Blessed Keinerugaba
JF-Expert Member
- Nov 16, 2011
- 4,754
- 4,746
MhhhhhhNiliishi kwa bro, shem alinikubali sana sana, we're friends hata leo hii. Ni moja ya mashemeji zangu ninaowakubali kuliko wote.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MhhhhhhNiliishi kwa bro, shem alinikubali sana sana, we're friends hata leo hii. Ni moja ya mashemeji zangu ninaowakubali kuliko wote.
Hapo ni kukaa kimya asije kutafutiwa sababu.Arudi kwake asikukaushe koo, ndugu yake umejaribu kumshirikisha? Ila utaambiwa mbaya maana mawifi nao tunajijua wenyewe.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji3]Kuna mwaka nilienda mkoa nikafikia kwa blaza alikua anaishi na mke wake, watoto wawili na beki tatu, mimi na blaza tulikua tunaenda vzr kabisa, nilikua nawahi kurudi home nakuta wenye nyumba hawajarudi yuko dada tu na watoto, kusema kweli yule mtt wa kirangi alikua vizuri sana slowly tukaanza kujenga mazoea nikirudi namzingua mixer kumshika manyonyo demu anafurahi hatari, siku moja nikawahi kurudi nikasema leo lazima nimtombe kweli kufika nikamzingua mtt kaelewa nikaweka palepale sitting room, kuanzia siku hiyo wenye nyumba wakiingia kulala mimi naenda chumba cha dada natomba, sasa siku hiyo nikaenda kama kawaida yangu tukaanza mizamuano kumbe shem alikua hajalala akawa amekuja ghafla chumba cha dada kuchukua nguo ya mtoto kanikuta juu ya kifua cha dada yule shem alipiga kelele hadi majirani wakasikia, akawa anamuita mume wake njoo uone mdogo wako anambaka dada, nilijaribu kumpliz akae kimya ila ndo kama namwambia aongeze sauti nilichofanya nilitoka fasta chumbani nikaenda kwangu nikavaa viatu nikatoka nikasepa, hapo ni kama saa tano usiku nikaenda kulala nyumba ya jirani kuna jamaa alikua amepanga, asubuhi nikasepa sikutaka kukutana na ile aibu, sasa ni zaidi ya miaka 15 sijarudi pale hata nikienda huo mkoa wanasikiaga tu kuwa nipo mjini, kifupi yule shem alizingua na sijui nini kilimtokea beki3 huko nyuma.
Kweli Comrade, ila naona wameususa uziTuendelee kushuka jamani, uzoefu muhimu
Umenena sahihiMi ukikaa kwangu ni lazima uende kanisani au msikiktin mzee. Tena jion kabla ya kulala lazima tusali pamoja wote na kila mmoja ana siku yake ya kutoa tafakar. Mi sina mbingu ya kukupeleka kaka kwahiyo maadamu unaishi kwangu utasali hutaki unaondoka simpo. Kwangu kila jmos tuna lisaa la kUdiscus kuongea kinachokukera na nini kifanyike ili maisha yawe mazur. Umeamua kuja kuish kwa mtu lazima ujue kila nyumba ina utaratibu wake na muhim kwako kuuheshim huwez then tembea cnaga mbambamba. Cwez kuja kufanya watoto wangu wa kisasa bila displin kwasababu yako. Ikitokea ni nyumban day aisee wote kila mtu anafanya usafi cnaga cha House girl wala house boy cku hiyo wote ni front kuanzia watoto mpaka baba. Haya maisha bila ukuda kidogo mitoto inaharibika sana.
Wewe ni diktetaMi ukikaa kwangu ni lazima uende kanisani au msikiktin mzee. Tena jion kabla ya kulala lazima tusali pamoja wote na kila mmoja ana siku yake ya kutoa tafakar. Mi sina mbingu ya kukupeleka kaka kwahiyo maadamu unaishi kwangu utasali hutaki unaondoka simpo. Kwangu kila jmos tuna lisaa la kUdiscus kuongea kinachokukera na nini kifanyike ili maisha yawe mazur. Umeamua kuja kuish kwa mtu lazima ujue kila nyumba ina utaratibu wake na muhim kwako kuuheshim huwez then tembea cnaga mbambamba. Cwez kuja kufanya watoto wangu wa kisasa bila displin kwasababu yako. Ikitokea ni nyumban day aisee wote kila mtu anafanya usafi cnaga cha House girl wala house boy cku hiyo wote ni front kuanzia watoto mpaka baba. Haya maisha bila ukuda kidogo mitoto inaharibika sana.
