Ulitumia kiasi gani cha fedha ama umepanga kutumia kiasi gani cha fedha kugharamia harusi yako?

Ulitumia kiasi gani cha fedha ama umepanga kutumia kiasi gani cha fedha kugharamia harusi yako?

🤣🤣🤣 na changamoto iliyopo kama ni used lazima huyo atakuwa malaya.

Kwa sababu huwa najiuliza mpaka mimi nimekuja kumuoa kashachezea virungu vingapi?

Ndio maana suala la usaliti limekuwa kawaida sana

Wazungu wanasema ukimuoa aliyetumika your dick inside her wasn't the first one, and it won't be the last
Hao wa kuwakuta sealed unaweza bahatisha 1 Kwa elfu 1

Ni wachache sana nowadays
 
Mko wa chache sana wa hivi ..ila wengi wanapenda sherehe maana ina faida
Mwenyewe nimestaajabu, Kuna wengine unaweza Kuta mmekaa na kuzaa hata watoto Wana miaka 20 plus lakini ikipatikana nafasi anataka muende mkafanye sherehe ya Ndoa yenu hata kama mmlifunga miaka 30 iliyopita eti kisa hamkufanyaga sherehe wakati huo 🙌😜
 
Suala la Kuoa ama kuolewa bado litaendelea kuwa ni hitaji muhimu miongoni mwa Jamii ya watu wengi Ulimwenguni.

Kwa Tanzania, tunazo Ndoa za aina mbalimbali ambazo zinatambulika kisheria ambazo ni Ndoa za Kidini, Kimila na Kiserikali.

Mara baada ya kufunga Ndoa, maharusi wengi Kwa kushirikiana na jamii zao, hupenda kufanya sherehe. Sherehe hizo huambatana na michango Kwa walio wengi kupitisha Kadi kwaajili ya kuomba kuchangiwa kufanikisha sherehe za harusi zao.

Japo baadhi hufanya sherehe za harusi zao pasipo kuomba michango Kwa ndugu/jamaa na marafiki. Wao hugharamia Kila kitu wao wenyewe na hao ndugu/jamaa na marafiki hupewa Kadi za mwaliko kuweza kuhudhuria sherehe tu.

Kwa utafiti usio rasmi, sherehe za harusi hupendwa zaidi na Wanawake kuliko Wanaume. Wanaume wako tayari kufunga Ndoa za kimya kimya lakini sio Wanawake.

Je ulitumia fedha kiasi gani kufanikisha harusi yako ama umepanga kutumia fedha kiasi gani kwaajili ya harusi yako na mwenzi wako?

Binafsi, nilitumia kiasi cha shilingi milioni 10 kuweza kufanikisha harusi yangu na Bibi yenu miaka kadhaa iliyopita 🤗🙏

Sikuhitaji kuchangiwa fedha kufanikisha sherehe ile, bali niliweza kujipanga mwenyewe Kwa muda wa miaka 5.

Nilifungua akaunti maalumu Benki (Fixed deposit account) ambayo nilikuwa nina ruhusiwa kuweka fedha pasipo kutoa Kwa muda wa miaka 5 hivi, japo nilikuwa napata interest kidogo za Benki.

Baada ya miaka 4 hivi, nilikwenda kuchungulia fedha nikakuta nina milioni 9.35 so nikaanza maandalizi kujiandaa na harusi Mwaka unaofatia.

Mind you, tayari nilikuwa nina Cheti cha Ndoa ya Serikali na mwenzangu lakini yeye Kiu yake ni lazima tukafunge ile ya Kanisani 🙌

Kuna wakati nilikuwa nafanya biashara ya kununua na kuuza mazao ya nafaka. Nilikuwa naenda Mashambani, nawakopesha fedha Wakulima then wakati wa mavuno nilikuwa naenda kukusanya mazao hasa zao la Mpunga.

Kwahiyo kwenye ile harusi, sikuwa na hofu ya Chakula maana tayari nilikuwa nina stock ya magunia ya kutosha ya Mpunga.

Wanasema harusi ni kula na Kunywa. Kwahiyo nilijiandaa kwenye eneo hili.

Kwenye upande wa Chakula niliandaa wali mweupe,Pilau, chips, mtori, nyama za kukaanga, kachumbali

Vinywaji niliandaa Soda na Maji tu.

