tunatofautiana kimtazamo
 
Ila wanawake wapumbavu sana back in a days mwaka 2022 nilipanga mahala fulani kuna manzi ilikuwa inakuja mageton nakuondoka inakaa hata siku tatu.

Ikazoena mpaka na mama wakirangi mke wa mtu sas ishu ambayo nilikuja kugundua baadae sna na nkaja nkasepa hadi mtaa na hyo nyumba kumbe yule manzi wng kuna mda walikua wanapga story zakunyanduana si akawa anampa yule mama wakirangi jins navyomkunja yeye.

Kwann yule mama badae asitake nayeye kujaribu alifosi sna ilikua kdg nile ila nilibadili gia siku alivyoanza kunambia jinsi walivyokua wanapga story na uyo dem wng namna navyompa show nayeye et anataka nimpe kama navyompa manzi angu aisee nilipgwa baridi.

Kosa lingne yule mama wakirangi alimleta binti yake pale tunapokaa nkapita na bint yake mama mpk akajua nilichukiwa vby mpk nkaona itakua hatari nlipga chini yule manzi angu na nkasepa zngu kbsa pale ila nikikumbka yule mama alikuwa mweupeeeee ananyama yan lile paja hata doa halina ila sijui kwann mungu alinipa ujasiri nkauvuka ule mtihan kias mpk kesho nikikumbka lile paja najiona km sio mm nlokataa.
 
Jamani Jamani ninao wawili wameniganda mwenzenu mwaka wa nne huu, na block lakini wapi namba mpya wanasajir,siwapi chcohote lkn wapi,nakosea mimi wanaomba msamaha wao,najisikia vibay sana ila wananifariji mno kuwa hamna baya litatokea,siku mkiona humu ndani kimya mjue nimetangulizwa mbele za haki.Kuanza ni rahisi mno kuacha ni shida.Najuta mimi Najuta mimi.Msinsahau kwenye maombi yenu.
Hahaha nimecheka sana
 
Back
Top Bottom