Uliwahi kutamkiwa neno gani baya na Mwalimu wako?

Uliwahi kutamkiwa neno gani baya na Mwalimu wako?

Nilileta ucheckbob wakubrash viatu baada ya kengele kugonga wakati yeye bado anafundisha akanisimamisha kisha akanisema sana na akaniambia hata unavyoonekana tu utafeli form four. (Kilikua ni kimwalimu cha field)

Mwishoni mwa field yake alitoa test halafu akaweka mambo ya zawadi.

Baada ya pepa siku ya kugawa, majina yakawa yanasomwa kuanzia wa mwisho kuja wa kwanza, yaliitwa majina yote kasoro la kwangu na mkononi mwake akawa amebakia na Karatasi moja tu.

Maneno husemwa ila Ukipata nafasi waprove wrong then weka tinted.😎😎

NB:
Moderator naomba muitunze hii comment yangu ili my unborn child akifikia zile level za kutaka kuskia ushuhuda zaidi ili ahamasike kwenye masomo yake nimtajie ID yangu aje ahamasike (maana sitakua na muda wakuongea sana nyakati hizo) wakati huo mimi nitakua nimekunja zangu 4 nakunywa gahawa.
 
Mwalimu wetu wa somo la Kiswahili , alikua ni Mhaya. Wakati tunakaribia kufanya NECTA alituambia darasa zima ni vilaza kwenye somo lake hatutofaulu isipokua kijana mmoja wa Kikurya ndio alisema atafaulu.

Matokeo yalipotoka sasa, huyo kijana alipata D. Hakuna aliyepata A ila zilipatikana B mbili tu(moja yanguπŸ˜€)
 
Baadhi ya walimu kuanzia Shule ya Awali na Msingi,Sekondari na hadi Chuo wamekuwa na tabia ya kutamkia watoto maneno makali na yenye kukatisha tamaa.

Mojawapo ya Maneno hayo ni kama β€œHutaweza kufanikiwa hata siku moja”.

Wakati mwingine maneno hayo huwafanya wanafunzi kujiona wanyonge na kukata tamaa katika masomo yao na kusababisha baadhi yao kushindwa kutimiza ndoto zao.

Lakini katika hali isiyokuwa ya kawaida wanafunzi wengi wakimaliza masomo baadhi yao hufanikiwa na kuajiriwa katika Taasisi, idara, Mashirika na sehemu nyingine kama hizo.

Walimu hufika kuhitaji msaada na kuwakuta wanafunzi wao waliowatamkia maneno makali wakitoa huduma katika sehemu hizo.

Wakati mwingine husaidiwa lakini pia wakati mwingine hukutana na Vikwazo kutokana na yale waliyoyatenda nyuma.

Walimu tujifunze tuache kuwa wakatili na kutoa kauli kali kwa Mtoto ili kesho yenu iwe Bora zaidi.
niliwai kutamkiwa na ccm kuwa mtofanikiwa uchaguzi wala kuchukua dole lao la makalioni.ila tutalitoa likiwa na mfupa maana kule kuna ozesha
 
Mwalimu wetu wa somo la Kiswahili , alikua ni Mhaya. Wakati tunakaribia kufanya NECTA alituambia darasa zima ni vilaza kwenye somo lake hatutofaulu isipokua kijana mmoja wa Kikurya ndio alisema atafaulu.

Matokeo yalipotoka sasa, huyo kijana alipata D. Hakuna aliyepata A ila zilipatikana B mbili tu(moja yanguπŸ˜€)
Weweee πŸ‘πŸ»πŸ‘πŸ»πŸ‘πŸ»πŸ‘πŸ»
 
Nilileta ucheckbob wakubrash viatu baada ya kengele kugonga wakati yeye bado anafundisha akanisimamisha kisha akanisema sana na akaniambia hata unavyoonekana tu utafeli form four. (Kilikua ni kimwalimu cha field)

Mwishoni mwa field yake alitoa test halafu akaweka mambo ya zawadi.

Baada ya pepa siku ya kugawa, majina yakawa yanasomwa kuanzia wa mwisho kuja wa kwanza, yaliitwa majina yote kasoro la kwangu na mkononi mwake akawa amebakia na Karatasi moja tu.

Maneno husemwa ila Ukipata nafasi waprove wrong then weka tinted.😎😎

NB:
Moderator naomba muitunze hii comment yangu ili my unborn child akifikia zile level za kutaka kuskia ushuhuda zaidi ili ahamasike kwenye masomo yake nimtajie ID yangu aje ahamasike (maana sitakua na muda wakuongea sana nyakati hizo) wakati huo mimi nitakua nimekunja zangu 4 nakunywa gahawa.
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ‘πŸ»πŸ‘πŸ»
 
Ndo maana wamedumaa kimaisha sababu ya midomo yao, mtoto wa miaka 11-15 unampaje adhabu ya kuita mvua nyakati za kiangazi! Au kuchimba kisiki akishindwa unaanza kujifanya nabii eti jambazi wewe, umeshindikana, acha waendelee kudoda
 
Back
Top Bottom