Niliandaa Kadi za Mwaliko za watu 300 lakini walifika watu 358 japo hili nilijua lazima lingetokea maana harusi yenyewe niliifanyia Kijijini kwahiyo wengi ni wale watu mnajuana. Kwahiyo niliweka chakula na Vinywaji Kwa zaidi (excess budgeting)

Pamoja na Wageni waalikwa, usiku ule nilikuwa na Mchungaji pamoja na Mwinjilisti ambao walishiriki kuanzia mwanzo wa harusi hadi tunamaliza tukio majira ya saa 9 usiku.

Gharama za mavazi za Wapambe niligharamia mwenyewe kuanzia mavazi ya Kanisani hadi Ukumbini 🙌

Niliamua kukodisha Ma-MC wawili ili kunogesha sherehe 🤗

Pete nilinunua zenye ppt ya dhahabu, kuogopa zisije kupauka.

Mchanganuo wa Bajeti yangu kufanikisha sherehe ile, nimeambatisha kwaajili ya wengine kujifunza.

Kumbukeni, hata kama umeoa bado unaweza kuja kuozesha watoto wako miaka ijayo. Baadhi yetu mnaweza kuwa Wanakamati kwenye harusi za wengine pia

Kwahiyo Harusi zitaendelea kufanyika hata baada ya kufa kwetu maana tutakuwa tumeacha Kizazi chetu kinaendelea Kuoa na kuolewa.
Mimi it was a simple thing, sikuchangisha mtu hata mia, na nukafanya kitu kidogo tu coz sikua na uwezo those years.
Bajeti-2,000,000
Idadi ya watu-55
Ilikua simple sana.
 
Mimi it was a simple thing, sikuchangisha mtu hata mia, na nukafanya kitu kidogo tu coz sikua na uwezo those years.
Bajeti-2,000,000
Idadi ya watu-55
Ilikua simple sana.
Kwa kipindi hicho unaweza kukuta hiyo 2M ilifanya watu wale/wanywe na kusaza

Congrats Mkuu 👏👏
 
Hao wa kuwakuta sealed unaweza bahatisha 1 Kwa elfu 1

Ni wachache sana nowadays
Ila kumtolea mahari used inataka moyo sana

Unalipia mahari manzi ambaye watu wamemla bure kabisa na bado wataendelea kumla hata baada ya kuolewa

Imagine unalipia honeymoon hotel kubwa halafu kuna wahuni walimmega tu lodge ya buku 10

If she slept with other men for free should be offered for free
 
Mwenyewe nimestaajabu, Kuna wengine unaweza Kuta mmekaa na kuzaa hata watoto Wana miaka 20 plus lakini ikipatikana nafasi anataka muende mkafanye sherehe ya Ndoa yenu hata kama mmlifunga miaka 30 iliyopita eti kisa hamkufanyaga sherehe wakati huo 🙌😜
Ukiona hapendi sherehe ujue kazidi umri wa ujana/ubinti ...hahahahaha yaani ni kama kaupita umri ule wa kupenda sifa
 
Ila kumtolea mahari used inataka moyo sana

Unalipia mahari manzi ambaye watu wamemla bure kabisa na bado wataendelea kumla hata baada ya kuolewa

Imagine unalipia honeymoon hotel kubwa halafu kuna wahuni walimmega tu lodge ya buku 10

If she slept with other men for free should be offered for free
Mkuu ukiwa na mtazamo huu kweli mabinti zetu mtawaoa kweli?

Wengine waliingia kwenye mahusiano tofauti tofauti kutokana na kukosa watu serious

Unakuta Leo anadate na wewe akikuona huna u-serious kwenye maisha na Mipango anaamua muachane na kujikuta kudate na mwingine

Kumbuka Wanaume hatuwezi kuingia Kwenye mahusiano bila kutafunana (Niliwahi kuachana na Binti aliyekuwa hataki kunipa tamu yake eti hadi nimwoe miaka ile ya Giza)

Tukumbuke pia, Maumbile yetu Wanaume yanatofautiana.

Bunduki ninayoimiliki Mimi inaweza kuwa tofauti na bunduki ya Mwanaume mwingine.

Imagine huyo Mwanamke ametembea na wewe then akaja kutembea na Mimi, baadaye lazima uje uone utofauti wa Maumbile yake 😜
 
Ukiona hapendi sherehe ujue kazidi umri wa ujana/ubinti ...hahahahaha yaani ni kama kaupita umri ule wa kupenda sifa
Hahahaha.............nadhani ile kutambiana na wenzake kwenye magroup yao huko Whatsapp yanachangia pia

Akiwa mtu mzima kiasi anakuwa na mtazamo wa kiutuuzima kidogo 🤗
 
Mkuu Wanaume tumeumbiwa mateso

Ndiyo maana tunatumia zaidi ya asilimia 80 ya Kipato chetu kuhakikisha Mkeo na familia Kwa ujumla inakuwa na amani na furaha

Nyumba ikiwa haina amani, itakuathiri Kazini pamoja na kipato Kwa ujumla

Ndiyo maana Wazee walisema nyumba yenye amani ni ile ambayo "Kitanda kinatikisika Usiku" 🤗
Sio mbaya mkuu, kikubwa uzima na amani.
 
