Half american si nimekuambia..,never trust himNilikudanganya kwa sababu nilikupenda Sana na sikutaka kukupoteza mana Ungejua uhalisia wangu ungenikataa Ila mpaka sasa bado nakupenda sana na nafasi yako kwenye moyo wangu bado ipo.
Sijaelewa hapoNililia nilivyomuacha mwanaume aliyenipenda sana’a baada ya kugundua alinidanganya kuhusu uhalisia wake.!!!
😂😂😂 unazingua ujue?!! Umenifanya nicheke kifalah hapa.!!Nilikudanganya kwa sababu nilikupenda Sana na sikutaka kukupoteza mana Ungejua uhalisia wangu ungenikataa Ila mpaka sasa bado nakupenda sana na nafasi yako kwenye moyo wangu bado ipo.
Em fikiria mwnyw nngekuambia ukweli c usingetaka ht kuniona 😔😂😂😂 unazingua ujue?!! Umenifanya nicheke kifalah hapa.!!
Yeah good choice...sikuzote tunang’ang’ania sehemu sahihi for the future of our children ...sikuzote anaekupenda kweli moyo unajua na kama amekuchoka au anataka kukuacha moyo unajua.Goodluck mama😍Yeah.!! Ila nna mpango wa kumrudia nasubiriwa mimi tu kubonyeza kitufe, nimegundua ndiye mtu pekee aliyenipenda kwa moyo wake wote na aliweza kunilinda muda wowote.!! 😔
Huwezi kuelewa mpk uvae viatu vyangu mkuuSijaelewa hapo
Huyu n mwngn tofauti na yule lishangazi ila Lamomy nilimpenda kweli Ila nilikuwa na lishangazi ili maisha yangu yawe mteremko ila baada ya lamomy kujua uhalisia ndio akaniacha 😔Half american si nimekuambia..,never trust him
😂😂😂 Ila ww sijui ukoje?? Unataka kuwaweka wananchi kwenye sibtofahamu uwavuruge..!!Em fikiria mwnyw nngekuambia ukweli c usingetaka ht kuniona 😔
🤔for our children their future
Naskia couple zikiwa zinavuta bang zinakuwa Na real relationship, ety n Kweli.? 😂hizi bangi znafanana kabsa na za jamaa nlokua nae 😂😂
🤣usimzingatie😂😂😂 Ila ww sijui ukoje?? Unataka kuwaweka wananchi kwenye sibtofahamu uwavuruge..!!
🙏 Leo nitampigia video call najua atashtuka sana’a, huu uzi umenipa nguvu. Nimejiona mkosaji sababu na yy hakutegemea ingekuwa hivo na tungefika mbali.!Yeah good choice...sikuzote tunang’ang’ania sehemu sahihi for our children their future...sikuzote anaekupenda kweli moyo unajua na kama amekuchoka au anataka kukuacha moyo unajua.Goodluck mama😍
Kwani wewe unavaa namba ngapi?Huwezi kuelewa mpk uvae viatu vyangu mkuu
Tatizo kwenye vikao huhudhuriii...sa kinachokuliza niniBingwa wa kusalitiwa mie npewe tuzo,,apa tu nalia
Em ngoja nije PM ili mambo yasiwe mengi kwa wananchi 😂😂😂😂 Ila ww sijui ukoje?? Unataka kuwaweka wananchi kwenye sibtofahamu uwavuruge..!!
Huyu akili zake anazijua mwenyewe 🤣🤣🤣🤣usimzingatie
Sana..mtu anaficha jambo ana sababu🙏 Leo nitampigia video call najua atashtuka sana’a, huu uzi umenipa nguvu. Nimejiona mkosaji sababu na yy hakutegemea ingekuwa hivo na tungefika mbali.!
Hakuna ugaidi kweny mapenzi, walikuwepo watu wajanja na wahuni zaidi yako na wakalizwa.Ngoja kwanza nicheke... Na ugaidi wangu huu nilie kisa mwanamke??
Haktakaa itokee. Mungu kaumba wanawake wengi ili isitokee mwanaume akaumia hata kidogo kisa mwanamke. Huyu akikuzingua hamia kwa yule. Songa mbele
Hapo kwenye dharau n uongo bhana, japokuwa sijui n kipi kinafanywa niachwe na kila demuHakuna awezae kukuvumilia...afu unadharau kweli😖🤨😏