Uliwezaje ku move on kwa mtu uliyempenda sana?

Uliwezaje ku move on kwa mtu uliyempenda sana?

Na0Mba NiSikUfAriji hUt0ki lEo kWeNYe hiCho kiZiNGa
Ila kUElEkEa UNaP0PatAka sAsa, NikUShAUri

kUMbUka M0MeNts AMbAZo UlikUa hUMUWaz sANa kiPiNdi Mko PaM0ja,iShi kWeNYe hiZo EVENts

USif0RCe kUMSahAu kWAni Ndio AtAZidi kUkUuMiZa,iShi tu kAMa kAWAida ila EPUka C0NtACt NAe z0Z0te.kUM'aNGAlia,kUMtAfUta kWa SiMu,kUViEw PaGe ZAke Za MtANdAo

UkiWa PaM0ja Na MAbEStie zAke kUa Nao kWa UPeNdo,MkiAGaNa sAhAu kAbiSa kUhUs Wao USitAke kUa Na MAWaSiliANo Nao,YAsio Ya MUhimu

0NGeZa NGUVu Na jitihAda kWeNYe MAMbo UNaYo PENda WeWe,ViZUri YASiWe AMbAYo YANa kUkUMbUSha kUhUs YEYe aU UYafANYe kWeNYe MaZiNGira t0fAUti

kUMbUka Pia WeWe Ndie UNaMPeNda,kWahiVYo YEYe Ndie AMeP0tEza kUPeNdWa Sio WEWe

kUbAli kUPotEZa Ch0Ch0te AMbACho diReCtly kiNa kUPelEkEa kUMkUMbUka kWa Mda MrEfu

hAVe fUn,Sh0w l0Ve kWa WAshkAji SPeNd MUda Na WaNa

tAfUta Mtu UNaYEMWaMin MUelEze hAri UNaY0Pitia tUMia
very good!
 
Ni kukubaliana na ukweli kwamba mambo yameshaisha na inabidi uendelee na maisha mengine
Nilikuwa na mtu nampenda mno ila baadae nikaona hatutaweza kufika popote nikaendelea na maisha mengine mpaka leo namuona kama kaka yangu tuu. Moyo wako ukubaliane na hali.
hua mnaonanag mara kwa mara na huyo kaka ako?
 
Anza kubeti, au vuta bangi

Iko hivi mtu ambae ulikuwa unampenda akikuacha na ukaendelea kumkomalia  anakuchukia ila ukikausha hata asipokupenda hatokuchukia.

kama amekuacha wakati mliokuwa mnapendana unadhani utamrudisha wakati huu aliokutema???
 
Kama bado unamuwaza wala usimuache bado ana Mazuri kwako,kama mtu unawaza jinsi gani utamuacha Kisa alikuja Sana moyoni means bado mabaya yake sio makubwa kiivyo wewe kukuacha! Komaa nae
 
Back
Top Bottom