Ngoja nimfiche kabisa Bibi yako asije kuona tangazo lako hapa 🤗

Vijana hamchelewi kumpa ofa ya kumpeleka Vacation Zanzibar 😜
Yani kwenye harusi menyu ni kande alafu nmpeleke mtu vakesheni znz? Nachoweza kumpelekea ni moto tu huyo mlengwa 😂
 
Sio mbaya mkuu, kikubwa uzima na amani.
Kabisa Mkuu

Ukitaka uone nyumba chungu, hakikisha hamko kwenye good term na Mkeo nyumbani

Hata kama hiyo nyumba mnayoishi ina Kitanda cha shilingi milioni 9 utakiona kichungu sana hakika 😜
 
Mkuu ukiwa na mtazamo huu kweli mabinti zetu mtawaoa kweli?

Wengine waliingia kwenye mahusiano tofauti tofauti kutokana na kukosa watu serious

Unakuta Leo anadate na wewe akikuona huna u-serious kwenye maisha na Mipango anaamua muachane na kujikuta kudate na mwingine

Kumbuka Wanaume hatuwezi kuingia Kwenye mahusiano bila kutafunana (Niliwahi kuachana na Binti aliyekuwa hataki kunipa tamu yake eti hadi nimwoe miaka ile ya Giza)

Tukumbuke pia, Maumbile yetu Wanaume yanatofautiana.

Bunduki ninayoimiliki Mimi inaweza kuwa tofauti na bunduki ya Mwanaume mwingine.

Imagine huyo Mwanamke ametembea na wewe then akaja kutembea na Mimi, baadaye lazima uje uone utofauti wa Maumbile yake 😜
Tumesababisha sisi wenyewe wanaume tumeshusha sana standards za wanawake wa kuwaoa

Baba zetu na babu zetu kigezo kilikuwa awe bikira. Na hata Mungu mwenye anataka iwe hivyo

Tukaja tukashusha hiyo standard mpaka kuoa wasio bikira

Ikaja watu wameanza kuoa single maza mwenye mtoto mmoja

Sasa hivi wanaume wanaoa single maza wenye watoto 3 na kila mtoto ana baba yake

Kama haitoshi wengine wameamua kufanya maisha na malaya kabisa

Wanaume tukikaza kwenye standards za wanawake wa kufanya nao maisha watatunza tupu zao badala ya kuchanua ovyoovyo mapaja

Cha ajabu wanawake miaka yote hiyo hawajashusha standards wanataka wafanye maisha na mwanamume mwenye kibunda, kazi nzuri na status

She'll judge you by your pocket

The more reason you should judge her by her body count or being non-virgin

The game is brutal but still fair
 
Tumesababisha sisi wenyewe wanaume tumeshusha sana standards za wanawake wa kuwaoa

Baba zetu na babu zetu kigezo kilikuwa awe bikira

Tukaja tukashusha hiyo standard mpaka kuoa wasio bikira

Ikaja watu wameanza kuoa single maza mwenye mtoto mmoja

Sasa hivi wanaume wanaoa single maza wenye watoto 3 na kila mtoto ana baba yake

Kama haitoshi wengine wameamua kufanya maisha na malaya kabisa

Wanaume tukikaza kwenye standards za wanawake wa kufanya nao maisha watatunza tupu zao badala ya kuchanua ovyoovyo mapaja

Cha ajabu wanawake miaka yote hiyo hawajashusha standards wanataka wafanye maisha na mwanamume mwenye kibunda, kazi nzuri na status

She'll judge you by your pocket

The more reason you should judge her by her body count or being non-virgin

The game is brutal but still fair
I'm real blessed Kwa kweli, labda Kwa kuwa nilioa miaka ile hakuna smartphone Mwaka 47 🤗

Ila to be honest, miaka hii changamoto ni kubwa sana aisee, ukibahatika shukuru Mungu

Hata kama utapata Singo Mama mwenye watoto 3, hakikisha na wewe anakuzalia watoto wako 4

Hiyo ndiyo principal yangu 🤗
 
Back
Top Bottom