Afisa Mteule Drj 2
JF-Expert Member
- Mar 21, 2017
- 3,865
- 4,506
Mimi uraibu wangu uko kwenye punyeto yaani ni teja la punyeto
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Imagine watoto wote hawapo tena nyumbani na wajukuu unaongea nao kwenye mitanda, Kazi ndizo hizo za consultancy leo unayo kesho upo kijiweni, baba anarudi kachooka, magazeti ya home ndo udaku nashinda hapa tu huna jinsi. Nina wadogo, wajukuu na watoto humu kibao na maadui kibao lakini tutakabana humu humu sitoki chezea JF wewe. Wine dawa ya uzee.kwakweli nanmie nipo addicted na jf !nasukuma chapat lakini nipoonline napika nipo online mwee! ht mm labda aniweke kikao baba mzaz nitaacha kuchungulia !
kawine niliwah kuwa addicted pia nikaacha kbs !nagusa mara 1 moja ! nikiwa an sononi sana !
Imagine watoto wote hawapo tena nyumbani na wajukuu unaongea nao kwenye mitanda, Kazi ndizo hizo za consultancy leo unayo kesho upo kijiweni, baba anarudi kachooka, magazeti ya home ndo udaku nashinda hapa tu huna jinsi. Nina wadogo, wajukuu na watoto humu kibao na maadui kibao lakini tutakabana humu humu sitoki chezea JF wewe. Wine dawa ya uzee.
kupika kupika kupikaa do ba
hivi alosto haikupati..mazee acha bora bangi kuliko unga doh
Aiseeee uko ka miee.... Huwa niko busy kweeeli ili tuu nsikose hela!!! Mie nikiishiwaa naumwa kabisaaHii addiction ni kama angu. Aisee nisipokuwa na ela naumwa,nakosa furaha kabisa...
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kumbe tuko wengi....aisee.Aiseeee uko ka miee.... Huwa niko busy kweeeli ili tuu nsikose hela!!! Mie nikiishiwaa naumwa kabisaa
Ni dada walaku wa pesa isee[emoji41] [emoji121] [emoji116]Aiseeee uko ka miee.... Huwa niko busy kweeeli ili tuu nsikose hela!!! Mie nikiishiwaa naumwa kabisaa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kumbe tuko wengi....aisee.
I keep hustling ili hii hali isinipate,lakini sasa mambo yakizingiriana na nahitaji pesa, aisee nashauri watengeneze dripu maalumu kaa ajili yetu
Wewe ni mwenzanguNiko addicted na mshahara na pesa all the time. Nikikosa pesa nakuwa kama drug addict
Hahahaaaa eti "kubaniwa" [emoji2] [emoji2]Ukingia inakuonesha kuwa ban na sababu ya kubaniwa
Rekebisha kauli mzee.. FIFA mi mwenyewe naipenda ila bado haijafikia papuchi weeHadi papuchi sizani kama inafikia utamu wa FIFA 17
HahahahahaUsiombe Uwe na addiction ya huba halafu umpendae agundue aanze kukudengulia. Addiction mbaya kweli, dawa ni kutimua mbio
Mkuu kwenye mpia hapo hata mimi nimo. Music ni kidogo si sanaAddiction yangu mpira wa miguu tuu, achilia mbali Manchester united timu ninayoishabikia ila imefika mahala naangalia ligi yoyote inshort nikigundua Kuna mechi yoyote inachezwa iwe ligi ya Italy, uholanzi, ufaransa au Spain nimo.
Hapa Kama leo imefika ijumaa nikiingia ndani ni mpira tuu mpaka j3 kazi yangu kubadili tu stations za mipira, hii addiction Wala sijutii inanisave na mengi ya walimwengu ingawa mahusiano yangu ya mwisho yalikufa kutokana na mwenzangu kushindwa kutokana na mpenzi yangu mpira yaliyopitiliza mipaka.
Napoongelea mpira wa miguu namaanisha kuangalia mpira, kubishana kuhusu mpira nipo kwenye groups kama 4 hivi za soccer, mavazi yangu ya kushindia nyumbani na mishemishe za hapa na pale kwa kiasi kikubwa ni jezi za mpira, marafiki wangu wengi wamebase kwenye mpira, Mimi sio muongeaji asili yangu Kama sio kubishana mpira basi tunaeza kukaa kimya hata masaa mawili usiponiongelesha, kwa vijana wa Sasa wapenda mpira Kuna kitu kinaitwa FPL ( Fantasy premeir league) humo namo nimo hii ndio imenishika kabisa.
Hiii addiction inaenda sambamba na muziki simu yangu ina application ya Spotify nikiweka earphones masikioni nisahau kabisa ukipiga simu sipokei hata awe ya boss.