Ulishawahi kutembea na mke wa mtu, mlianzaje na baadaye ikawaje?

Baadhi ya wake za watu ni waongo sana awasemi iliwahi nitokea ila nilimpiga marufuku naye akaelewa tukabaki washikaji uwa namsaidia na niko mbali nae
 
Kwa kawaida Wao ndio huanza kutongoza wanaume
 
Ya kwangu bhana ilianza hivi nimemtembelea Mzee mmoja jirani yangu mtaani mara nakuta Mzee hayupo yupo tu mpangaji wake mama bray tukasalimiana maelezo kidogo tukaongea nikaondoka

Nimekaa baada ya masiku nikasafiri nimekuja kurudi namkuta mama bray kaamia jirani kabisa na home yaani anapoishi na home nyumba zinatizamana, sasa pale home tunawapangaji akawa anakuja wanapiga stori pale na wanawake wenzie fresh siku zikaenda,

Mume wa mama bray ni dereva boda anatoka anarudi night Kali mishale ya saa Saba e bwana SI tukaanzaga tu stori stori tukazoeana kumbe mwenzangu ka follow mi sijui😀😀😀 Kuna siku tunapiga stori mi sijaoa namwambia nipe namba hata ya mdogo ako nami nipate mke akaweka yake🤣
Na Mimi sinaga shobo nikipewa namba ya demu uwa simtafuti hapo hapo sasa siku zimeenda mida ya night kama saa nne au Tano hivi akani text *mambo"
Nikamjibu "poa sorry namba ngeni nani mwenzangu"
Akanijibu Mimi "jirani Yako" mi namkomalia aseme nani cose majirani ni wengi mwishowe akaniambia Mimi mama bray😀 akaniuliza "ushalala" nikamjibu hapana "nipo na watch tv getto kwangu" akasema ok "poa" nikaa mara wazo likaniingia huyu inatakiwa nimlale ngojea lakini hapo naogopa ogopa mke wa mtu nikamtumia sms hapo hapo "ma bray we mzuri njoo tulale akaguna badae akasema atakuja kesho
Na kweli kesho yake tukachat Tena nikampanga twende gest akakataa akasema anataka getto kwangu maana alikuaga anasikia kwangu Nina vitu vya ndani Niko vizuri akiangalia ni kijana mdogo mumewe Hana hata vitu godoro wametandika chini hamuna hata tv😬 akaja nikala asee nilikula vizuri yule mwanamke nae siwezi msahau kati ya wanawake nilio kula vizuri nikafaidi anabonge ya nyashi halafu laini🥰 niliendelea kula kiulaini tu mpaka walipo kuja kuamia mkoa wa mbali.
 
Ukweli mke wa mtu sumu. Ila wao pia wana nyege na tamaa so unakuta mnapeana vikojoleo.

Tucheze kwa akili na amani. Sema ukipata mke wa mtu anayependa kukanyagiwa choo afu mumewe hajui au hafanyi utakula mema ya nchi
Hai jamaa hacha mambo Yako mume wake asijue nawakati anaishi nae halafu wewe usie ishi nae ndo ujue mkuu hacha bhasi
 
Uzuri ukitembea na mke au mme wa mtu unakuwa unajua kitachokutokea ukifumaniwa
 
Yeah, Kweli na yule bonge wa Kiarabukoko alipotelea kama siyo Nairobi basi ni Mombasa. Mpaka leo hajapata kuonekana hapo mjini. Kwa kweli aliyakanyaga kwa lile jambazi la Kichaga!
Duuh
 
Aisee
 
Sema wakuu hizi ndoa tunafosi tuu currently kumamae,jana kuna jamaa yangu kaenda Dodoma kula mke wa mtu na kaniambia kamuingizia vidole vingi sana matakoni
Wengi tumeoa wanawake ambao sio sahihi. Hususani hawa wenye shule na maisha ya angalau ni janga. Anaweza kudanganya safari kumbe yuko kwa mwanaume mwingine.
Tamaa ya pesa imewajaa na kutaka kurizishwa kingono kwa wakati mmoja kitu amabacho wanaume tunapo jitafta hatuwezi kutimiza vyote.
Pia wana maneno machafu sana midomoni mwao kwa kujifanya wana exposure na uelewa.
 
Mimi nlitembeaga na mke wa mwanajeshi.....mtoto mtam yule
Sasa siku moja mmewe na rafiki zake wakatufuma wakaniambia nichague KUFA AU KUBAKWA....NIKACHAGUA KUFA....WAKANIUA!!!
...wake za watu watamu....Ila siku ukikutwa mtamu unakuwa were..
Mkuu si useme tu ulifirwa unaficha nini . Pole kwa yaliyokukuta
 
Mwanaume anayekula mke wa mtu ni mwanaume dhaifu Sana hawezi hata tongoza huyo anakula mipira mfu. Hivi unaanzaje kugalagala kwenye manii ya mwanaume mwenzio?.
Pili, Ni nani humu akikuta demu wake anagongwa na jamaa mwingine atakuwa radhi kuendelea na huyo demu?.
Tafuta wanaotembea na wake za watu wengi akili zao ni mbovu mbovu tu na mwisho wao huwa mbaya na vizazi vyao. Wengi ni wavuta bangi, na walevi wakubwa kama hatumii hivi vyote huwa ni watu walioharubikiwa maisha na wasio na makao.
 
Sema wakuu hizi ndoa tunafosi tuu currently kumamae,jana kuna jamaa yangu kaenda Dodoma kula mke wa mtu na kaniambia kamuingizia vidole vingi sana matakoni
Na hizi mambo zipo sana mwanamke akitoka nje anachezewa kisenge ndio maana wanaume tunaumiaga sana mke anapo Fanya usaliti, jamaa linamfanya linavyo penda pumbav.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…