Uliwezaje kufanikiwa ikiwa umetokea kwenye familia masikini na duni au kuanza maisha 2-0?

Uliwezaje kufanikiwa ikiwa umetokea kwenye familia masikini na duni au kuanza maisha 2-0?

umeongea point sana determination na descipline ndo kitu kinatuumiza sana pia ukiwa na courage ambapo courage inabeba hardworking.Na kusali sana kwa imani yako kwangu mimi naona ndo outputs utaziona umetisha sana
Much appreciation ✌️ Sir 🙏
 
Bila shaka kufanikiwa kwa mtu katika maisha inategemea mambo mengi sana na jambo mojawapo muhimu ni aina ya familia anayotoka.

Kwa watu wanaozaliwa katika familia tajiri "silver spoon" zenye kipato kizuri kutokufanikiwa ni wao waamue wenyewe kuharibu ila kwa wale wanaotoka katika familia maskini zenye kipato cha chini cha kuganga njaa tu maisha yasogee, zisizo na ardhi au mtaji, zisizo na elimu au koneksheni za maana njia ya mafanikio huwa ni jasho na damu, kama ni mchezo wa mpira tungesema wanaoanza maisha wakiwa nyuma 0-2 ,0-3 wakati wenzao wa familia bora wakiwa wanaongoza 2-0 na familia za kawaida 0-0

Uliwezaje kufanikiwa ikiwa umetokea familia masikini huku ukiwasadia baba, mama, kaka, dada, wajomba, shangazi, wapwa n.k wanaokutegema na kuhitaji msaada wako kuweza kujikimu? Mbinu gani ulitumia?
Japo kweli ni suala gumu kutokana na mzigo wa wategemezi kuwa mzito lakini unatakiwa kuwa bahili kwa muda utakaojiwekea halafu baadae utawasaidia hao ndugu ukiwa na ziada(yaani tayari umeshakuwa na msingi) vinginevyo punda atakufa na mzigo hautafika.
 
Back
Top Bottom