Ndiyo...ila mishangazi nimejifunzia jfKwahiyo bangi ulijifunzia shuleni au?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndiyo...ila mishangazi nimejifunzia jfKwahiyo bangi ulijifunzia shuleni au?
ww kweli ni mshangazi wa nguvu basi😂🤩.Wakati mwingine nyie vijana bila kufokewa kidogo hamkitulizi 🤣 🤣 🤣
Hili kovu sitaki liondoke buana, ni kumbukumbu na kila anayeliona analipenda.
Mkuu huyi Jamaa wa darasa la 7, hakuwa sultan ibn mbowe king'ang'anizi?Kayumba nikiwa chekechea wiki ya kwanza jamaa wa darasa la saba akapigana na mwalimu mkuu, mwalimu akapigwa
Asante kwa kushare.Nilisoma shule za serikali kuanzia primary, sekondari mpaka chuo.
Nikijitathmini sasa hivi, nina uelewa wa mambo mengi kuliko wengi wa rika langu bila kujali walisoma shule za EM au serikali; zote ni juhudi binafsi.
Pamoja na hayo, mwanangu anasoma shule ya binafsi na hiki kijacho, nimeoanga kisome Cambridge Schools. Nina uhakika shule za binafsi zinarahisisha mambo ilhali kwa shule za serikali, ukitoka, jua wewe kichwa kwelikweli.
Elimu haina mwisho, kwa niaba ya mashangazi wote, tunakukaribisha kwenye ulimwengu wetu!Ndiyo...ila mishangazi nimejifunzia jf
nyinyi ndo mlikuwa mnatuchafua maliwatoni. kule mlikuwa mnatumia vyoo vya kulenga. huku mmekuta vyoo vya mchawi mweupe, hessian.Nilisoma shule za serikali kuanzia primary, sekondari mpaka chuo
School president???Me nakumbuka nikiwa school PRESIDENT 😊🙏
Her majesty
Yani kutoka shule ya msingi mpaka leo unaitafutakuna pisi nilikubali naitafuta mpaka sahivi inaitwa Winnie kama upo humu jitokeze.
Shkaoooo dyadyaaa! (Isome ivo ivo) 😂Asante kwa kushare.
Nimeona kwa watoto wangu, shule za binafsi zinarahisisha transition ya primary to secondary.
Halafu ukatoka na D ngapi? 😍Nlikuwa mtu mkubwa msinione hivi humu JF
HeheheNikijitathmini sasa hivi, nina uelewa wa mambo mengi kuliko wengi wa rika langu
Well saidAsante kwa kushare.
Nimeona kwa watoto wangu, shule za binafsi zinarahisisha transition ya primary to secondary.
Definition ya Biology baada ya mwezi ndo unainyaka vizuriI feel you, ukitoka serikali, form 1 huwa inakua ngumu sana.
Ila Juma Vigimbi, alikua kashindikana 🤣🤣🤣Nimesoma shule za serikali, nakumbuka shule ya msingi kuna mwamba alikuwa memkwa amekomaa sana tulikuwa tunamuita juma vigimbi, huyo mwamba hakuja na mbolea na aligoma kumwagilia maua akachapana na mwalimu wa hisabati, ticha alikula mitama yakutosha tu wanafunzi wa darasa la saba tukashangilia sana... tukatembezewa stick darasa zima.
sijui kama watoto wa sasa wanajua maana ya memkwa 😁
Ila we Dogo nimekushindwa, nasoma replies zako hapa nachoka 🤣🤣Shkaoooo dyadyaaa! (Isome ivo ivo) 😂
Sio shikamoo ni shkaoooo ... Aranda kyatando mirilooo (nanena kwa lugha 😉)
Mapito ya mwenye Haki ni Mengi ila Bwana humwokoa nayo 🤣Ila we Dogo nimekushindwa, nasoma replies zako hapa nachoka 🤣🤣
D yote hio kwani nataka kuwa daktari 😹Halafu ukatoka na D ngapi? 😍