Ulishawahi kutembea na mke wa mtu, mlianzaje na baadaye ikawaje?

Ulishawahi kutembea na mke wa mtu, mlianzaje na baadaye ikawaje?

Kwa hiyo kwenu kwenye familia yenu pamoja na baba yako mzazi wanaume wanagongwa au sio?au may be kwenye ukoo wenu wanaume wangongwa may be inawezekana ushawahi kugongwa maana asifiaye mvua ishamnyeshea.
Kwa hiyo Familia imekuja je hapa? Wewe kama unawashwa Sema mm ntakukuna tu usijali mm wake za watu ambao waume zao Hawa wakuni vzr nawasaidia
 
Kwa hiyo Familia imekuja je hapa? Wewe kama unawashwa Sema mm ntakukuna tu usijali mm wake za watu ambao waume zao Hawa wakuni vzr nawasaidia
Si unaleta uhuni tunaenda kihunihuni, unakuja account mbili mbili ,kumbe muoga na ndio kwenu mnakulana viboga.
 
After there tuliendelea kuwasiliana, kuendelea kufarijiana,…akaja akapata mchumba mwingine….. bahati mbaya alifariki kabla ya hiyo ndoa mpya nilipenda nione anaolewa ila ndio hivyo mungu kamchukua.
Muongo wewe umeamua kumaliza story kisiasa maana maswali yamezidi.
 
Dah!,
Kuna sehemu nilikuwa nimepanga kuna huyo mke wa mtu tulikuwa na yale mazoea ya kuheshimiana tu km mtu na dada yake. Kuna kipindi nikawa nimehama hiyo sehemu yaani nilihamia sehemu nyingine, sikujua kuwa yule mdada alikuwa ananielewa ila kunianza ndo ikawa shida kwake.
Siku moja kanipigia simu kuwa kuna sehemu anatoka hivyo atapita kwangu kunijulia hali na kupafahamu, nilimkubalia km dada yangu. Ile kaingia ndani tu mara oooh! chumba kizuri na blah blah kibao, kidume sikuchelewa nikampa haki yake na ndo ukawa mwanzo wa penzi lililokolea na huyu binti(mama wawili).
Kuna muda nikikaa naye huwa namwambia tusitishe huu mchezo lkn alishaapa siku nikijaribu kumuacha ataniroga hata km hajui kuroga....
 
Mimi aliniambia kua mume wake alimzoesha kupiga 3some bila yeye kupenda, yani 3some ya FFM (wanawake wawili kidume mmoja), mume akakolea akaanza kumwomba mke wake atafute rafiki zake ambaye atakua tayari kufanya huo mchezo na atakua tayari kumlipa hela sijui 250K, bhas KE akawa anakubali kishingo upande wakawa wanafanya na uyo BFF wake. Katika kuniadisia hizo story alikua very vivid kunichana aina za style na jinsi mume alivyokua anawafanya blah, blah, blah....

Sasa siku ambayo mi nimetoka ku bomoa hio kazi, mume alikua safarini akawa asha request 3some ya MMF (vidume wawili, ke mmoja) hio request sasa ndo ilimkata maini na mshipa mke, akawa anaona tena ata kuchepuka sio kesi ndo siku mimi nikatunikiwa mbususu.

Kuhusiana na yeye kushambuliwa yaan kupigwa mtungo na vidume viwili sikuwahi kumwuliza tena na wala hatuwasiliani, fast forward sasahivi uwa namwona kwa status tu, sasahivi mwanamke ana miliki yard yake safiii, yupo vizurii ata ki muonekano, pengine ali fulfill fantasy ya mume wake huwezi jua!
 
Mimi aliniambia kua mume wake alimzoesha kupiga 3some bila yeye kupenda, yani 3some ya FFM (wanawake wawili kidume mmoja), mume akakolea akaanza kumwomba mke wake atafute rafiki zake ambaye atakua tayari kufanya huo mchezo na atakua tayari kumlipa hela sijui 250K, bhas KE akawa anakubali kishingo upande wakawa wanafanya na uyo BFF wake. Katika kuniadisia hizo story alikua very vivid kunichana aina za style na jinsi mume alivyokua anawafanya blah, blah, blah....

Sasa siku ambayo mi nimetoka ku bomoa hio kazi, mume alikua safarini akawa asha request 3some ya MMF (vidume wawili, ke mmoja) hio request sasa ndo ilimkata maini na mshipa mke, akawa anaona tena ata kuchepuka sio kesi ndo siku mimi nikatunikiwa mbususu.

Kuhusiana na yeye kushambuliwa yaan kupigwa mtungo na vidume viwili sikuwahi kumwuliza tena na wala hatuwasiliani, fast forward sasahivi uwa namwona kwa status tu, sasahivi mwanamke ana miliki yard yake safiii, yupo vizurii ata ki muonekano, pengine ali fulfill fantasy ya mume wake huwezi jua!
Noms
 
JAMAA YANGU ALINUSURIKA KIFILO


Ngoja nielezee kisa kimoja kilichomkutaa Jamaa Yangu wa Karibu maeneo ya Dodoma Pestana Pub mwkaa 2019 kama sikosei

Tulikuwa tuna kawaida ya kukesha siku ya Jumamosi kuamkia Jumapili, yani tungi mpka morning kwasababu jumapili tulikuwa off.

