Ulishawahi kuwa na marafiki wa aina hii?

Yaani rafiki yngu hadi umenifungulia uzi juu yngu kisa tu nimekuomba elfu 50 sio fair kabisa [emoji1787]
 
yaani rafiki yngu hadi umenifungulia uzi juu yngu kisa tu nimekuomba elfu 50 sio fair kabisa [emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimeudhika. Sanaaa
Na mkizidi nitaenda hadi bbc kuomba interview
 
Utakuwa workaholic...
Biashara binafsi?
Manake waaajiriwa wengi ndo watu wa bar sana...

Wajasiriamali wengi ndo workaholics..
May be.

Ila mara nyingi napenda kuwa mwenyewe. Imagine hata Radio siku hizi huwa naona kama inanipigia kelele tu.

Maisha yangu ni kulala, kazini, kuandika ( blogging ) na mtandaoni. Siku imeisha.
 
🤣Kwani maisha ya mwanadamu hapa duniani yalitangulia ama kutanguliwa na hivyo alivyoorodhesha na ushangaavyo?
 
Maisha yangu nayaweza mimi. Sema nimegundua sio mimi tu.

Kuna wengi wanaishi kama mimi.

Ni kazini, kulala, ukiamka unaperuse mtandaoni, unapika, unaoga. Siku imeisha
 
Nimekataa vyote
Yaan hata ufanyeje haoni analalamika tu

Mtu kama huyo sio rafiki. Huyo ni mtu tu mwenye shida zake ambae labda ameona fursa kuwa karibu na wewe kwamba atasaidika kwa namna moja ama nyingine.

Watu wa hivyo hua ni wabaya sana hasa pale wewe utakapomchukulia kama rafiki, maana kuna siku na wewe utapata shida utegemee na yeye atakusaidia hapo ndio utajua hujui. Mara nyingi watu hawa hata ukimsaidia haridhiki na siku ukiacha kumsaidia ni lawama mtaa mzima.
 
Njia rahisi ya mtu anayekukwaza ni kumchana tu ukweli wa pale anapozingua, akinuna akakaa kimya ndiyo anakuwa amekusaidia..!

Mkiendelea, kuna namna naamini atakuwa kajifunza hii itamsaidia kupunguza speed...!
Kwani ukitumia petrol kuna shida gani mkuu.
 
Unahamu ya kufirw@@@ siyo ?
Andaa Mawese Nikufumue Malinda Ayo..Maana Mashoga Ndo Zenu Hizo.
Watu wa Type yako Maofisini Ndio Uwa Mnakuwa Wanafiki Wanafiki Sanaa.kujipendekeza Pendekeza Kwa Mabosi na Kujiona Mko Perfect Kuliko Wengine.
1.1
Narudia Acha Unaaa..Utakuja Kuteseka Uzeeni.
 
Nandaa Mawese uje unifumue Malinda Ayo..Maana Mashoga Ndo Zetu Hizo.
Watu wa Type zetu Maofisini Ndio zetu
🤣🤣

Haya ndio matatizo ya bange, sporuts na kitimoto. Utatembea uko wazi. Soon tu nakwambia.

Mimi kwetu MARA, nakula UDAGA angalia usije ukazaa kabla ya December.
 
[emoji1787][emoji1787]

Haya ndio matatizo ya bange, sporuts na kitimoto. Utatembea uko wazi. Soon tu nakwambia.

Mimi kwetu MARA, nakula UDAGA angalia usije ukazaa kabla ya December.
Check Ulivyo Mshamba. Kula udaga Ndo Nini? Nimekwambia Andaa Mawese.. Edit Na Hii ..shoga Wa Kanda Ya Ziwa Wewe.
 
Kwa hii post najiona mimi .

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimeudhika. Sanaaa
Na mkizidi nitaenda hadi bbc kuomba interview
Mwaka huu tutakoma sisi marafiki zako, kazi tunayo[emoji38]
 

Yes umesema kweli kabisa lawama tu Muda wote akiumia kucha anataka uache unachofanya uende haraka kama yupo mbali usafiri
Usipoenda lawama kali nikaona hapa nnachotaka nitakufa mapema bora nikae mbali

Nahisi nimetua mzigo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…