Pole sana mkuuKuna mwaka nilienda mkoa nikafikia kwa blaza alikua anaishi na mke wake, watoto wawili na beki tatu, mimi na blaza tulikua tunaenda vzr kabisa, nilikua nawahi kurudi home nakuta wenye nyumba hawajarudi yuko dada tu na watoto, kusema kweli yule mtt wa kirangi alikua vizuri sana slowly tukaanza kujenga mazoea nikirudi namzingua mixer kumshika manyonyo demu anafurahi hatari, siku moja nikawahi kurudi nikasema leo lazima nimtombe kweli kufika nikamzingua mtt kaelewa nikaweka palepale sitting room, kuanzia siku hiyo wenye nyumba wakiingia kulala mimi naenda chumba cha dada natomba, sasa siku hiyo nikaenda kama kawaida yangu tukaanza mizamuano kumbe shem alikua hajalala akawa amekuja ghafla chumba cha dada kuchukua nguo ya mtoto kanikuta juu ya kifua cha dada yule shem alipiga kelele hadi majirani wakasikia, akawa anamuita mume wake njoo uone mdogo wako anambaka dada, nilijaribu kumpliz akae kimya ila ndo kama namwambia aongeze sauti nilichofanya nilitoka fasta chumbani nikaenda kwangu nikavaa viatu nikatoka nikasepa, hapo ni kama saa tano usiku nikaenda kulala nyumba ya jirani kuna jamaa alikua amepanga, asubuhi nikasepa sikutaka kukutana na ile aibu, sasa ni zaidi ya miaka 15 sijarudi pale hata nikienda huo mkoa wanasikiaga tu kuwa nipo mjini, kifupi yule shem alizingua na sijui nini kilimtokea beki3 huko nyuma.
Hohehahe mtumaini Mungu mzee vipi ushatoka!?Kweli Comrade, ila naona wameususa uzi
Mimi niko kwa ndugu na ndo naamka saiz... nishajichokea na maisha 😂🙌🏾
DuuhUnaesema huwezi kukaa kwa ndugu,nani anakaa akiwa anajielewa? Na kumbuka,haya ni baadhi ya mambo yanayomfanya mtu akomae kiakili. Ukisikia hujafa hujaumbika,ndo hayo sasa.
Niliwahi kukaa kwa mama mdogo,tena ugenini(nchi nyingine). Kumbe yeye,ni kunguru. Ila mmewe,mstaarabu sana. Kajimama kakawa kanachepuka,na mambo ya ajabu. Haikuwa tabu,maana yalikuwa hayanihusu.
Siku moja,kakabeba hela(za Kenya),mwenyewe kuja kutafuta,hazionekani. Jama alibadilika,japo hakuwa uongeaji. Basi jimama likawa na vituko,mara hutoki ndani,mara kazini umechelewa,mara huku ugenini utapotezwa hupaswi kwenda kupanga,mara we ndo ndugu yangu tuu aliyepo karibu. Sasa,kipindi hicho mi hata sijawahi kumvua chupi mtu. Akawa ana marafiki zake wanawake,af watu wazima. Acha alianzishe kwamba mmoja kamwambia namtaka. Hasira ninazo za uhakika mie. Nina ka akiba kidogo,nilibeba begi langu huku ananiangalia,mambo ya kubembelezwa sitaki. Nikaenda,badae nikapiga simu kwa mmewe nikamuaga,hakufurahia,na sikutaka kumwambia shida ilikuwa nini. Majuzi tu mmewe,tunapiga stori weeee, kumbe miaka hiyo,alimwambia pesa nilichukuwa mimi. Mungu si Athuman,kumbe alipochukuwa,alipeleka kuchange, mmewe kufatilia,aliambiwa na kiasi kilicholetwa kuombewa chenji. Means mmewe hakuwa na shida na mimi,maana ukweli aliupata mapema,nae akakausha.
Wapo waliopitia mengi,lakini kumbukeni. Kama ndugu ndo ameomba au wazazi,huwezi kujitia wazimu kwamba siendi, au kama upo eti naondoka.
Ulimkosea bhana. Ungefuatilia ukamstili, au hata ukamcheck bro ukaongea nae. Wanawake wengi wao unajua akili zao zishahama!! Na bro haukuwa na ubaya nae,na alijua we ni kidume tu lazima ukaze sehemuKuna mwaka nilienda mkoa nikafikia kwa blaza alikua anaishi na mke wake, watoto wawili na beki tatu, mimi na blaza tulikua tunaenda vzr kabisa, nilikua nawahi kurudi home nakuta wenye nyumba hawajarudi yuko dada tu na watoto, kusema kweli yule mtt wa kirangi alikua vizuri sana slowly tukaanza kujenga mazoea nikirudi namzingua mixer kumshika manyonyo demu anafurahi hatari, siku moja nikawahi kurudi nikasema leo lazima nimtombe kweli kufika nikamzingua mtt kaelewa nikaweka palepale sitting room, kuanzia siku hiyo wenye nyumba wakiingia kulala mimi naenda chumba cha dada natomba, sasa siku hiyo nikaenda kama kawaida yangu tukaanza mizamuano kumbe shem alikua hajalala akawa amekuja ghafla chumba cha dada kuchukua nguo ya mtoto kanikuta juu ya kifua cha dada yule shem alipiga kelele hadi majirani wakasikia, akawa anamuita mume wake njoo uone mdogo wako anambaka dada, nilijaribu kumpliz akae kimya ila ndo kama namwambia aongeze sauti nilichofanya nilitoka fasta chumbani nikaenda kwangu nikavaa viatu nikatoka nikasepa, hapo ni kama saa tano usiku nikaenda kulala nyumba ya jirani kuna jamaa alikua amepanga, asubuhi nikasepa sikutaka kukutana na ile aibu, sasa ni zaidi ya miaka 15 sijarudi pale hata nikienda huo mkoa wanasikiaga tu kuwa nipo mjini, kifupi yule shem alizingua na sijui nini kilimtokea beki3 huko nyuma.