To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 35,686
- 86,968
🤣🤣🤣Hata kama wee 🤣🤣🙌🤣🤣Hujashenyentwa vizuri ww.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣Hata kama wee 🤣🤣🙌🤣🤣Hujashenyentwa vizuri ww.
Kuachana na mpenzi uliyempenda sana ni changamoto kubwa, na inahitaji muda na subira.Uliwezaje ku move on kutoka kwa mpenzi uliyempenda sana?
Naunga mkono hoja yakoChukua demu mzuri kushinda yeye
10 yrs?It took me ten years....
Uliwezaje ku move on kutoka kwa mpenzi uliyempenda sana?
Inabidi ufe kihisia ili uzaliwe upyaNapitia kwenye hii hali.
Naumia sana ila sina jinsi.
Sikuwahi kuwaza kama mapenzi yanaweza kunifanya hivi.
Nahisi kufa kufa tu.
HeyKuwa busy tu na mambo mengine hasa yale yatakayokuwa yanakuumiza kichwa na mwili.
Hey
Kaza moyo Mzee nikwel kinakuwa kipindi kigumu lakin nikuhakikishie Huwa Kuna kusahau na kuanza upya . Pole sanaNapitia kwenye hii hali.
Naumia sana ila sina jinsi.
Sikuwahi kuwaza kama mapenzi yanaweza kunifanya hivi.
Nahisi kufa kufa tu.