financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 17,776
- 42,402
Babu atakuvunja taya😀😀Haahah ha hata Kama wewe ni mke WA MTU... Tunapita na wewe Bibi....
Babu atusamehe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Babu atakuvunja taya😀😀Haahah ha hata Kama wewe ni mke WA MTU... Tunapita na wewe Bibi....
Babu atusamehe
Hahaa tatizo tushajua, umependa nini? Hapo Lazima uishie kusonywa😀Kawaida yaani kama mambo vp dada nimependa kalio hilo 😀
Embu nielekeze natakiwa nianzajeHahaa tatizo tushajua, umependa nini? Hapo Lazima uishie kusonywa😀
Sio lazima iwe hivyoKitendo cha wewe kuridhika haimainishi kua na mwenzako atakua ameridhika na wewe. Unaweza ukawa umeridhika ila mwenzako akawa na mwenzake mwingine anae mridhisha.
Wakati huo wako anagongwa na washkaji [emoji23][emoji23]Mimi kiukweli nina kinyaa kikali sana siwezi gonga mke wa mtu naona ni uchafu tu
Kunajamaa huwa anajifanya mstaarabu yeye hamegi wake za watu ila mke wake anamegwa kinoma [emoji23]Unavyowamegea wake zao ndivyo nawe mkeo anamegwa,in short mnamegana.
Huwezi Kweli kusahau pole Kwa mkasa...kipindi nipo mdogo tunakaa nyumba za kupanga kwa mara ya kwanza nashuhudia jamaa akimfumania mkewe na bahati mbaya mwanaume aliyekuwa naye alifanikiwa kukimbia mke alibaki aisee yule mume mtu alimtoa mkewe chumbani mpaka kwenye korido akamkamata shingo na kumchinja pale pale sitasahau lile tukio mpaka nakufa.. yaani toka wakati huo sikuwahi kumtongoza mwanamke wa wawatu hata unishikie bastola sitajihusisha naye.. ni tukio baya nililowahi kulishuhudia kwa macho yangu ... kijana/vijana acheni hiyo michezo kabisaaa.
Hahaa sikwambiiiEmbu nielekeze natakiwa nianzaje
Unaona sasa ulitakiwa unipe maujanjaHahaa sikwambiii
Huyo mkeo ni mke wa wengineMimi kiukweli nina kinyaa kikali sana siwezi gonga mke wa mtu naona ni uchafu tu
Utalipia mkuu, yaani nikupe maujanja ufaidi bure bure tu😀Unaona sasa ulitakiwa unipe maujanja
Si nayatumia kwako au hutakiUtalipia mkuu, yaani nikupe maujanja ufaidi bure bure tu😀
Malaya mh... wote kinyaa!Ila malaya wa kujiuza barabarani fresh tu au sio
Hilo linawashinda piaMalaya mh... wote kinyaa!
Bora kuwa na dem mmoja mnaye endena
Mimi tena? Nakufundisha ukatumie hukooSi nayatumia kwako au hutaki
Aaaah ww si umesema uko singleMimi tena? Nakufundisha ukatumie hukoo