Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 25,425
- 59,309
Utraamu umemzidia 🤣🤣🤣Bff huogopi? Yaani kujinyonga kabisaaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utraamu umemzidia 🤣🤣🤣Bff huogopi? Yaani kujinyonga kabisaaa
🤣🤣🤣mi inakabidi nijifanye sielewi inahemaje🙄Ila watu wafukunyuku sana, inakuaje mtu anajua adi utamu usiomhusu ?😂
Ila nimeufaidi nimecheka balaa 🤣🤣🤣Inakeraga hiyo unafungua uzi ili usome mara shwaaa umefutwa.
Kumbe unajua 😂🤣🤣🤣mi inakabidi nijifanye sielewi inahemaje🙄
🤣🤣🤣🙌🏿Anakwambia zinabana ikiwa inahema 🤣🤣🤣
Nitafanya nilipoishia kabla hujaniacha na nitaongeza bidii pia😂😂😂 unayaweza na unajitahidi
Utamu kaupataje na amechapiwaUtraamu umemzidia 🤣🤣🤣
Modizi kaachika alafu unaleta mambo ya mihemo jukwaani 😂Ila nimeufaidi nimecheka balaa 🤣🤣🤣
Yule itakuwa anausikilizia sana muhemo 🤣🤣🤣Kumbe unajua 😂
Kwanini mkuu huyo n jirani yanguHii comment asione Lamomy 😔
Kumbe na wewe hua yanakuliza? Kweli hayana baunsa.Nililia nilivyomuacha mwanaume aliyenipenda sana’a baada ya kugundua alinidanganya kuhusu uhalisia wake.!!!
Si ni dume lile auYule itakuwa anausikilizia sana muhemo 🤣🤣🤣
Si ule wa kabla hajachapiwa, so akikumbuka anatamani kujinyonga 🤣🤣🤣🤣Utamu kaupataje na amechapiwa
Aisee🤣🤣🤣mi inakabidi nijifanye sielewi inahemaje🙄
Jirani hadi wewe?Nililia nilivyomuacha mwanaume aliyenipenda sana’a baada ya kugundua alinidanganya kuhusu uhalisia wake.!!!
🤣🤣kuna kitu sielewi kwani? Unajua mwanamke kuweza kushika makali😉 ya bwana ni jambo la ujasiri sana🤓Kumbe unajua 😂
Mwanaume akilizwa na mapenzi nafurahi sanaSi ule wa kabla hajachapiwa, so akikumbuka anatamani kujinyonga 🤣🤣🤣🤣
Soma tena na uelewe dogo, nimesema nimemuonea huruma kwa kumuacha kwa kosa ambalo naweza nikalipotezeaKumbe na wewe hua yanakuliza? Kweli hayana baunsa.