Ulishawahi kutengwa na rafiki yako wa karibu baada ya yeye kufanikiwa? Toa kisa chako ilikuwaje

Ule msemo kuwa kiswahili ni kibantu ndio huu ..uyu jamaa ni mbantu kabisa siyo kwa kiswahili iki[emoji28][emoji28][emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Muwe mnaelewa, acheni shobo na watt wa kike kwa kisingizio cha URAFIKI WA KUSHAURIANA. ACHA U-K. UMA!
 
Mimi aliniambia sasa hivi siko level yake. Hata kama tulikuwa marafiki huko nyuma siyo sababu ya kuwa close naye. ( Ni baada ya kupata kazi serikalini kitengo kizuri)

Nikapiga moyo konde nikaedelea na maisha yangu.

(Mungu si mwanadamu na mimi akanionyesha njia na kunipunguzia magumu ya maisha. Kiasi fulani maisha yakabadilika)

Kuna siku akapata shida nyumbani kwao bila hiyana nikaisolve kwa moyo mmoja ili nimfichie aibu yake.Nilijitoa kweli kweli mpaka alibaki amepigwa na butwaa, hakutegemea kabisa.

Nilivyomaliza kuisolve nikaweka mipaka. Amejaribu kuwasiliana na mimi lakini sina muda naye na hasa baada ya kugundua kumbe hakuwa rafiki mwema kwangu, aliniharibia maisha kwa kiwango kikubwa.

Nilishampiga bloku ya nguvu. Kuweni makini na hawa marafiki.Rafiki wa kweli ni yule anayepata kazi na pesa still habadiliki yuko vile vile siku zote, ila hawa malimbukeni wa maisha ni pasua kichwa.
 
Kwenye maisha naona usijipange sana kwamba watu watakuwa unavyowadhani.....jipange kwa yote ili wakibadilika usipate nafasi ya kulaumu

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Iko hivi, mimi na wewe ni marafiki wa kufa na kuzikana, shida yako shida yangu.

Wote hatuna nauli ya kutufikisha Posta kutokea maeneo tunayoishi, kwasababu tupo kwenye harakati na wapambanaji tunaamua kutembea kwa miguu kuanzia maeneo tunayoishi hadi Posta.

Tunapanga mipango mingi ya kimaendeleo iwapo tukibahatika kujikwamua kwenye hali hii ya ukata tuliyokuwa nayo.

Ghafla mwenzangu neema ya aina yoyote ile inakuangukia, na unajua fika mimi na wewe hali zetu zilivyo na tumetoka mbali. Mara baada ya neema kukuangukia unanitenga. Hata nikikuulizia chanali wewe hutaki kutoa chanali na inafikia wakati unanipotezea mazima
 
Motivational speaker unaongea sana......

Binafsi nishapoteza watu wengi wa muhimu so hakuna kiumbe duniani ambaye namhofia akienda mbali na mimi nitakusa raha.

Ishu hapa ni maskini kama ww ukipata mfereji kidgo unajifanya unawaacha uliosota nao na wengine wamekusaidia kipindi huna mbele wala nyuma..Hafu badae mambo yako yawe onpoint useme ooh sijui hawana cha kushare sijui wana vizinga hapo ni kwamba ww ndo umekuwa msaliti na limbukeni ila wapo watu huo ulimbuken kama wako hawana wanapata mifereji na wanakumbuka walikotoka.
 
Bufa usipoelewa na hapa basi uende milembe.
 
Kama hukumtongoza huyo Janeth basi elewa alitarajia kitu kama hicho kutoka kwako, alipokikosa tu na kupata mwingine aliyewahi akakuvua vyeo vyote
 
Kama hukumtongoza huyo Janeth basi elewa alitarajia kitu kama hicho kutoka kwako, alipokikosa tu na kupata mwingine aliyewahi akakuvua vyeo vyote
me sikuwahi kumtongoza ila tu nilipenda mawazo yake ya maendeleo, na nikili kuwa alinitoa sehemu moja kwenda level nyingine, nilimchukulia kama rafiki tu na nilimpenda kama mshikaji
 

To each their own.
 
Alikuwa na hisia kwako, ukachelewa kujua hilo
Daaah, me sikulitambua hilo na hata angefunguka tu,
Nilimuona kama rafiki mwema kwangu na alinishauri mambo kibao ya maana hata wakati niliokata tamaa alinifanya niinuke tena
 
Mkuu umeongea kitu Cha msingi sana, watu mmesota wote, itokee mmoja aotee eti ghafla tu iwe hakuna kitu mtaongea, how come..
 
Mi nilimchukua mshkaj flan ambae tulimaliza wote shule,akaleta shida kwao wakamfukuza,akaja home nikaa nae sana kakaangu mkubwa akamtafutia kibarua,yaani kwa ufupi mwamba tulimgeuza kama ndugu kabisa,Mungu si Athumani katika mishe zake akatoka sijui alichofanya hadi akafanikiwa anajua yeye,kimya kimya akajenga mbezi hii ya kimara,mara kajenga chanika kimyakimya,ghafla akasema anaenda kumsalimia mamaake! Ndio kimoja hakurudi,hilo halikuwa tatizo ila shida ilikuwa moja tu alisepa na mke wa bro(aliemtafutia kibarua)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…