Uliwahi kuona nini WhatsApp status?

Uliwahi kuona nini WhatsApp status?

.
IMG-20210704-WA0140.jpg
 
i use whatsapp status to read people's mind.
ni rahisi sana kutambua saikolojia ya mtu through whatsapp status.

Ukiona status ya mtu anaweka mahubiri ya kidini au vipande vya video vya worship songs, tambua yupo kwenye wakati mgumu sana, anatafuta faraja.

Ukiona status ya demu anaweka sana mipasho inayohusu mahusiano, tambua kwamba yupo kwenye mgogoro wa kimapenzi na bwanake.


Halafu tupo akina sisi ambao sio rahisi kutusoma, daily tunapost status za vibonzo na michezo hususani mpira wa miguu.
Na sisi ambao tunapost STATUS mara moja kwa mwezi

Halafu hatu view baadhi ya STATUS unatutafsiri vipi ?
 
Kuna jamaa aliwahi kupost tovuti ya xxx video . Yule jamaa ukimwona hata huwezi amini aseh iyo siku nilistaajabu Sana Yani kumbe mpaka huyu naye anaangaliaga pilau
Hiyo XXX si ndio kirumi, kibongo 30, kuna ubaya gani kuwaona warumi wenyewe.
 
Niliwahi chukua namba ya dada mzuriiii, nilikuwa naogopa hata kumsaundisha siku nimesave namba yake kucheki status kaweka buyu lake linavujia asali. Ikabidi nimtext labda niliikosea namba wakati naandika nkakuta ni yeye. Alinikata maini sana.
 
Niliwahi chukua namba ya dada mzuriiii, nilikuwa naogopa hata kumsaundisha siku nimesave namba yake kucheki status kaweka buyu lake linavujia asali. Ikabidi nimtext labda niliikosea namba wakati naandika nkakuta ni yeye. Alinikata maini sana.
Ulimla sasa?

Sent from my SOV34 using JamiiForums mobile app
 
Kipindi kile cha Amber rutty na video zake za kuliwa 0713 zilikua zikisambaa watsapp sana kama kawa nikadownload nikaangalia nikadahau kuzifuta [emoji28][emoji28][emoji28]maza akaomba simu sjui afanyie nn ghafla akagusa gusa akaipost me sina A wala B alooh kuja kurudishiwa sm nakutana na msg kibao aah nliskia Aibu sana
Duh [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nina sista mmoja namuheshimu sana. Basi kuna siku usiku mi nina stress sina usingizi nikaona status, kuview, amejipost picha kwa nyuma mzigo hafu ame caption "Watu na Matak* yetu".

Nilijua amekosea nikamtext nikasema Haujakosea kweli?

Kumbe bwana seems alikua anamtumia jamaa yake yakatokea hayo. Mbona alinipigia akasema views zipo tatu mimi na wawili mashosti zake.
 
Kuna jamaa yupo Kenya na ni mtu mzima tu tuliwahi kufanya biashara fulani sasa nkasave namba yake..Hamadi! Siku ya kwanza kuview status zake nkaona kaweka porno status kama tano zinafuatana zote porno nkafikiri labda bahati mbaya,kesho akaweka tena na tena akatuma na screenshot ya viewers aisee jamaa ana zaid ya watu 5000 wanaoview status zake na kila siku anapost xxx za kibongo,korea,kenya, USA n.k na huwa anasema kama unaona nazingua kuweka porno futa namba yangu lakini nashangaa watu bado wameng'an'ania tu nikiwemo mimi nkagundua watu kibao wanapenda pilau hapa Africa Mashariki[emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Daah matapeli wa Q net [emoji12][emoji12] walimlamba jamaa yangu milioni tano zake wakidhani itakuwa rahisi kama walivyozoea. Jamaa akawa habanduki ofisini kwao daily, baadae wakaamua kuwa wanamtuma huku na kule huku miezi inakatika jamaa haoni faida yoyote. Kuna siku wakajichanganya wakamtuma kazi zao na gari yao, kosaa!! Jamaa katokomea nayo akawaambia bila kurudisha my five milioni gari hamuipati, daaah fasta wakamrudishia mkwanja wake...
 
Status kuna unafki mwingi sana.

Kuna jamaa alipost jinsi ngamia anavyotaabika baada ya kuchinjwa huku akiweka caption ya kuwa binadamu sisi ni wakatili sana na akaongeza kwa kuweka nadhiri kuwa hatokuja kula nyama tena maisha yake yote.

Kuna siku nikaenda kumtembelea nikakuta kapika ugali nyama, nikamuliza mzee vipi mbona nyama tena na ulisema hutokula tena akajibu "naachaje kula nyama aisee".

Kimoyomoyo nikasema hiii...
Eti kimoyomoyo nikasema hiiii

Umefanya nicheke sana mkuu
 
Nina sista mmoja namuheshimu sana. Basi kuna siku usiku mi nina stress sina usingizi nikaona status, kuview, amejipost picha kwa nyuma mzigo hafu ame caption "Watu na Matak* yetu".

Nilijua amekosea nikamtext nikasema Haujakosea kweli?

Kumbe bwana seems alikua anamtumia jamaa yake yakatokea hayo. Mbona alinipigia akasema views zipo tatu mimi na wawili mashosti zake.
Enhee mkuu ikawaje sasa?

Usinambie ndo ikaisha hivyo tu bila kumchapa bakora za kimkakati. [emoji23]
 
Kuna mke ya alikuwa a nafanya kazi village supermarket nikachukua namba yake maana alikuwa manager sasa usiku Kucheck kwenye status yake kapost dushelele yake

Sasa bwana si nikamwambia kuna kitu umepost toa ndio ulikuwa mwisho wa mawasiliano yetu mpaka leo
 
Yule dada alikua ananyoa anatumika camera ya mbele kama kioo,sijui ilikuaje ila mzigo uliruka hewani,ndani ya sekunde 20 nika nime view then nika download(gb whsap) afu nikamtumia chap....
 
Back
Top Bottom