Uliwahi kumchapa mkeo makofi, mlichukua siku ngapi kurudi kwenye normal life?

Uliwahi kumchapa mkeo makofi, mlichukua siku ngapi kurudi kwenye normal life?

Good evening,

Moja kwa moja kwenye mada, naishi mkoa tofauti na ambao familia yangu inaishi ,baada ya kuhamishwa kikazi.
So mweiz huu nikaamua kuchukua likizo ya like mwezi mmoja hivi nikapumzike kidogo home.

Well toka nifike home naona wife ana harakati nyingi tu ambazo sizielewi..last week kabla likizo yangu haijaisha nikaamua kumlia timing huyu kiumbe, niko ndani afu kaondoka kaenda kariakoo bila kuniaga kwa Madai yake alienda kufunga mzigo fulani hivi.

Haikuwa kesi sana, sasa leo niko home nikaona ye hajishughulishi na mimi, mie mambo yangu nikawa nampa maelekezo dada wa kazi,kumbe wife akawa anaumia why nampa maelekezo dada while yeye yupo..dada akaondoka kumpeleka mtoto shule akatuacha wawili ndani.

Kwa kifupi wife kanitamkia maneno ya maudhi..aisee nimemchapa makofi sio poa na toka nimuoe huyu naamini sijawahi kumgusa kwa kuchapo ila leo kavuka mstari mwekundu ndio maana kala makofi, kanuna mpaka saivi na kawapigia ndugu wote kuwa anataka kuondoka coz anahisi me niko na mtu mwingine.

Naomba ushauri wa kiutu uzima hapa nifanyeje kuweka mambo sawa?
Dalili nyingine kuwa hujiamini kama Mwanaume ndio iyo kumpiga mkeo.
 
Rudi ulikotoka watu waendelee na maisha yao ya raha, unaonekana una gubu sana wewe. Ondoka bila kubembeleza wahuni wakusaidie kubembeleza
 
Bonge la kosa

Mwanamke hapigwi

Hasira zikiwaka ondoka au safari

Baada ya muda unarudi
Na ukisharudi anaendelea na upumbavu wake unaondoka tena???? Acheni kudanganya watu nyie,mi siondoki,anaondoka yeye bila kurudi tena kwangu mpaka anyooke awe kama nguzo ya umeme,mwanaume umpishe mwanamke huo ni upumbavu na udhaifu mkubwa
 
Good evening,

Moja kwa moja kwenye mada, naishi mkoa tofauti na ambao familia yangu inaishi ,baada ya kuhamishwa kikazi.
So mweiz huu nikaamua kuchukua likizo ya like mwezi mmoja hivi nikapumzike kidogo home.

Well toka nifike home naona wife ana harakati nyingi tu ambazo sizielewi..last week kabla likizo yangu haijaisha nikaamua kumlia timing huyu kiumbe, niko ndani afu kaondoka kaenda kariakoo bila kuniaga kwa Madai yake alienda kufunga mzigo fulani hivi.

Haikuwa kesi sana, sasa leo niko home nikaona ye hajishughulishi na mimi, mie mambo yangu nikawa nampa maelekezo dada wa kazi,kumbe wife akawa anaumia why nampa maelekezo dada while yeye yupo..dada akaondoka kumpeleka mtoto shule akatuacha wawili ndani.

Kwa kifupi wife kanitamkia maneno ya maudhi..aisee nimemchapa makofi sio poa na toka nimuoe huyu naamini sijawahi kumgusa kwa kuchapo ila leo kavuka mstari mwekundu ndio maana kala makofi, kanuna mpaka saivi na kawapigia ndugu wote kuwa anataka kuondoka coz anahisi me niko na mtu mwingine.

Naomba ushauri wa kiutu uzima hapa nifanyeje kuweka mambo sawa?
Muache aende atarudi tu kama bado anakupenda, asiporud ujue tyr ushamegewa
 
Kabla ya kumkata makofi huenda talaka ikawa imeanza, sitamani tufikie hatua ya kutwangana. Yes kuna maudhi fulan huwa yanatokea, una gadhibika, dawa mie huwa ni kuondoka tu eneo hilo.
Niliwahi mpiga girlfriend sababu ilikuwa kanikera nataka nitoke na akanizuia, hakuna kutoka😂
Uzuri mke wangu akijua kanikera anaacha natoka, samahani yake nikirudi, kwa utuliiivu kabisa.

Hata mimi nilijiwekea nadhiri hiyo,lkn kuna mambo yanatokea unaudhika ghafla unajikuta umetoa kichapo
 
Nini kimesababisha umpige?? Unaomba ushauri wakati unaficha sababu za zilizokufanya umpige, hebu funguka ili upewe ushauri vizuri
 
Good evening,

Moja kwa moja kwenye mada, naishi mkoa tofauti na ambao familia yangu inaishi ,baada ya kuhamishwa kikazi.
So mweiz huu nikaamua kuchukua likizo ya like mwezi mmoja hivi nikapumzike kidogo home.

Well toka nifike home naona wife ana harakati nyingi tu ambazo sizielewi..last week kabla likizo yangu haijaisha nikaamua kumlia timing huyu kiumbe, niko ndani afu kaondoka kaenda kariakoo bila kuniaga kwa Madai yake alienda kufunga mzigo fulani hivi.

