Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
very good!Na0Mba NiSikUfAriji hUt0ki lEo kWeNYe hiCho kiZiNGa
Ila kUElEkEa UNaP0PatAka sAsa, NikUShAUri
kUMbUka M0MeNts AMbAZo UlikUa hUMUWaz sANa kiPiNdi Mko PaM0ja,iShi kWeNYe hiZo EVENts
USif0RCe kUMSahAu kWAni Ndio AtAZidi kUkUuMiZa,iShi tu kAMa kAWAida ila EPUka C0NtACt NAe z0Z0te.kUM'aNGAlia,kUMtAfUta kWa SiMu,kUViEw PaGe ZAke Za MtANdAo
UkiWa PaM0ja Na MAbEStie zAke kUa Nao kWa UPeNdo,MkiAGaNa sAhAu kAbiSa kUhUs Wao USitAke kUa Na MAWaSiliANo Nao,YAsio Ya MUhimu
0NGeZa NGUVu Na jitihAda kWeNYe MAMbo UNaYo PENda WeWe,ViZUri YASiWe AMbAYo YANa kUkUMbUSha kUhUs YEYe aU UYafANYe kWeNYe MaZiNGira t0fAUti
kUMbUka Pia WeWe Ndie UNaMPeNda,kWahiVYo YEYe Ndie AMeP0tEza kUPeNdWa Sio WEWe
kUbAli kUPotEZa Ch0Ch0te AMbACho diReCtly kiNa kUPelEkEa kUMkUMbUka kWa Mda MrEfu
hAVe fUn,Sh0w l0Ve kWa WAshkAji SPeNd MUda Na WaNa
tAfUta Mtu UNaYEMWaMin MUelEze hAri UNaY0Pitia tUMia
hua mnaonanag mara kwa mara na huyo kaka ako?Ni kukubaliana na ukweli kwamba mambo yameshaisha na inabidi uendelee na maisha mengine
Nilikuwa na mtu nampenda mno ila baadae nikaona hatutaweza kufika popote nikaendelea na maisha mengine mpaka leo namuona kama kaka yangu tuu. Moyo wako ukubaliane na hali.
Muda uponya maumivu yote.Uliwezaje ku move on kutoka kwa mpenzi uliyempenda sana?
Sio mara kwa mara ila tunaonanahua mnaonanag mara kwa mara na huyo kaka ako?
HawatokuelewaSali sana.
Sali alfajiri-asubuhi-mchana-adhuhuri-jioni-usiku
🤣🤣Weee,ndo process zote hizo🙄Hawatokuelewa
Nilikunywa Fanta orange basi ikawa mwisho wa kumuwazaUliwezaje ku move on kutoka kwa mpenzi uliyempenda sana?
bhc mtapendana tena hpSio mara kwa mara ila tunaonana
Ndio ndio njia nzuri ya kumtoa kiroho kwenye mfumo wako. Si unajua mliishashenyentana 🤣🤣🤣🤣🤣Weee,ndo process zote hizo🙄
Haiwezi kutokea mkuu kila mtu alishaendelea na maisha menginebhc mtapendana tena hp
🤣🤣🤣Kujiendekeza huko...Ndio ndio njia nzuri ya kumtoa kiroho kwenye mfumo wako. Si unajua mliishashenyentana 🤣🤣🤣
sawaHaiwezi kutokea mkuu kila mtu alishaendelea na maisha mengine
🤣🤣Hujashenyentwa vizuri ww.🤣🤣🤣Kujiendekeza huko...