sultanwjps
Member
- Jun 27, 2010
- 14
- 0
Sie wengine wenye vi shuhuli vya kusafiri safiri bana haaaa, kwa swali hili ni sawa na kuuliza misalaba kwenye Makaburi ya Kikristo...
Mimi nilianza kucheat tangu niko na miaka 17. nikiwa single , wakati huo unajua tena at least
once a month. Nimeendelea kucheat baada ya kuoa mpaka nimeona kua siwezi kuacha kabisa
sababu zilizonifanya kua na mademu ya nje ni kutamani kujaribu mitindo mipya kila mara.
nimetembea na watoto wadogo wasio olewa , nimetembea na wake wa watu na wajane
sikuwahi kujulikana na mke wangu hata mara moja japo alikua akifikiria.
Mimi nilianza kucheat tangu niko na miaka 17. nikiwa single , wakati huo unajua tena at least
once a month. Nimeendelea kucheat baada ya kuoa mpaka nimeona kua siwezi kuacha kabisa
sababu zilizonifanya kua na mademu ya nje ni kutamani kujaribu mitindo mipya kila mara.
nimetembea na watoto wadogo wasio olewa , nimetembea na wake wa watu na wajane
sikuwahi kujulikana na mke wangu hata mara moja japo alikua akifikiria.
wife ni member wa JF.
...hahaha... yaani mlivyounga mkono inaonekana tatizo hili sugu limejikita vilivyo katika jamii. Sasa wivu wa nini mke akipandishwa cheo au akienda kulala semina?... No wonder kinadada (wachache) hutumia visababu vikiwemo "eti", semina ni kwa kina mama tu! ha ha ha...
Mpaka sasa mnaosema INAWEZEKANA mmeuchuna kutetea hoja, ...
Eti nyie kinadada, mnapodanganya mnaumwa kichwa almuradi mume asile chakula cha usiku si urongo ule?!
Da naona wadumisha mila wameshinda kwa kishindo. hii inatisha sana aisee. nitarudi tena.
Da naona wadumisha mila wameshinda kwa kishindo. hii inatisha sana aisee. nitarudi tena.
Da naona wadumisha mila wameshinda kwa kishindo. hii inatisha sana aisee. nitarudi tena.
Ukijua lazima uumie, as long as ulitegemea ni wako peke yako......kwa hiyo unashauri vipi tuukubali na kujua ni hali halisi? kwa hiyo kwa nini watu wanaumia roho wakijua waume zao au wake zao wana cheat? why?
Ukijua lazima uumie, as long as ulitegemea ni wako peke yako......
haya bwana. Mimi tangu niseme "i do" nathamini kile kiapo, ndicho kinachoniongoza, sijacheat, na sitacheat.
Point ya nguvu bht.....just relax and enjoy!yaani bwana siku ukigundua kuwa ulichotegemea sio kabisa hata kwa thumni............moyo ni kama una majipu vile!!!!
sasa sijui mtu uishi maisha ya wasiwasi ukitegemea lolote laweza tokea au ndo urilaksi tu ukijiaminisha u r nt alone????