Uliwahi kufumaniwa

Uliwahi kufumaniwa

Arsenals

Member
Joined
Feb 28, 2020
Posts
12
Reaction score
5
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 30 ninaishi na mwanamke ambae tumepanga kuoana na kufunga ndoa. Nilipokutana na mwezangu nilikuwa nafanya kazi serikalini kwa mkataba. Kipindi chote hicho tuliishi vizuri tu japo palikuwa na changamoto mija ikiwa mimi tayali nina watoto wawili amboa mwanzoni mwa mahusiano yetu sikumwambia but badae akaja kujua japo alichukia lakin mambo yakawa sawa.
Mnamo mwaka jana mkataba wangu wa kazi ukafika meisho na kuto kuendelea apo ndipo changamoto za mahusiano zikaanza kwa kulaumiwa kuwa nafanya mawasiliano na mzazi mwezangu nilie zaanae mala nina wanawake wengi. Nakumbuka baada ya miezi kama miwili hivi toka mimi kutokuwa na kazi lasmi mapombo ya ndani kwa mwezangu yakawa tofauti nikiomba unyumba mala naumwa na tumbo mala nimechoka mala sijisikii iyo ikanipelekea kukaa zaidi ya miezi miwili no kukutana kimwili. Kwakuwa ninahamu ya kuduu nilimuita msichana mmoja aje home alipo kuja nikamshawishi akaingia kenge sasa nipo nae ktk ulingo gafla mwezangu anaingia ndani na kumkuta mwanamke. Alilalamika sana nimeshindwa kumvumilia kutokana na alivyo kuwa ananiambia kuwa anaumwa ama amechoka na kazi. Nilijishusha nikamuomba msamaha taishe nimekosea tuyamalize tu. Alichokifanya ni kuwapigia simu mawifi zake na kuwaeleza kilichotokea huku huku akijisahau kwamba yeye ndio chanzo cha yote. Sasa toka kanifumania hata atakiki kunipa mzigo nikimgusa utasikia ebu niache bwana week up to week nilicho amua mimi kuto mgusa wala kumsumbua hadi atakapo jisikia mwenyewe yapata mwezi na nusu sasa na nimepanga ikifika miezi mitatu nitaachana nae kwakuwa mimi ni mwanaume nilie kamilika sitoweza kuvumilia zaidi kuona mzigo kwa macho tu. Mana unalala nae kitanda kimoja na anaoga unamuona so nisije nikaja kumbaka japo ni mwezangu ninae ishinae. So naomba ushauri wenu wandugu coz nifanyeje ili niweze jikomoa na hili.
 
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 30 ninaishi na mwanamke ambae tumepanga kuoana na kufunga ndoa. Nilipokutana na mwezangu nilikuwa nafanya kazi serikalini kwa mkataba. Kipindi chote hicho tuliishi vizuri tu japo palikuwa na changamoto mija ikiwa mimi tayali nina watoto wawili amboa mwanzoni mwa mahusiano yetu sikumwambia but badae akaja kujua japo alichukia lakin mambo yakawa sawa.
Mnamo mwaka jana mkataba wangu wa kazi ukafika meisho na kuto kuendelea apo ndipo changamoto za mahusiano zikaanza kwa kulaumiwa kuwa nafanya mawasiliano na mzazi mwezangu nilie zaanae mala nina wanawake wengi. Nakumbuka baada ya miezi kama miwili hivi toka mimi kutokuwa na kazi lasmi mapombo ya ndani kwa mwezangu yakawa tofauti nikiomba unyumba mala naumwa na tumbo mala nimechoka mala sijisikii iyo ikanipelekea kukaa zaidi ya miezi miwili no kukutana kimwili. Kwakuwa ninahamu ya kuduu nilimuita msichana mmoja aje home alipo kuja nikamshawishi akaingia kenge sasa nipo nae ktk ulingo gafla mwezangu anaingia ndani na kumkuta mwanamke. Alilalamika sana nimeshindwa kumvumilia kutokana na alivyo kuwa ananiambia kuwa anaumwa ama amechoka na kazi. Nilijishusha nikamuomba msamaha taishe nimekosea tuyamalize tu. Alichokifanya ni kuwapigia simu mawifi zake na kuwaeleza kilichotokea huku huku akijisahau kwamba yeye ndio chanzo cha yote. Sasa toka kanifumania hata atakiki kunipa mzigo nikimgusa utasikia ebu niache bwana week up to week nilicho amua mimi kuto mgusa wala kumsumbua hadi atakapo jisikia mwenyewe yapata mwezi na nusu sasa na nimepanga ikifika miezi mitatu nitaachana nae kwakuwa mimi ni mwanaume nilie kamilika sitoweza kuvumilia zaidi kuona mzigo kwa macho tu. Mana unalala nae kitanda kimoja na anaoga unamuona so nisije nikaja kumbaka japo ni mwezangu ninae ishinae. So naomba ushauri wenu wandugu coz nifanyeje ili niweze jikomoa na hili.
Ili changamoto hiyo iishe Oa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mmezaa ??? . tatizo hawa wakishakufuma ili mpaka arudi mwanzo Mara nyingi mpaka nayeye atafunwe.


