Ulisoma english medium au shule ya serikali? Na nini unakumbuka kuhusu shule yenu?

Ulisoma english medium au shule ya serikali? Na nini unakumbuka kuhusu shule yenu?

nyinyi ndo mlikuwa mnatuchafua maliwatoni. kule mlikuwa mnatumia vyoo vya kulenga. huku mmekuta vyoo vya mchawi mweupe, hessian.

mtu anaingia maliwato anapanda na viatu vyake ile sehemu ya kukalia anashusha mzigo anasepa😜
Hehehe..
Bahati nzuri, nilijifunza matumizi sahihi ya vyoo mapema.
Pamoja na kusoma shule za serikali, nimetumia hivyo vyoo vya ku-flush tangu level nikiwa ya sekondari (nyumbani).
Chuo nilikuwa nanunua ile bundle nzima ya rolls za TP maana kukalia vile vyoo vya Hall 2 na Hall 5 ilibidi kutandaza TP nyingi sana.
 
Hii thread yako ina mchango gani wa kimaendeleo ktk jamii?mbaandika tu kila mnachoharisha
Usitupangie, tunaandika tunavyopenda. Kuna mtu amekulazimisha kuja kuisoma hii nyuzi? au ni mambo ya kipumbavu tu unaendekeza?

giphy.gif
 
Nilisoma Kayumba level zote.

Primary, kuanzia std 1 had 4 nilikua kiongozi wa darasa, std 5 nilikua kiongozi wa michezo, std 6 na 7 nilikua kiongozi wa Taaluma.

O level, 4m 1 had 2 nilikua kiongozi wa usafi na mazingira, 4m 3 nilikua kiongozi wa Nidhamu na Malezi.

A level, nilikua General secretary.

University, sikua na uongozi wowote, [emoji23][emoji23][emoji23]

Maisha ya primary nilifurahia mno, yalikua na heka heka nyingi plus urumbi urumbi mwingi

Maisha ya O level, niliyafurahia kwa kiasi na kuanzia 4m 3 maana ndo nilikua nshaizoea shule.

Maisha ya Advance, sikuyafurahia maana nilikua nakimbizana na madesa huku muda ni mchache.

Maisha ya university, hapa nili enjoy, kuna tuvitu vitu vilikua vinani turn on mnoo. Yaan ilikua full burudaniii.

......
 
Nilisoma Kayumba level zote.

Primary, kuanzia std 1 had 4 nilikua kiongozi wa darasa, std 5 nilikua kiongozi wa michezo, std 6 na 7 nilikua kiongozi wa Taaluma.

O level, 4m 1 had 2 nilikua kiongozi wa usafi na mazingira, 4m 3 nilikua kiongozi wa Nidhamu na Malezi.

A level, nilikua General secretary.

University, sikua na uongozi wowote, [emoji23][emoji23][emoji23]

Maisha ya primary nilifurahia mno, yalikua na heka heka nyingi plus urumbi urumbi mwingi

Maisha ya O level, niliyafurahia kwa kiasi na kuanzia 4m 3 maana ndo nilikua nshaizoea shule.

Maisha ya Advance, sikuyafurahia maana nilikua nakimbizana na madesa huku muda ni mchache.

Maisha ya university, hapa nili enjoy, kuna tuvitu vitu vilikua vinani turn on mnoo. Yaan ilikua full burudaniii.

......
Daaah wewe lazima shule uliifurahia sana, you lived well šŸ™Œ !

Mallerina huyu anafaa kuwa waziri kwenye cabinet yako Madam president.
 
😳 😳
Tuvitu mh tuvitu gani?
Kukuturn on
We Coca wewe Cocaa hebu elezea kinaga ubaga
Umewazaa nn? [emoji23][emoji23][emoji23]
Wee chuo kuna tuvitu vitu vya kufanya mtu u enjoy.
Wee hujui kwan? Lol
 
Umewazaa nn? [emoji23][emoji23][emoji23]
Wee chuo kuna tuvitu vitu vya kufanya mtu u enjoy.
Wee hujui kwan? Lol
[emoji23][emoji23]
Ndio utaje hutotuvitu sasa, mbona unatuhide kama ni tuzuri.
 
Kwa uelewa ulionao sasa, unafikiri ungesoma shule tofauti ingekusaidia kwenye maisha, ajira au biashara?

Je, watoto wako watasoma shule kama uliyosoma wewe au utawapeleka kwingine?

Binafsi nimesoma shule ya msingi ya serikali, mkoani Tabora. Nakumbuka nilikua na eneo langu la bustani la kumwagilia na kusafisha kila asubuhi, walimu walikua wakarimu sana na nilifurahia shule.
Vifaa vya darasani vilikua duni, bado nina kovu kubwa pajani la kukatwa na viti vya chuma vilivyokua vimechakaa.

Sekondari nimesoma shule ya private, tulikua tunachagua vyakula na kutengeneza meal plans kila term.
Watoto wangu wamesoma EM, kwa sababu baba yao alitaka wasome huko.


CC:
Nomadix
makutupora
realMamy
Mallerina
Binafsi nilikuwa nashinda kwenye miembe na Mizambarau kule Tabora wakati wenzangu wapo darasani na Siku zote nilikuwa nakaa shule masaa Manne tu either Yale ya asubuhi au ya mchana hakika Maisha ya shule yalikuwa mazuri.
 
Binafsi nilikuwa nashinda kwenye miembe na Mizambarau kule Tabora wakati wenzangu wapo darasani na Siku zote nilikuwa nakaa shule masaa Manne tu either Yale ya asubuhi au ya mchana hakika Maisha ya shule yalikuwa mazuri.
Mizambarau 🤣 Daaah, umenikumbusha mbali sana!
 
Secondary nime soma kiluvya sec.
Kuna mwalimua alikuwa anaitwa geradi niligombana nae Nika muonyeshea Dole la kati mbele ya watoto wa form one
akaanza kulia kwa aibu kwa Asira zake akaanza kunikimbiza
akaanguka chini na kitambi chake akaanza kunirushia mawe akanikosa akarudi ofisini huku analia. RIP Mwalimu geradi
 
Back
Top Bottom