Ambition plus
JF-Expert Member
- Feb 23, 2018
- 6,101
- 11,381
Mavi ya kale hayanuki, tumeshasahau sasa.Dah alipost nini?? Vipi aliomba msamahaa !!vipi saiz anaishije
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mavi ya kale hayanuki, tumeshasahau sasa.Dah alipost nini?? Vipi aliomba msamahaa !!vipi saiz anaishije
😋😋😋😋😋😋😋Kuna hio moja kali kuna manzi alipost papa na tgo kwenye status huku akisema #hubby mknd umeanza kuzoea # wajuba wakascreenshot faster
Wewe kama mimi aisee ni mwendo wa nyama choma au kitimoto kila baada ya siku tatuFood is my daily status...😋😋
I love Food...
I am a Foodie 😋😋😋.
Sijui hata status zinapatikana wapi.Mimi kwenye status mara nyingi huwa hazizidi tano.
Sina Group hata moja la WhatsApp maana huwa naona ni kero sana message za WhatsApp.
duh wat wana balala! So reaction yke ilikuajeMtu aliweka anus yake anamtumia bwana ake anajisifu kua imeanza kuzoea kulipwa tigo[emoji1]
[emoji16][emoji16][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji39]Kuna jamaa yupo Kenya na ni mtu mzima tu tuliwahi kufanya biashara fulani sasa nkasave namba yake..Hamadi! Siku ya kwanza kuview status zake nkaona kaweka porno status kama tano zinafuatana zote porno nkafikiri labda bahati mbaya,kesho akaweka tena na tena akatuma na screenshot ya viewers aisee jamaa ana zaid ya watu 5000 wanaoview status zake na kila siku anapost xxx za kibongo,korea,kenya, USA n.k na huwa anasema kama unaona nazingua kuweka porno futa namba yangu lakini nashangaa watu bado wameng'an'ania tu nikiwemo mimi nkagundua watu kibao wanapenda pilau hapa Africa Mashariki[emoji23]
Kuna demu alijisahau akapost papa yake.....tumbua limeumuka shaved baadae akafuta fasta ...sijui alikosea alikua anamtumia msela akaliweka status
[emoji1787]Kuna demu alijisahau akapost papa yake.....tumbua limeumuka shaved baadae akafuta fasta ...sijui alikosea alikua anamtumia msela akaliweka status
Mtu anapost Bible quotes kama Mia hivi kila siku. Mi napenda kuwaambia kuwa huwa hatuzisomiKuna wale wanapost status ndefu Kama shanga😀
kila mtu automatic huwa anapenda porn[emoji16][emoji16][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji39]
[emoji1787][emoji1787]Kuna mshikaji niliona amepost picha ya Sabaya eti na maneno sijui ya kutia moyo freedom is coming #FreeSabaya[emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23]Status kuna unafki mwingi sana.
Kuna jamaa alipost jinsi ngamia anavyotaabika baada ya kuchinjwa huku akiweka caption ya kuwa binadamu sisi ni wakatili sana na akaongeza kwa kuweka nadhiri kuwa hatokuja kula nyama tena maisha yake yote.
Kuna siku nikaenda kumtembelea nikakuta kapika ugali nyama, nikamuliza mzee vipi mbona nyama tena na ulisema hutokula tena akajibu "naachaje kula nyama aisee".
Kimoyomoyo nikasema hiii...
Hatari