Sikia Acha kucheka Cheka na kumbembeleza .


Hawa wanawake wanahitaji Maisha mix, Leo Unakaza sauti...Kesho unabembeleza, kesho unakua kama simba, kesho kama kondooo ..ndivo wanataka.


Huo ustaharabu wako ni wa kijinga tuu....


Anyway Kwa kosa kama ilo , Inamaana tuseme bado anafikiria lini atakusemee??

Bwanaeeee, Wewe ongea naye, tena ongea kifalme , asikuleteee mbwembwe wala nn..


Mchame laivuuu, Mimi ni mwanaume, nilikusaliti sababu wewe mwenyewe uliacha kunipa u nyumba sababu ya uchumi wangu kutikisika, Nmekuomba msamaha, Leo hii ni miezi kadhaa sijakutana nawee.... Sasa Mimi nasema hivi, Kama utaendelea ivivi Nita kwenda nje.


alafu unatulia...Baada ya hapo jifanye kua unajipkia mwenyewe , unajifulia mwenyewe , unasafisha nyumba mwenyewe Yaan kimya kimya tena huku unapiga miluzi... Huku unapokea simu (fake ) za watu , unapokea simu , unachat sanaaaaaa, unachekaaa weee, unaongea nasimu unachekaa, unachat JF unacheka ( yote haya hakikisha anayaona na kuyasikia )..


Fanya ivo, alafu HAMA kabisa Chumba, lala sebuleni , NUNUA KARANGA MBICHI HATA KILO MBILI......


Endelea kuchat , endelea kuongea nasimu. safisha nyumba yako, panga vitu upya tofauti na alivyopanga yeye... Nunua shuka moja jipya zurii, ,uliweke kabatini chumban , ( Atakimbilia kulitandika, Gomba sanaaa, kwann umelitandika?? Unajua lann ?? Unajua nikwajili ya nani??)...


Litoee , kuja vzuri uliweke pale pale... Endelea kuongea nasimu mpaka chooni. Endelea kua bize, endelea kujipikia,.Endelea kula karanga



Fanya kwa wiki moja tu ....
ASIPOANZA KUKUTEGA UMLE MZIGO...


njooo unipe mrejesho , Nikupe mbinu yapili...


Hawa wanawake, Ni kucheza na Akili yao tu.


Ila nawewe Tafuta pesa alaaah.
 
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 30 ninaishi na mwanamke ambae tumepanga kuoana na kufunga ndoa. Nilipokutana na mwezangu nilikuwa nafanya kazi serikalini kwa mkataba. Kipindi chote hicho tuliishi vizuri tu japo palikuwa na changamoto mija ikiwa mimi tayali nina watoto wawili amboa mwanzoni mwa mahusiano yetu sikumwambia but badae akaja kujua japo alichukia lakin mambo yakawa sawa.
Mnamo mwaka jana mkataba wangu wa kazi ukafika meisho na kuto kuendelea apo ndipo changamoto za mahusiano zikaanza kwa kulaumiwa kuwa nafanya mawasiliano na mzazi mwezangu nilie zaanae mala nina wanawake wengi. Nakumbuka baada ya miezi kama miwili hivi toka mimi kutokuwa na kazi lasmi mapombo ya ndani kwa mwezangu yakawa tofauti nikiomba unyumba mala naumwa na tumbo mala nimechoka mala sijisikii iyo ikanipelekea kukaa zaidi ya miezi miwili no kukutana kimwili. Kwakuwa ninahamu ya kuduu nilimuita msichana mmoja aje home alipo kuja nikamshawishi akaingia kenge sasa nipo nae ktk ulingo gafla mwezangu anaingia ndani na kumkuta mwanamke. Alilalamika sana nimeshindwa kumvumilia kutokana na alivyo kuwa ananiambia kuwa anaumwa ama amechoka na kazi. Nilijishusha nikamuomba msamaha taishe nimekosea tuyamalize tu. Alichokifanya ni kuwapigia simu mawifi zake na kuwaeleza kilichotokea huku huku akijisahau kwamba yeye ndio chanzo cha yote. Sasa toka kanifumania hata atakiki kunipa mzigo nikimgusa utasikia ebu niache bwana week up to week nilicho amua mimi kuto mgusa wala kumsumbua hadi atakapo jisikia mwenyewe yapata mwezi na nusu sasa na nimepanga ikifika miezi mitatu nitaachana nae kwakuwa mimi ni mwanaume nilie kamilika sitoweza kuvumilia zaidi kuona mzigo kwa macho tu. Mana unalala nae kitanda kimoja na anaoga unamuona so nisije nikaja kumbaka japo ni mwezangu ninae ishinae. So naomba ushauri wenu wandugu coz nifanyeje ili niweze jikomoa na hili.
Ila nawew mzito sana. Aisee. Unaishi na mtu harafu unaleta mwanamke hapo hapo, ulikwama sana, kijana.

Ktk mahusiano Pesa sio muhimu, Bt inahitajika sana, mwanaume kuweza kupambana na kuhudumia family. Hapo huyo mkeo hakuwa anaumwa, alikuwa anakupa ujumbe toka nje, kachakalike utunze family.

Sasa wew hiyo lugha hukuisoma, hata anakwambia kachoka na kazi, hizi ni lugha tu za hawa wenzetu.
Unachofanya hata humkomoi, la msingi piga mishe make money hata kama usipo zipata anajua kuna siku utatusua tu, lazima awe mpole.

Mwanaume hashndani na sidilia.
 
Mmezaa ??? . tatizo hawa wakishakufuma ili mpaka arudi mwanzo Mara nyingi mpaka nayeye atafunwe.


Sikia Acha kucheka Cheka na kumbembeleza .


Hawa wanawake wanahitaji Maisha mix, Leo Unakaza sauti...Kesho unabembeleza, kesho unakua kama simba, kesho kama kondooo ..ndivo wanataka.


Huo ustaharabu wako ni wa kijinga tuu....


Anyway Kwa kosa kama ilo , Inamaana tuseme bado anafikiria lini atakusemee??

Bwanaeeee, Wewe ongea naye, tena ongea kifalme , asikuleteee mbwembwe wala nn..


Mchame laivuuu, Mimi ni mwanaume, nilikusaliti sababu wewe mwenyewe uliacha kunipa u nyumba sababu ya uchumi wangu kutikisika, Nmekuomba msamaha, Leo hii ni miezi kadhaa sijakutana nawee.... Sasa Mimi nasema hivi, Kama utaendelea ivivi Nita kwenda nje.


alafu unatulia...Baada ya hapo jifanye kua unajipkia mwenyewe , unajifulia mwenyewe , unasafisha nyumba mwenyewe Yaan kimya kimya tena huku unapiga miluzi... Huku unapokea simu (fake ) za watu , unapokea simu , unachat sanaaaaaa, unachekaaa weee, unaongea nasimu unachekaa, unachat JF unacheka ( yote haya hakikisha anayaona na kuyasikia )..


Fanya ivo, alafu HAMA kabisa Chumba, lala sebuleni , NUNUA KARANGA MBICHI HATA KILO MBILI......


Endelea kuchat , endelea kuongea nasimu. safisha nyumba yako, panga vitu upya tofauti na alivyopanga yeye... Nunua shuka moja jipya zurii, ,uliweke kabatini chumban , ( Atakimbilia kulitandika, Gomba sanaaa, kwann umelitandika?? Unajua lann ?? Unajua nikwajili ya nani??)...


Litoee , kuja vzuri uliweke pale pale... Endelea kuongea nasimu mpaka chooni. Endelea kua bize, endelea kujipikia,.Endelea kula karanga



Fanya kwa wiki moja tu ....
ASIPOANZA KUKUTEGA UMLE MZIGO...


njooo unipe mrejesho , Nikupe mbinu yapili...


Hawa wanawake, Ni kucheza na Akili yao tu.


Ila nawewe Tafuta pesa alaaah.
😂😂😂
 
Mmezaa ??? . tatizo hawa wakishakufuma ili mpaka arudi mwanzo Mara nyingi mpaka nayeye atafunwe.


Sikia Acha kucheka Cheka na kumbembeleza .


Hawa wanawake wanahitaji Maisha mix, Leo Unakaza sauti...Kesho unabembeleza, kesho unakua kama simba, kesho kama kondooo ..ndivo wanataka.


Huo ustaharabu wako ni wa kijinga tuu....


