Uliwahi kuona nini WhatsApp status?

Uliwahi kuona nini WhatsApp status?

Kuna hio moja kali kuna manzi alipost papa na tgo kwenye status huku akisema #hubby mknd umeanza kuzoea # wajuba wakascreenshot faster
😋😋😋😋😋😋😋


Namba pm
 
Mm cjawah weka status yeyote profile picha yenywe sijawah kuibadilisha tang 2015 mpaka leo
 
Kuna jamaa yupo Kenya na ni mtu mzima tu tuliwahi kufanya biashara fulani sasa nkasave namba yake..Hamadi! Siku ya kwanza kuview status zake nkaona kaweka porno status kama tano zinafuatana zote porno nkafikiri labda bahati mbaya,kesho akaweka tena na tena akatuma na screenshot ya viewers aisee jamaa ana zaid ya watu 5000 wanaoview status zake na kila siku anapost xxx za kibongo,korea,kenya, USA n.k na huwa anasema kama unaona nazingua kuweka porno futa namba yangu lakini nashangaa watu bado wameng'an'ania tu nikiwemo mimi nkagundua watu kibao wanapenda pilau hapa Africa Mashariki[emoji23]
[emoji16][emoji16][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji39]
 
[emoji16][emoji16][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji39]
kila mtu automatic huwa anapenda porn
 
Status kuna unafki mwingi sana.

Kuna jamaa alipost jinsi ngamia anavyotaabika baada ya kuchinjwa huku akiweka caption ya kuwa binadamu sisi ni wakatili sana na akaongeza kwa kuweka nadhiri kuwa hatokuja kula nyama tena maisha yake yote.

Kuna siku nikaenda kumtembelea nikakuta kapika ugali nyama, nikamuliza mzee vipi mbona nyama tena na ulisema hutokula tena akajibu "naachaje kula nyama aisee".

Kimoyomoyo nikasema hiii...
[emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my Nokia C1 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom