Ulishawahi kuwa na marafiki wa aina hii?

Ulishawahi kuwa na marafiki wa aina hii?

Mimi sihitaji marafiki wa hivyo. Binafsi nina marafiki wachache sana na ni wa muda mrefu sana.

Kwanza hata mtu akitaka kuwa na urafiki na mimi, lifestyles yangu itamshinda atajitoa tu mwenyewe.

Maana:

  • Situmii pombe
  • Situmii sigara
  • Situmii ugoro
  • Sibet
  • Si mshabiki sana wa mpira
  • Sivuti bangi
  • Siyo mtu sana wa parties ( Birthdays, night clubs n.k )
  • Siyo movie enthusiasist
  • Kanisani nina muda sana sijaenda

Sasa kwa hali hiyo, utakuwa na urafiki na mimi utaweza ?
Wewe mkuu umeuwa 😅 yaaani haupo hata kitu kimoja.
Sasa betting mbona aina haja ya urafiki.
 
Betting inaambatana na ufuatiliaji mkubwa wa mpira.
Ni sawa lakini mimi huwa nina bet but sikogi attached na marafiki inshort mimi nina sifa kama za kwako wewe nataka niwe hivyo ulivyo zaidi.

Ukiishi kwa small cycle, ukiishi kwa privacy basi you will live the comfort life.
 
Mimi sihitaji marafiki wa hivyo. Binafsi nina marafiki wachache sana na ni wa muda mrefu sana.

Kwanza hata mtu akitaka kuwa na urafiki na mimi, lifestyles yangu itamshinda atajitoa tu mwenyewe.

Maana:

  • Situmii pombe
  • Situmii sigara
  • Situmii ugoro
  • Sibet
  • Si mshabiki sana wa mpira
  • Sivuti bangi
  • Siyo mtu sana wa parties ( Birthdays, night clubs n.k )
  • Siyo movie enthusiasist
  • Kanisani nina muda sana sijaenda

Sasa kwa hali hiyo, utakuwa na urafiki na mimi utaweza

Mimi sihitaji marafiki wa hivyo. Binafsi nina marafiki wachache sana na ni wa muda mrefu sana.

Kwanza hata mtu akitaka kuwa na urafiki na mimi, lifestyles yangu itamshinda atajitoa tu mwenyewe.

Maana:

  • Situmii pombe
  • Situmii sigara
  • Situmii ugoro
  • Sibet
  • Si mshabiki sana wa mpira
  • Sivuti bangi
  • Siyo mtu sana wa parties ( Birthdays, night clubs n.k )
  • Siyo movie enthusiasist
  • Kanisani nina muda sana sijaenda

Sasa kwa hali hiyo, utakuwa na urafiki na mimi utaweza ?
Ww ni mwanaume kweli?
 
Huwezi kunikopa wakati hatuna mazoea sana. Au labda tuna miezi kibao hatujaongea, ghafla unanipigia simu kukopa. Haiwezekani.
Kuna jamaa tulisoma nae na kumaliza Diploma 2005, juzi kanipigia ana shida ya 200k. Yaan baada ya 16yrs ndio mtu anakutafuta na anakuja na shida.
Alikosa msaada kwakweli.
 
mmmh...mpaka mtu kumuweka kuwa rafiki yangu aisee ni ngumu sana. Kwanza nilivyo sjajiweka kuzoeleka actually. I have my own busns.

Hata maeneo nilipopanga, hakuna mtu anajua jina langu, na nafurahi kuishi hivyo. Sina rafiki yule wa kuzoeana kidwanzi.

Nina washkaji
classmate
na wadau tu..

No mazoea.....

All in all sinaga historia ya kukopesha mtu akanirejeshea[emoji16][emoji16] daah

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Minimize your circle

Mwaka huu nimepunguza circle yangu kwa kiasi kikubwa

Unakausha tu,kila akitangaza shida unapangua ataondoka mwenyewe
 
Kuna jamaa tulisoma nae na kumaliza Diploma 2005, juzi kanipigia ana shida ya 200k. Yaan baada ya 16yrs ndio mtu anakutafuta na anakuja na shida.
Alikosa msaada kwakweli.

Kuna jamaa tulisoma primary school alikuwa na namb yangu nikapata msiba wa mzee wangu sikumwona hata kunipaw pole ya maneno

May kanifuata whatsap anaomba mchango wa harusi
Nikamjibu sipo vizuri kwa sasa

Kuna watu wanapenda kubebewa shida zao ila kuwabebea wengine hawawezi
 
Anataka umpe kipaumbele kwa kila kitu anasahau nawe una maisha yako pia
Chagua nani wa kumuita rafiki,sio rafiki awe mzigo kwako au akiwa na shida na wewe tu.Rafiki ni kwenye shida na raha.
Mimi sipendagi urafiki wakinafiki kwanza sina tolerance na vitu vya kijinga sichelewi kukupashua kabisa nikiona hata hatuna mutual interests ndio kabisa bora niwe mwenyewe tu.
 
Mtu kama huyo sio rafiki. Huyo ni mtu tu mwenye shida zake ambae labda ameona fursa kuwa karibu na wewe kwamba atasaidika kwa namna moja ama nyingine.

Watu wa hivyo hua ni wabaya sana hasa pale wewe utakapomchukulia kama rafiki, maana kuna siku na wewe utapata shida utegemee na yeye atakusaidia hapo ndio utajua hujui. Mara nyingi watu hawa hata ukimsaidia haridhiki na siku ukiacha kumsaidia ni lawama mtaa mzima.
Kabisa ..na siku akitokea mtu anayeweza kumsaidia zaidi yako urafiki na ukaribu wenu unakufa kabisaaa

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Zamani nilikuwa siwezi kuacha kumsaidia mtu akinililia shida Ila kuanzia 2015 neno sina pesa limekaa mdomoni kwangu kama mate na wala sijali ninachoweza msaidia ni kumuonesha sehemu panapokopesha Tu basi
 
Zamani nilikuwa siwezi kuacha kumsaidia mtu akinililia shida Ila kuanzia 2015 neno sina pesa limekaa mdomoni kwangu kama mate na wala sijali ninachoweza msaidia ni kumuonesha sehemu panapokopesha Tu basi
mkuu hii shida mm ninayo hadi sasa ivi ,yaani ukiwa na shida ukiniomba msaada naona aibu kukupotezea naona ni Bora hata nikukopee lakini nisikuache ivo ,hili ni tatizo ambalo imekuwa sugu kwangu.
 
Urafiki bila pesa labda Jela, ila mtaani ni usela mavvi - Young Killer

Urafiki sio urafiki, kama usipochanganywa na kazi - Fid Q

Mkuu rafiki huwa ni zaidi ya ndugu,, unapochagua rafiki hakikisha mna common interest, Yaani mnaendana kwa vitu vingi sanaa na kila mmoja awe msaada kwa mwenzake kwa namna yoyote ile.. Ukiona mzigo unaelemea upande mmoja basi jua hapo nyie sio marafiki.
 
Ushawahi kuwa na rafiki kila siku ana shida yeye, analalamika yeye tu akiwa na shida haraka kwenda.

Rafiki anataka kukugeuza kama chawa wake hivi. Kukopa sasa pesa ndio usiseme
Ulifanyaje ulivyokuwa na rafiki wa hivi muda wote analalamika anaona humtendei vyema tu.
....wa hivyo sichelewi kumwaga!
 
Back
Top Bottom