Anyway Kwa kosa kama ilo , Inamaana tuseme bado anafikiria lini atakusemee??

Bwanaeeee, Wewe ongea naye, tena ongea kifalme , asikuleteee mbwembwe wala nn..


Mchame laivuuu, Mimi ni mwanaume, nilikusaliti sababu wewe mwenyewe uliacha kunipa u nyumba sababu ya uchumi wangu kutikisika, Nmekuomba msamaha, Leo hii ni miezi kadhaa sijakutana nawee.... Sasa Mimi nasema hivi, Kama utaendelea ivivi Nita kwenda nje.


alafu unatulia...Baada ya hapo jifanye kua unajipkia mwenyewe , unajifulia mwenyewe , unasafisha nyumba mwenyewe Yaan kimya kimya tena huku unapiga miluzi... Huku unapokea simu (fake ) za watu , unapokea simu , unachat sanaaaaaa, unachekaaa weee, unaongea nasimu unachekaa, unachat JF unacheka ( yote haya hakikisha anayaona na kuyasikia )..


Fanya ivo, alafu HAMA kabisa Chumba, lala sebuleni , NUNUA KARANGA MBICHI HATA KILO MBILI......


Endelea kuchat , endelea kuongea nasimu. safisha nyumba yako, panga vitu upya tofauti na alivyopanga yeye... Nunua shuka moja jipya zurii, ,uliweke kabatini chumban , ( Atakimbilia kulitandika, Gomba sanaaa, kwann umelitandika?? Unajua lann ?? Unajua nikwajili ya nani??)...


Litoee , kuja vzuri uliweke pale pale... Endelea kuongea nasimu mpaka chooni. Endelea kua bize, endelea kujipikia,.Endelea kula karanga



Fanya kwa wiki moja tu ....
ASIPOANZA KUKUTEGA UMLE MZIGO...


njooo unipe mrejesho , Nikupe mbinu yapili...


Hawa wanawake, Ni kucheza na Akili yao tu.


Ila nawewe Tafuta pesa alaaah.
Wewe ni muuaji

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mmezaa ??? . tatizo hawa wakishakufuma ili mpaka arudi mwanzo Mara nyingi mpaka nayeye atafunwe.


Sikia Acha kucheka Cheka na kumbembeleza .


Hawa wanawake wanahitaji Maisha mix, Leo Unakaza sauti...Kesho unabembeleza, kesho unakua kama simba, kesho kama kondooo ..ndivo wanataka.


Huo ustaharabu wako ni wa kijinga tuu....


Anyway Kwa kosa kama ilo , Inamaana tuseme bado anafikiria lini atakusemee??

Bwanaeeee, Wewe ongea naye, tena ongea kifalme , asikuleteee mbwembwe wala nn..


Mchame laivuuu, Mimi ni mwanaume, nilikusaliti sababu wewe mwenyewe uliacha kunipa u nyumba sababu ya uchumi wangu kutikisika, Nmekuomba msamaha, Leo hii ni miezi kadhaa sijakutana nawee.... Sasa Mimi nasema hivi, Kama utaendelea ivivi Nita kwenda nje.


alafu unatulia...Baada ya hapo jifanye kua unajipkia mwenyewe , unajifulia mwenyewe , unasafisha nyumba mwenyewe Yaan kimya kimya tena huku unapiga miluzi... Huku unapokea simu (fake ) za watu , unapokea simu , unachat sanaaaaaa, unachekaaa weee, unaongea nasimu unachekaa, unachat JF unacheka ( yote haya hakikisha anayaona na kuyasikia )..


Fanya ivo, alafu HAMA kabisa Chumba, lala sebuleni , NUNUA KARANGA MBICHI HATA KILO MBILI......


Endelea kuchat , endelea kuongea nasimu. safisha nyumba yako, panga vitu upya tofauti na alivyopanga yeye... Nunua shuka moja jipya zurii, ,uliweke kabatini chumban , ( Atakimbilia kulitandika, Gomba sanaaa, kwann umelitandika?? Unajua lann ?? Unajua nikwajili ya nani??)...


Litoee , kuja vzuri uliweke pale pale... Endelea kuongea nasimu mpaka chooni. Endelea kua bize, endelea kujipikia,.Endelea kula karanga



Fanya kwa wiki moja tu ....
ASIPOANZA KUKUTEGA UMLE MZIGO...


njooo unipe mrejesho , Nikupe mbinu yapili...


Hawa wanawake, Ni kucheza na Akili yao tu.


Ila nawewe Tafuta pesa alaaah.
Duh noma.
 
Back
Top Bottom