Uliwezaje ku move on kwa mtu uliyempenda sana?

Uliwezaje ku move on kwa mtu uliyempenda sana?

Na0Mba NiSikUfAriji hUt0ki lEo kWeNYe hiCho kiZiNGa
Ila kUElEkEa UNaP0PatAka sAsa, NikUShAUri

kUMbUka M0MeNts AMbAZo UlikUa hUMUWaz sANa kiPiNdi Mko PaM0ja,iShi kWeNYe hiZo EVENts

USif0RCe kUMSahAu kWAni Ndio AtAZidi kUkUuMiZa,iShi tu kAMa kAWAida ila EPUka C0NtACt NAe z0Z0te.kUM'aNGAlia,kUMtAfUta kWa SiMu,kUViEw PaGe ZAke Za MtANdAo

UkiWa PaM0ja Na MAbEStie zAke kUa Nao kWa UPeNdo,MkiAGaNa sAhAu kAbiSa kUhUs Wao USitAke kUa Na MAWaSiliANo Nao,YAsio Ya MUhimu

0NGeZa NGUVu Na jitihAda kWeNYe MAMbo UNaYo PENda WeWe,ViZUri YASiWe AMbAYo YANa kUkUMbUSha kUhUs YEYe aU UYafANYe kWeNYe MaZiNGira t0fAUti

kUMbUka Pia WeWe Ndie UNaMPeNda,kWahiVYo YEYe Ndie AMeP0tEza kUPeNdWa Sio WEWe

kUbAli kUPotEZa Ch0Ch0te AMbACho diReCtly kiNa kUPelEkEa kUMkUMbUka kWa Mda MrEfu

hAVe fUn,Sh0w l0Ve kWa WAshkAji SPeNd MUda Na WaNa

tAfUta Mtu UNaYEMWaMin MUelEze hAri UNaY0Pitia tUMia Njia AMbAYo UMekUa Ukib0Nd sANa Na hUYo MWaNAdAda kAMa ilikUa Ni MeSEji,CAlls au kUkUtANa PhYSiCally fANya hiVyo Na hUYo Mtu(hAPa Pa WakUMUaMin Ni ViGUm kid0Go,Pia Ni Aibu kWa NaMna fUlANi kUelEza Y0te Ya M0Y0ni ila UNaWEza kUMtUMia Mtu MGeNi ASiYekUfAhAm ViZUri kWa MfANo MiMi tUMekUtANa hUMu jAMViNi)

hiVi kAribUni USiPeNde kWa dhAti,fANYa kUt0NG0za f0r lEiSUre,hili nA0Mba UlifANye hASWa( kiNa dAda MNiSaMEhe)
Ila NakUShAUri Ata bAda Ya hii hAri USiPENde hAWa WaNAWAke kWa ASiliMia 100 UkAjikAbidhi Au UkAWekEZa kWao

kAMa Ni ViGUm kUP0tEza NaMba zAke,kWa MfANo MPo W0te kWeNYe GrUp M0ja la WhAtSp AMbAlo Ni la MUhim sANa kUMbUkUMbu Ya jiNa lAke itAkAa ikikUuMiZa zAidi ChakUfANYa USifUte jiNa ikAbAki NAMba We fANYa kUMsAVe NeNo l0l0te(liSiWe jiNa la kiUMbe hAi,kEEp 0n ChANGing AftEr time) AjAri Ya tREn d0d0ma

lAZima ikUChUkUe MUda EVEry MAGic hAs PRiCe to PAy,USitEGEMEe tANGu UMUelEWe UMEPita MWaka Eti UMsAhAu kWa MWeZi Mm0ja hAPaNa(lAbda UWe UMekUfa)
SiNa EXPeRiENCe kWa WeNYe MiAka MiNGi hAo Wa ANniVERSAriEs Za MaElfu MAMia Na MakUMi Ya MiAka hUa iNakUWAjAGe kWao(hUa iNakUWAjAGe😊😊)
😊😊☺️ Mkuu umeandika mambo mazuri Ila uandishi wako umetumia herufi kubwa na ndogo pia kubananisha maneno pole mkuu
 
Ni kukubaliana na ukweli kwamba mambo yameshaisha na inabidi uendelee na maisha mengine
Nilikuwa na mtu nampenda mno ila baadae nikaona hatutaweza kufika popote nikaendelea na maisha mengine mpaka leo namuona kama kaka yangu tuu. Moyo wako ukubaliane na hali.
 
