Forest Hill
JF-Expert Member
- Mar 4, 2018
- 2,873
- 6,821
Kwani kila mtu akiagiza chakula na kinywaji elfu 80 Mara tatu hiyo nayo hela??dakika 90 hazijaisha 250K imeisha.... Punguzeni chai madogo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani kila mtu akiagiza chakula na kinywaji elfu 80 Mara tatu hiyo nayo hela??dakika 90 hazijaisha 250K imeisha.... Punguzeni chai madogo
Ni kawaida. Tatizo ni kujua walikuwa chimbo gani. Tandahimba ukitoa 150K utaletewa ng'ombe mzima na kreti 2 moja ya bia.Kwani kila mtu akiagiza chakula na kinywaji elfu 80 Mara tatu hiyo nayo hela??
NO TRUER WORDS HAVE EVER BEEN SPOKEN.I have made a covenant with myself, never to spend money on impulse, just to prove a point to any human being. It's just absurd, crude, diabolical and bad economics....
What's there to prove, wakati najua mfuko u hali gani!!! Binafsi nafahamu even if you have all the money in the world, there will be some fools lurking somewhere ready to smack faeces on your good image.
Heri unione bahili, mchoyo au sina pesa, lakini binafsi nafurahia maisha yangu kinoma. Kuna umri ukifika baadhi ya mambo hayakuumizi sana kichwa....
Kweli brother,ilikua mahala Fulani watoto wa mjini huwa wanaangalia mpira, Mimi sina hadhi ya kula Bata eneo lile,huwa naenda kuangalia mpira tu na kuagiza soda...elfu 4Ni kawaida. Tatizo ni kujua walikuwa chimbo gani. Tandahimba ukitoa 150K utaletewa ng'ombe mzima na kreti 2 moja ya bia.
Sasa mtamaliza wa kwa masaa mawili?
Me kiwembe tu najinyoa mwenyewe mambo yanaenda [emoji847]Na wewe ni muharibifu, mi nanyoa 200 tu. Yaani kiwembe 200 nampa jamaa aninyoe
Hiii ilishawahi nitokea ikabidi ghafla nizingizie tumbo naliaaa kumbe nalia na yangu......tako tatu mbona safi tu mkuu, kuna siku libolo haliamki kabisa yaani shika huku shika pale wapi, limetulia tuliii, hahahaha haya mambo ukipania sana unaharibu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Dah mi nakumbuka kuna mwanangu alinialika kigamboni tupate bia mbili tatu nikatimba asee apo ni camp joint,nikakuta kimewaka yuko na jamaa zake kama nane wanamalizia malizia bia zao namimi nkapiga kama mbili hivi nilizozikuta tukahamia the Giant asee ile siku nikijikuta natumia laki tatu ila kuendana nao make jamaa yangu alikua ananitambulisha kama mtu mkubwa fulani hivi bas namimi sikuwaangusha ila nilipata homa kwa hasara ile.
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Yule demu aliponipa mzigo tako tatu wadhungu hao. Nikasingizia sijala ngoja nile nimpe show za WWE John cena you can't see mee. Nikala chips ndizi mishikaki. Nikampq romance kupima oil naona huyu kashaiva nikachomeka kupiga take tatu wajapan hao. Nikaona sasa hapa mbona kazi sana. Nikaona ngoja nizuge zuge kuangalia vipindi vya wanyama kwenye TV. .
Alipoamka nikaona nitumie nafasi hii kumuonyesha show ya kibabe. Kupiga tako nyingine tani aisee wazee hawajakosea siku ya kufa nyani kweli miti yote huteleza. Kupiga tako nikajikaza yani kufika tako ya tano tu tena nimejikaza nikawa na uma na meno wahindi haoo. Aisee what an embarrassing day.
Kurudi kwenye mada, ili kurudisha heshima nikamuliza demu hivi unaishi wapi? Akajibu Magomeni nimepanga chumba elfu 70. Nikaanza kujiongelesha hapa inabidi upange Sinza chumba laki na hamsini. Nataka nikulipie kodi ya miezi kumi. Kwanza kabla sijasahau shika hii laki. Ukifika nyumbani nakutumia hela nyingine ununue vitu vya nyumbani hiyo laki ni nauli tu. Hata samsung unayotumia sio simu ya maana nakununulia iphone.
Alipoondoka na laki yangu nikatupa line nikasajili line nyingine kwa mpita njia. Huyu dada tulikutana kwenye mwendokasi. Hata mwendokasi sipandi tena nna wasiwasi naweza kukutana nae huko [emoji51][emoji51][emoji51]
Mia pia ni helaAaah sasa hela sina jeuri naitoa wapi🙆🙆🙆
Laki si pesa.Mia pia ni hela