Ulishawahi kutengwa na rafiki yako wa karibu baada ya yeye kufanikiwa? Toa kisa chako ilikuwaje

Ulishawahi kutengwa na rafiki yako wa karibu baada ya yeye kufanikiwa? Toa kisa chako ilikuwaje

Rafiki sijui bff wamakuaga nao madem, sisi tuna wana, washkaji na machizi hawa huwa hatutupani.

Kuna wanangu huwa hatuwasiliani hata mwaka/miaka hata aje na dinga bado mimi ni mwanae, kuna time atakuja na life limemchapa bado ni mwanae.

Wanaume wengi hatuna ile kuwasiliana mara kwa mara, ni pale upate shida au kumpa hi tu ila sio kama mleta uzi, hiyo labda ndio maana unaumia.

Ulikua unategemea rafiki yako akupe furaha kitua ambacho si rahisi kwa muda wote.
 
Nawe jiulize ingekuwa ni wewe upo kwenye hiyo nafasi yake ungefanya kama unavyotamani yeye afanye?.

Na usisahau kuna ule usemi maarufu wa "pata pesa tujue tabia yako" ni kwamba tu hukuwa unaijua tabia ya Jamaa yako mpaka alipopata pesa/kazi.
 
Mtoa mada brace yourself!
Kwanza it seems hujui concept ya mtu kua intrivert, maana ungejua ungetambua kua introvert sio ticket ya kujiskia. Inavoonekana wewe ni narcissist na sio introvert.

Shida ya jamaa kukukataa ni unaonekana ni dependent a.k.a kupe kwake though wewe unaona ni urafiki. People grow up n move on with life. Wewe ndo umestuck hapo hapo.

Kama rafiki akichora ujue kuna yafuatayo, 1. Hakuwa rafiki yako kama wewe ulivodhani, 2. Ni motivation kwako ya kukomaa zaidi.

Zinduka wacha kulalamika, maisha ni yako binafsi
 
Aina hii ya watu huwa ni anakutumia wakati wa shida zake sambamba na hilo anafanya sana SWOT analysis ya maisha yako yote na kila kitu mfano mazuri yako na mabaya yako, Ficus poningii, au wale climbers, atakuwa na wewe wakati huo kuna vitu havipendi kuhusu wewe na hathubutu kurekebisha, wapo wachawi wasioroga ila si wema kbsa.

Imenitokea hii imenifunza mengi alinifanya rafiki tena sana akiwa hana hadhi ya elimu ya age mates wake na alumni wa chuo wenzake, baada ya kupanda elimu na cheo hadhi sasa anawashokea wale mimi sio wa level yake, na aina hii ya usaliti huwa hawapendi umfikie au umzidi Kwa Chochote kile. Hawa atamtaka mkeo, demu wako na hata dada yako.

Usiombe atoke kwenye kabila la wachoyo na wabahili, plus kupenda mademu akina xxx utaisoma, mazingira ya central government yanatisha
 
Wakuu habari za wakati huu! Nina Imani mu wazima wa afya na mnaendelea kupambana na maisha ya Kila siku. Mungu atusaidie sana...
namkumbuka mmoja wa kike
ambae tulikuwa kila saa tunapigiana simu,mesage na kupeana kazi,ushauri,kjtiana moyo na hata kupambana pamoja, but since she got channel unaweza mtext now ukajibiwa kesho kutwa alafu blue tick ilee unaiona [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Matokeo ya darasa la saba yametoka,jina langu linaonyesha natakiwa niingie mbeya sec(mbeya day) ....nachelewa kidogo maandaliz ya kwenda shule kama mjuavyo maisha ya singlemom,mama hakuwa vyema kiuchumi ila ndo ilitakiwa nisome....

Sikuchelewa sana nilikata kama mwez Ivo nikaanza class mwez February katikati.....baada ya mambo yote kukamilika mapokez mwalimu anaenda nionesha darasa napokelewa,darasa limefull kiti Cha kukaa hakuna...natoa macho nao wananishangaa....nikasikia sauti ya binti mbele kidogo ya darasa ikiniita "njoo ukae hapa" 😳kiti kimoja nakaaje(kimoyomoyo)....kainuka kaniachia kiti nikae then kaondoka,katoka darasani(Kumbe anaenda tafuta dawati lake)😥😥(sometimes I miss you cute Jay).....kiufupi tulikaa pamoja yeye Karibu yangu mpaka form four(was my real truly best friend).......

Nakumbuka uliacha comb ya science uliyochagua kisa Kuogopa kutengana nami maana I told you nakupenda nimeumia kutengana nawe darasa....ulistop science ukaja art.....ulipenda kupika nilipenda kuchora.....nilikuwa mkali but mshauri kwako,ulikuwa mlokole but mshauri kwangu.....nilikuwa na mwonekano wa maisha duni lakini niliishi home maisha ya kawaida.....ulikuwa na mwonekano mzuri wa kimavaz lakini uso usio na furaha(alikuwa yatima,alipoegeshwa alikuwa ananyanyaswa sana)....

Nilipofahamu uhalisia wako nilikutambulisha Kwa mama Ivo mama nilikuwa nikimwambia ulichopungukiwa alikuwa mwepesi kukusaidia hata Kwa kukuahidi.(nakumbuka Kaz Yako mojawapo ya kulisha kuku Asubuhi na jioni home kwenu ulikuwa huachi kunifichia mayai ukipata nafasi)😥😥 I miss you darling.....daaa ....ni kisa kirefu sana nitaandika nitatachoka then nitafia hapahapa😭😭🤦
 
Wakuu habari za wakati huu! Nina Imani mu wazima wa afya na mnaendelea kupambana na maisha ya Kila siku. Mungu atusaidie sana.

Kama ambavyo title inajieleza, Mimi ni mtu ambae sina marafiki wengi, si kwakuwa ninajiskia sana, hapana ila ni aina ya watu ambao ninaweza kusema ni intro
Futa namba yake tafuta hela atakutafuta mwenyewe
 
Back
Top Bottom