Sasa Jamaa yangu yeye alikuwa na tabia mbaya ya kujibebea mwanamke yyte pale pub na kwenda kumchakata kwao( yani anaenda kwenye nyumba ya demu badala ya lodge)

Nilimshauri lakini hakusikiaa.
————————————————————
Siku ya siku akakutana na manzi hivi umri kama 32-35 kimuonekano hivi zikaivana na demu akamwambia kuwa amegombana na mume wake na wameachana mume kahamia kwa nyumba ndogo hivyo anatafuta “A shoulder to cry on” lakini tunajua hii hubadilika kuwa “A dick to ride on”

Jamaa yangu hata hakuniaga, wakabebana na mapombe hao kwa manzi.

Kumbe banaa kuna mtu anamfahamu mume wa yule dada na akamsanua,

KILICHOTOKEA.

Mume wa yule manzi katimba na kikosi cha mtu 4 saa 11 alfajiri fulu mafuta fulu condom fulu KY kuja kumpa Jamaa yangu Kifilo kitakatifu[emoji23][emoji23][emoji23]

Yule mseng. ana bahati hakuwa amelewa sana na katika purukshani za zile mbavu kutaka kubomoa mlango wa nyumba ili waiingie wagawe kifilo(Jamaa na manzi waligoma kufungua kwa uoga), Akajitokeza jirani nyumba ya 2 ni mwanajeshi alitoka na bunduki akijua labda ni Panya road wamemvamia jirani.

Badae kuja kujua msala akawatuliza na majirani wakajaa jaa Jamaa yangu akafungua mlango akapigwa makofi ya hapa na pale akabebwa polisi kutoa faini.



LEO HII ANABAKI KUSIMULIA KISA HIKI MAISHA YAKE YOTE[emoji23][emoji23][emoji23]


ENDELEENI KULA WAKE ZA WATU.
Hizo KY na condom alizionaje wakati hazikutumika???🤣🤣
 
Si unaleta uhuni tunaenda kihunihuni, unakuja account mbili mbili ,kumbe muoga na ndio kwenu mnakulana viboga.
Wewe mmeo Hana nguvu inaonekana, na pia kama wewe una account nyingi usidhani wote
 
Huyo jamaa baada ya kumchinja mke wake kipi kilifata?
Ni ujinga wa kiwango cha juu kumuua mtu au mke wako au yule uliyemfymania kisa wivu wa mapenzi.

WANAUME TUMEUMBWA KUA VIONGOZI UKITONGOZWA NA MKE WA MTU JUA UYO MWANAMKE NI ANAONGOZWA NA HISIA HAJUI ALITENDALO(Amini) INAWEZA KUA HASIRA(KULIPIZA), AMA MAPENZI TU!

Mwanamke anaweza kukukalibisha kwa mume wake akakuwekea na chakula kabisa alafu mkifumaniwa mwanamke unaweza shangaa ananza kulia anakumbia “sasa tunafanyaje mumewangu ananiua leo, we umeniletea matatzo” sio ajabu ukiona ananza kukulaumu tena wewe wakati ye ndo kakuita kwaiyo kua makini mke wa mtu anapokutaka usijione mwamba sana.

………….
Kumfumania mtu kunahitaji maandalizi kisaikologia, fuatilia mafumanizi yote yanayohusisha viongozi wa dini na viongozi wa mtaa hua hayana shida sababu ya muhusika alikua keshajiandaa kisaikologia kufumania na ameshaujua ukweli ila ikiwa hakua na mpango wakufania na imetokea tu umeambiwa ghafla au umegundua tu mwenyewe tena kwenye hali ya kutokujua kama kweli au si kweli uyu mtu akifika kwenye tukio maranyingi lazima afanye jambo la ajabu,

kwanza mtu anakua hajajiandaa kuupokea ukweli, pili kila mtu ana namna yake ya kureact kwenye issue kama izo, wapo wanao ishia kuzimia(presha), wapo wanatao ishia kutukana matusi ovyo kulaumu na kulia, wapo watao ishia kupiga tuu ila kuna wengine ndo hao huishia kuua au kujiua au vyote.

Hao ni wale walioamini wenzawao kua ndo kilakitu kwenye maisha yao wakawekeza MUDA MWINGI, PESA NYINGI , IMANI KUBWA kwa wenza wao kwa kuamini malipo yatakua ni upendo pekee so linapokuja swala la mahusiano yao kuvunjika jua kwamba haumii et kisa umemgongea mke wake pekee au mume no!! Anaumia sababu pia umehalibu maisha yake KWA UJUMLA na uwekezaji wake wote umepotea sababu yako au yenu.

Chamsingi chunga sana unapolala na mke wa mtu maana ukimwona amependeza au anajileta kwako bila kutaka taraka kwa mumewe kwanza ujue kuna vitu vinawaonganisha na hajawa tiyari kumwacha mumewe yan huo ni mtego unaweza jiona kidume kumbe unalala na kifo chako au kilema chako.

Goodbye.
 
Kama unahisi mkeo anatembea na mtu mwingine, yapo matego ya kishirikina huwa yanasetiwa huku kwetu tunaita kalumba! mdoezi akimtafuna mkeo na kama ulishaweka mtego lazima jamaa akutafute, maana huwa anaweza kukojoa uzi huu wa kushonea nguo usio na ukomo na kila ukitoka na maumivu makali, au mzigo kulala mazima, au kusimama Ndiiii hadi inauma! nyie nyie watu wanajua nyie Mke wa Mtu Sumu, tafuna tafuna lkn achana na mke wa Mtu.
 
Back
Top Bottom