Askofu
JF-Expert Member
- Feb 14, 2009
- 1,664
- 87
...haiwezekani/Inawezekana kuishi bila kumdanganya Mkeo/Mumeo/Mchumba wako kwa 100%?
mfano;
Inawezekana au haiwezekani? kwanini? piga kura (Optional) au tetea hoja yako.
- kudanganya unapochelewa kurudi nyumbani?
- kudanganya mapato na matumizi yako?
- kudanganya kuridhishwa kimapenzi japo unatoka kapa?
- kudanganya hakuna alilokuudhi ili yaishe?
- unexpected mobile calls, ukajidai humsikii mpigaji?
- kudanganya mambo unayojua yatamuudhi ukimwambia ukweli?
- kumdanganya mahusiano yako na marafiki asiowapenda?
- nk,...nk...?
Hata kanisani huwa tunadanganya mapato... :amen: