Monetary doctor
JF-Expert Member
- Oct 20, 2022
- 3,711
- 6,762
Ok
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpwa, kumbe ulishashindikana tangu mdogo. Daaah 🤣 🤣NB: Me ni mtoro konki toxic mtoro, nishawahi kufatwa na Discipline,Academic, na Biology teachers home wakisema niende skuli baada ya kukaa utoro 2months.
Sasa umekua!Nimesoma kayumba 3 S/Msingi, nikahamia EM kuanzia darasa la 5-7.
Kayumba imenifundisha uwajibikaji kufagia eneo langu,kuwahi shuleni,kuishi kijamii bila ubaguzi.
Sema kuombana kulikuwa kunaboa, umenunua zako barafu/mihogo mikono kama 20 ishafika "Noma naomba hata kadogoo, naomba aya sitakupa barafu yangu"
unagawia wenzako unakula kadogo, mixer kulamba barafu yote ili usiombwe, but kayumba was fun.
EM ilikuwa poa sana kwanza tuko wachache, miundombinu imara, library ina maencyclopedia kama 200. EM vitoto vinaringa kinoma kuna pisi nilikubali naitafuta mpaka sahivi inaitwa Winifrida Sylvester kama upo humu jitokeze.
Kuanzia sekondari ya awali mpaka sekondari ya juu nimepiga kayumba, wana na wadada wako peace.
NB: Me ni mtoro konki toxic mtoro, nishawahi kufatwa na Discipline,Academic, na Biology teachers home wakisema niende skuli baada ya kukaa utoro 2months.
Acha tu shangazi ila magamba yana mabanda tu 😀Mpwa, kumbe ulishashindikana tangu mdogo. Daaah
Wakati mwingine nyie vijana bila kufokewa kidogo hamkitulizi 🤣 🤣 🤣Saa mshangazi nn tena😉, unanifuria nn😂😂😂😂, nisha kupa tahadhari juu, 'usinvimbie' nawe unafura tu bac naomba nichangie operesheni "Ondoa Kovu"
Nimekua ndio!Sasa umekua!
hii sio nzuri, futa tu jina lakeinaitwa Wi****** *********
Heshima yako babes, wewe unaweza kupewa hata nchi kabisa 🤣😭Nipeeni heshima rulling 4000+ plus girls is not a joke
Mkuu rogerhii sio nzuri, futa tu jina lake
"Mnada wa chai ya shule" hebu tuelezee vizuri ilikuwaje?Nikiwa Darasa la SITA,tulikesha kwenye mnada wa chai ya shule kipindi Cha baridi Kali kama Russia!
Tuambieni basi na nyinyi mnakumbuka nini kutoka International school zenu?
Umenikumbusha mbali sana 😅 nimesoma Shule ya serikali na nilipoingia form one hakuna nilichokua naelewa 😀Kwa uelewa ulionao sasa, unafikiri ungesoma shule tofauti ingekusaidia kwenye maisha, ajira au biashara?
Je, watoto wako watasoma shule kama uliyosoma wewe au utawapeleka kwingine?
Binafsi nimesoma shule ya msingi ya serikali, mkoani Tabora. Nakumbuka nilikua na eneo langu la bustani la kumwagilia na kusafisha kila asubuhi, walimu walikua wakarimu sana na nilifurahia shule.
Vifaa vya darasani vilikua duni, bado nina kovu kubwa pajani la kukatwa na viti vya chuma vilivyokua vimechakaa.
Sekondari nimesoma shule ya private, tulikua tunachagua vyakula na kutengeneza meal plans kila term.
Watoto wangu wamesoma EM, kwa sababu baba yao alitaka wasome huko.
CC:
Nomadix
makutupora
realMamy
Mallerina
I feel you, ukitoka serikali, form 1 huwa inakua ngumu sana.Umenikumbusha mbali sana 😅 nimesoma Shule ya serikali na nilipoingia form one hakuna nilichokua naelewa 😀
Both😂😂Kwa uelewa ulionao sasa, unafikiri ungesoma shule tofauti ingekusaidia kwenye maisha, ajira au biashara?
Je, watoto wako watasoma shule kama uliyosoma wewe au utawapeleka kwingine?
Binafsi nimesoma shule ya msingi ya serikali, mkoani Tabora. Nakumbuka nilikua na eneo langu la bustani la kumwagilia na kusafisha kila asubuhi, walimu walikua wakarimu sana na nilifurahia shule.
Vifaa vya darasani vilikua duni, bado nina kovu kubwa pajani la kukatwa na viti vya chuma vilivyokua vimechakaa.
Sekondari nimesoma shule ya private, tulikua tunachagua vyakula na kutengeneza meal plans kila term.
Watoto wangu wamesoma EM, kwa sababu baba yao alitaka wasome huko.
CC:
Nomadix
makutupora
realMamy
Mallerina
Kwahiyo bangi ulijifunzia shuleni au?Kama siyo shule nisingekuwa mvuta bangi
Asante shule
Duuuh 🤣 🤣 🤣 kuna watu walikua wamepinda sana.Kayumba nikiwa chekechea wiki ya kwanza jamaa wa darasa la saba akapigana na mwalimu mkuu, mwalimu akapigwa