Na0Mba NiSikUfAriji hUt0ki lEo kWeNYe hiCho kiZiNGa
Ila kUElEkEa UNaP0PatAka sAsa, NikUShAUri

kUMbUka M0MeNts AMbAZo UlikUa hUMUWaz sANa kiPiNdi Mko PaM0ja,iShi kWeNYe hiZo EVENts

USif0RCe kUMSahAu kWAni Ndio AtAZidi kUkUuMiZa,iShi tu kAMa kAWAida ila EPUka C0NtACt NAe z0Z0te.kUM'aNGAlia,kUMtAfUta kWa SiMu,kUViEw PaGe ZAke Za MtANdAo

UkiWa PaM0ja Na MAbEStie zAke kUa Nao kWa UPeNdo,MkiAGaNa sAhAu kAbiSa kUhUs Wao USitAke kUa Na MAWaSiliANo Nao,YAsio Ya MUhimu

0NGeZa NGUVu Na jitihAda kWeNYe MAMbo UNaYo PENda WeWe,ViZUri YASiWe AMbAYo YANa kUkUMbUSha kUhUs YEYe aU UYafANYe kWeNYe MaZiNGira t0fAUti

kUMbUka Pia WeWe Ndie UNaMPeNda,kWahiVYo YEYe Ndie AMeP0tEza kUPeNdWa Sio WEWe

kUbAli kUPotEZa Ch0Ch0te AMbACho diReCtly kiNa kUPelEkEa kUMkUMbUka kWa Mda MrEfu

hAVe fUn,Sh0w l0Ve kWa WAshkAji SPeNd MUda Na WaNa

tAfUta Mtu UNaYEMWaMin MUelEze hAri UNaY0Pitia tUMia Njia AMbAYo UMekUa Ukib0Nd sANa Na hUYo MWaNAdAda kAMa ilikUa Ni MeSEji,CAlls au kUkUtANa PhYSiCally fANya hiVyo Na hUYo Mtu(hAPa Pa WakUMUaMin Ni ViGUm kid0Go,Pia Ni Aibu kWa NaMna fUlANi kUelEza Y0te Ya M0Y0ni ila UNaWEza kUMtUMia Mtu MGeNi ASiYekUfAhAm ViZUri kWa MfANo MiMi tUMekUtANa hUMu jAMViNi)

hiVi kAribUni USiPeNde kWa dhAti,fANYa kUt0NG0za f0r lEiSUre,hili nA0Mba UlifANye hASWa( kiNa dAda MNiSaMEhe)
Ila NakUShAUri Ata bAda Ya hii hAri USiPENde hAWa WaNAWAke kWa ASiliMia 100 UkAjikAbidhi Au UkAWekEZa kWao

kAMa Ni ViGUm kUP0tEza NaMba zAke,kWa MfANo MPo W0te kWeNYe GrUp M0ja la WhAtSp AMbAlo Ni la MUhim sANa kUMbUkUMbu Ya jiNa lAke itAkAa ikikUuMiZa zAidi ChakUfANYa USifUte jiNa ikAbAki NAMba We fANYa kUMsAVe NeNo l0l0te(liSiWe jiNa la kiUMbe hAi,kEEp 0n ChANGing AftEr time) AjAri Ya tREn d0d0ma

lAZima ikUChUkUe MUda EVEry MAGic hAs PRiCe to PAy,USitEGEMEe tANGu UMUelEWe UMEPita MWaka Eti UMsAhAu kWa MWeZi Mm0ja hAPaNa(lAbda UWe UMekUfa)
SiNa EXPeRiENCe kWa WeNYe MiAka MiNGi hAo Wa ANniVERSAriEs Za MaElfu MAMia Na MakUMi Ya MiAka hUa iNakUWAjAGe kWao(hUa iNakUWAjAGe😊😊)
Point nzuri ila uandishi sasa
Tigo wanakopesha simu kwa kianzio kidogo sana mkuu kajipatie simu ya mkopo
 
ilikua inapita siku tatu sijala chochote.
1729149946343.jpg
 
Na0Mba NiSikUfAriji hUt0ki lEo kWeNYe hiCho kiZiNGa
Ila kUElEkEa UNaP0PatAka sAsa, NikUShAUri

kUMbUka M0MeNts AMbAZo UlikUa hUMUWaz sANa kiPiNdi Mko PaM0ja,iShi kWeNYe hiZo EVENts

