Ulitumia njia gani kumkwepa mtu aliyetaka kuzidisha mazoea na wewe?

Ulitumia njia gani kumkwepa mtu aliyetaka kuzidisha mazoea na wewe?

Joined
Jan 14, 2020
Posts
19
Reaction score
42
Hatimae nimepambana nimefanikiwa kupata buku la bando ili tu nilete huu uzi,

Kwanza habari za humu wanaJF wenzangu. Natumai mko poa kabisa.

Mada yangu kama inavyosema hapo juu,

Mimi nakumbuka kuna mdada kipindi nimeajiriwa kazi ya duka,

Alinikuta siku moja nakula nikamkaribisha tukala siku hiyo, basi yeye akawa anatime muda ninaokula anakuja, na akikuta bado anasubiria mpaka tu ale ndo aondoke, nilitumia njia moja tu kumkwepa, nikawa sipiki, nakula tu mikate na maandazi, ikumbukwe ni mke wa mtu halafu alikuwa na mimba

Je, wewe limewahi kukutokea kama hilo?
 
Sawa mkuu, ila ingekuwa ni vizuri uka ainisha tujibu swali lipi kati ya hayo mawili, au unataka majibu ya yote?
 
Hatimae nimepambana nimefanikiwa kupata buku la bando ili tu nilete huu uzi,
Kwanza habari za humu wanaJF wenzangu,
Natumai mko poa kabisa
Mada yangu kama inavyosema hapo juu,

Mimi nakumbuka kuna mdada kipindi nimeajiriwa kazi ya duka,

Alinikuta siku moja nakula nikamkaribisha tukala siku hiyo, basi yeye akawa anatime muda ninaokula anakuja, na akikuta bado anasubiria mpaka tu ale ndo aondoke, nilitumia njia moja tu kumkwepa, nikawa sipiki, nakula tu mikate na maandazi, ikumbukwe ni mke wa mtu halafu alikuwa na mimba

Je, wewe limewahi kukutokea kama hilo?
Acha uchoyo bwashee
 
Hatimae nimepambana nimefanikiwa kupata buku la bando ili tu nilete huu uzi,
Kwanza habari za humu wanaJF wenzangu,
Natumai mko poa kabisa
Mada yangu kama inavyosema hapo juu,

Mimi nakumbuka kuna mdada kipindi nimeajiriwa kazi ya duka,

Alinikuta siku moja nakula nikamkaribisha tukala siku hiyo, basi yeye akawa anatime muda ninaokula anakuja, na akikuta bado anasubiria mpaka tu ale ndo aondoke, nilitumia njia moja tu kumkwepa, nikawa sipiki, nakula tu mikate na maandazi, ikumbukwe ni mke wa mtu halafu alikuwa na mimba

Je, wewe limewahi kukutokea kama hilo?
Huo uchoyo sasa. Mtu akiwa anakuja kula furahia. Kumpa mtu chakula ni ishara upendo na huleta baraka. MUNGU atakupa zaidi ukitoa chakula, maji na sehemu ya kulala.
 
Hatimae nimepambana nimefanikiwa kupata buku la bando ili tu nilete huu uzi,

Kwanza habari za humu wanaJF wenzangu. Natumai mko poa kabisa.

Mada yangu kama inavyosema hapo juu,

Mimi nakumbuka kuna mdada kipindi nimeajiriwa kazi ya duka,

Alinikuta siku moja nakula nikamkaribisha tukala siku hiyo, basi yeye akawa anatime muda ninaokula anakuja, na akikuta bado anasubiria mpaka tu ale ndo aondoke, nilitumia njia moja tu kumkwepa, nikawa sipiki, nakula tu mikate na maandazi, ikumbukwe ni mke wa mtu halafu alikuwa na mimba

Je, wewe limewahi kukutokea kama hilo?
Huyo mwenye mimba ulimkosea sana si ajabu mimba yake ilikupenda, na mimba ikikupenda Huwa wanahaangaika sana unaweza kuhisi keto siyo wao Bali ni mimba walizobeba. Nikirudi Kwenye Mada, ujue mazoea anayeyaruhusu ni mhusika mwenyewe, hivyo kupunguza mazoeza weka ukauzu tu mazoea yanaisha
 
Najua hali ni ngumu ila jifunze kutenda mema. Pika chakula aje ale utakuja nishukuru baadae.
Unaweza siku ukakosa hata mia huyo akawa ndiyo msaada wako.
Ishi na watu vizuri, usijetenge na penda kuwa na mazoea na watu kwa kiasi. Hautateseka kwenye hii dunia
 
Wewe ndiye uliye muanzishia mazowea,mtu hawezi kukuzowea kama wewe muhusika hujampa nafasi,
But yapo mazowea yenye faida na yapo yasiyo na faida.
 
Back
Top Bottom