Haikuwa kesi sana, sasa leo niko home nikaona ye hajishughulishi na mimi, mie mambo yangu nikawa nampa maelekezo dada wa kazi,kumbe wife akawa anaumia why nampa maelekezo dada while yeye yupo..dada akaondoka kumpeleka mtoto shule akatuacha wawili ndani.

Kwa kifupi wife kanitamkia maneno ya maudhi..aisee nimemchapa makofi sio poa na toka nimuoe huyu naamini sijawahi kumgusa kwa kuchapo ila leo kavuka mstari mwekundu ndio maana kala makofi, kanuna mpaka saivi na kawapigia ndugu wote kuwa anataka kuondoka coz anahisi me niko na mtu mwingine.

Naomba ushauri wa kiutu uzima hapa nifanyeje kuweka mambo sawa?
Yataisha tu Muraa, mwache aende
 
Majukumu ya mke unamwambia dada w kazi afanye!!.....we kweli umechanganyikiwa

Ulishindwa nini kumpa amri kama baba wa nyumba??? Hata km amenuna unatoa tu amri "niwekee maji ya kuoga" hlf uone km hatofanya

Hapo ataenda kusema unatembea na dada wa kazi hlf sijui utajiteteaje
Ajieleze kwa nani?
 
Geuza tatizo liwe lake, endelea mtuma HG tu mwenyewe atarudi kwenye reli. Labda kama ulimuonea lakini kama katamka maneno ya kuudhi na yasiyo vumilika uko sahihi kumkumbusha nani ni father of the house.
 
MSITIANE UJINGA HAPA
Mume kumpiga mke wake ni ujinga, ni ushamba na ni udhaifu mkubwa, na wala si ujanja, tena mume anayempiga mke wake halafu anakuja hapa JF kujifisia huo ni ushamba zaidi na anahitaji maombi na msaada wa kisaokolojia. Ukimpiga mkeo, tambua kwamba wewe mwanaume una matatizo na utapaswa kujutia ulichokifanya. Utajitaji msaada, unahitaji kuonewa huruma.
Ukisikiliza sababu nyingi zinazotolewa hapa na wanaume ni kwamba eti mke 'amekosea kitu fulani', au 'mke amemkasirisha mume', eti 'usikubali kwa kuwa wewe ni mume!! Kwahiyo wewe mume humkosei mkeo!!?? Mara ngapi unafanya makosa!!?? Kwa hiyo nawe upigwe!!?? Utakubali kupigwa kila ukikosea? Na umeshakosea mara ngapi?

Tena kimaumbile mwanaume ana ' mwili wenye nguvu zaidi' kulinganisha na mwanamke, hata wakati mwingine, utakuta mwanaume kijana ana mwili na nguvu kumshinda hata mama yake mzazi aliyemzaa mwenyewe, hata baadhi ya wanaume huwaita wanawake kama 'viumbe dhaifu', wakimaanisha kwamba wao wanaume ni 'viumbe imara na wenye nguvu'. Viumbe dhaifu ni kama bibi kizee, mtoto mchanga ambao hawawezi hata kujitetea. Sasa cha kushangaza ni kwamba kama wewe mume/mwanaume una maguvu yote hayo kwanini unatumia maguvu yako kukipiga 'kiumbe hiki dhaifu' - mke/mwanamke? Unadhani nani ni dhaifu hapo!!!??? Mtu mwenye akili timamu hawezi kukipiga 'kiumbe dhaifu' hata siku moja, labda kama ana tatizo la akili.

Kati ya mpigaji na mpigwaji unadhani nani ni dhaifu hapo??!! TAFAKARI
 
Good evening,

Moja kwa moja kwenye mada, naishi mkoa tofauti na ambao familia yangu inaishi ,baada ya kuhamishwa kikazi.
So mweiz huu nikaamua kuchukua likizo ya like mwezi mmoja hivi nikapumzike kidogo home.

Well toka nifike home naona wife ana harakati nyingi tu ambazo sizielewi..last week kabla likizo yangu haijaisha nikaamua kumlia timing huyu kiumbe, niko ndani afu kaondoka kaenda kariakoo bila kuniaga kwa Madai yake alienda kufunga mzigo fulani hivi.

Haikuwa kesi sana, sasa leo niko home nikaona ye hajishughulishi na mimi, mie mambo yangu nikawa nampa maelekezo dada wa kazi,kumbe wife akawa anaumia why nampa maelekezo dada while yeye yupo..dada akaondoka kumpeleka mtoto shule akatuacha wawili ndani.

Kwa kifupi wife kanitamkia maneno ya maudhi..aisee nimemchapa makofi sio poa na toka nimuoe huyu naamini sijawahi kumgusa kwa kuchapo ila leo kavuka mstari mwekundu ndio maana kala makofi, kanuna mpaka saivi na kawapigia ndugu wote kuwa anataka kuondoka coz anahisi me niko na mtu mwingine.

Naomba ushauri wa kiutu uzima hapa nifanyeje kuweka mambo sawa?
Nyonga kabisa hio mbwa
 
Back
Top Bottom