USif0RCe kUMSahAu kWAni Ndio AtAZidi kUkUuMiZa,iShi tu kAMa kAWAida ila EPUka C0NtACt NAe z0Z0te.kUM'aNGAlia,kUMtAfUta kWa SiMu,kUViEw PaGe ZAke Za MtANdAo

UkiWa PaM0ja Na MAbEStie zAke kUa Nao kWa UPeNdo,MkiAGaNa sAhAu kAbiSa kUhUs Wao USitAke kUa Na MAWaSiliANo Nao,YAsio Ya MUhimu

0NGeZa NGUVu Na jitihAda kWeNYe MAMbo UNaYo PENda WeWe,ViZUri YASiWe AMbAYo YANa kUkUMbUSha kUhUs YEYe aU UYafANYe kWeNYe MaZiNGira t0fAUti

kUMbUka Pia WeWe Ndie UNaMPeNda,kWahiVYo YEYe Ndie AMeP0tEza kUPeNdWa Sio WEWe

kUbAli kUPotEZa Ch0Ch0te AMbACho diReCtly kiNa kUPelEkEa kUMkUMbUka kWa Mda MrEfu

hAVe fUn,Sh0w l0Ve kWa WAshkAji SPeNd MUda Na WaNa

tAfUta Mtu UNaYEMWaMin MUelEze hAri UNaY0Pitia tUMia Njia AMbAYo UMekUa Ukib0Nd sANa Na hUYo MWaNAdAda kAMa ilikUa Ni MeSEji,CAlls au kUkUtANa PhYSiCally fANya hiVyo Na hUYo Mtu(hAPa Pa WakUMUaMin Ni ViGUm kid0Go,Pia Ni Aibu kWa NaMna fUlANi kUelEza Y0te Ya M0Y0ni ila UNaWEza kUMtUMia Mtu MGeNi ASiYekUfAhAm ViZUri kWa MfANo MiMi tUMekUtANa hUMu jAMViNi)

hiVi kAribUni USiPeNde kWa dhAti,fANYa kUt0NG0za f0r lEiSUre,hili nA0Mba UlifANye hASWa( kiNa dAda MNiSaMEhe)
Ila NakUShAUri Ata bAda Ya hii hAri USiPENde hAWa WaNAWAke kWa ASiliMia 100 UkAjikAbidhi Au UkAWekEZa kWao

kAMa Ni ViGUm kUP0tEza NaMba zAke,kWa MfANo MPo W0te kWeNYe GrUp M0ja la WhAtSp AMbAlo Ni la MUhim sANa kUMbUkUMbu Ya jiNa lAke itAkAa ikikUuMiZa zAidi ChakUfANYa USifUte jiNa ikAbAki NAMba We fANYa kUMsAVe NeNo l0l0te(liSiWe jiNa la kiUMbe hAi,kEEp 0n ChANGing AftEr time) AjAri Ya tREn d0d0ma

lAZima ikUChUkUe MUda EVEry MAGic hAs PRiCe to PAy,USitEGEMEe tANGu UMUelEWe UMEPita MWaka Eti UMsAhAu kWa MWeZi Mm0ja hAPaNa(lAbda UWe UMekUfa)
SiNa EXPeRiENCe kWa WeNYe MiAka MiNGi hAo Wa ANniVERSAriEs Za MaElfu MAMia Na MakUMi Ya MiAka hUa iNakUWAjAGe kWao(hUa iNakUWAjAGe😊😊)
Mkuu katika swala la mahusiano wewe ni Elite.

Ushauri ni mzuri sana huu.
 
Assume unaona jinsi anavyokuacha, inama ulie utoe machozi mengi, ulieee kisha unamaze kutwa mara 3 haichukui muda utakua sawa.
Kila kitu kinapita, itakuja furaha itapita, yatakuja machungu/ yatapita, imekuja huzuni, nayo ni ya muda mfupi wala haiwezi kudumu.
Udanganye ubongo wako
 
Back
Top Bottom