sultanwjps
Member
- Jun 27, 2010
- 14
- 0
Mimi nilianza kucheat tangu niko na miaka 17. nikiwa single , wakati huo unajua tena at least
once a month. Nimeendelea kucheat baada ya kuoa mpaka nimeona kua siwezi kuacha kabisa
sababu zilizonifanya kua na mademu ya nje ni kutamani kujaribu mitindo mipya kila mara.
nimetembea na watoto wadogo wasio olewa , nimetembea na wake wa watu na wajane
sikuwahi kujulikana na mke wangu hata mara moja japo alikua akifikiria.
once a month. Nimeendelea kucheat baada ya kuoa mpaka nimeona kua siwezi kuacha kabisa
sababu zilizonifanya kua na mademu ya nje ni kutamani kujaribu mitindo mipya kila mara.
nimetembea na watoto wadogo wasio olewa , nimetembea na wake wa watu na wajane
sikuwahi kujulikana na mke wangu hata mara moja japo alikua akifikiria.