Uliwahi kuonesha jeuri ya pesa hata kama huna, ili kulinda heshima?

Kwani kila mtu akiagiza chakula na kinywaji elfu 80 Mara tatu hiyo nayo hela??
Ni kawaida. Tatizo ni kujua walikuwa chimbo gani. Tandahimba ukitoa 150K utaletewa ng'ombe mzima na kreti 2 moja ya bia.

Sasa mtamaliza wa kwa masaa mawili?
 
NO TRUER WORDS HAVE EVER BEEN SPOKEN.
 
Ni kawaida. Tatizo ni kujua walikuwa chimbo gani. Tandahimba ukitoa 150K utaletewa ng'ombe mzima na kreti 2 moja ya bia.

Sasa mtamaliza wa kwa masaa mawili?
Kweli brother,ilikua mahala Fulani watoto wa mjini huwa wanaangalia mpira, Mimi sina hadhi ya kula Bata eneo lile,huwa naenda kuangalia mpira tu na kuagiza soda...elfu 4
 
Daah muda unakimbia sana, niliandika nikiwa kwenye mabenchi ya Bugando
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Daaahhh, nimecheka hatari, nimeisoma huku nikivuta taswira jinsi walivyokuchukulia halafu ukawageuzia kibao
Dakika za jiiioooooni. Moderator weka hii insta
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Kweli uliushtua umasikini...
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
I never do anything to prove a point. I live my fu***n life.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…