CHASHA FARMING
JF-Expert Member
- Jun 4, 2011
- 7,872
- 9,263
Hao wafanyabiashara wote wanafanyaje biashara?Kujiajiri kunatokana na kuona kitu ambacho wengine hawakioni. Ni kujikana na kuona kila changamoto ni hatua kufikia mafanikio. Ktk nchi ya Tanzania the big Challenge is taxation. Wakati ukiwaza ufanye nini TRA wao wanawazakukukamua kodi.
Mkuu miaka mitatu ni mingi sana hasa unapokuwa ktk taifa kama hili letu,kumbuka kama leo tu-assume ana 3mill kwa sasa akikaa mpaka 2021 akiitia sokoni itaonekama kama 300k kulingana na kila siku kodi za vitu zinapandishwa pia fursa aliyoiona itakuwa imeshapotea.Nakushauri tafuta course inakayokujengea knowledge ya biashara zaid.Miaka 3 sio mingi wakati unazidi kujenga idea's zaidi ndipo ujiajiri.Utajifunza kutengeneza business plan,Jinsi ya kumanage kodi,utunzaji fedha kitaalam nk. Umesoma combination gn advance
Kwako wewe mkuu. Biashara inahitaji Ubunifu wa kipekee kabisa. Kama unafanya kile ambacho kila mtu anafanya tegemea ugumu sana.Nilijiajiri, lkn kwa msoto wa magufuli biashara zimeparanganyika.
Sasa nakula tu akiba na hesabu za kirikuu changu.
Nafikiria kuanza kuomba kazi.
Biashara kipindi hiki ni pasua kichwaaa
lakin si umefanya kazi kwanza ya kuajiriwa ndo ukapata mtaji?Mm niliajiriwa na kampun moja ya internet kama sale, wanilipa vizur sana lakin kazi ilikuwa ngumu sana unatembea kutafuta wateja mwezi mzima bila kupumzika
Nilikaa chini na kutafakar sana kama natafuta wateja kwa nguvu ivi mwisho wa siku wateja wanakuwa wa kampuni so nikifukuzwa kazi basi sipati ela na wateja wote ni mali ya kampuni
Nikaona ni ujinga sana kuwatajirisha watu wengine
Nikaacha kazi na kufungua duka kariakoo kwa ela nilizokuwa napata kwny ile kampun
Now naenda china kila baada ya miezi mwili naela na ninawateja wangu wakununua mzingo ninayoleta na niafurahi coz nitakuwa na wateja hao mpaka uzee na kumwachia mwanagu biashara.
Acha kufanya kazi kwa manufaa ya watu wengine fikir kuhusu ww pia na watoto wako pia
Utakufa masikini coz mtoto wako pia anabidi akaombe kazi pia coz huna ata duka la kumuajir
Wahindi ndio maana wanatuzidi kila siku
Nimesoma Shaban Robert na wahindi kibao lakin hakuna ata moja namuona anaagaika na kazi za watu unaona wanaendesha maoffice ya wazazi wao ama ndugu zao sisi kazi kutafuta kazi
Hapa nilipo hata sijui cheti changu cha degree nimeweka wapi coz nimuda sijawai kukitafuta
Kama miaka mitatu sasa sijawai kukiona coz sina time nacho kabisa
UKitaka kufanikiwa vizuri maishani, tengenevyo vyanzo vitatu vinavyotokana na:-Wakuu mje kunitia moyo. Mimi nimemaliza form six mwaka huu. Ila naona ndoto yangu ya ujasiriamali ni kubwa kuliko kupoteza miaka 3 chuo na kozi zisizona uhalisia.
Inachukuwa muda sana na kama huna subira endelea kuajiriwa tu...ni vita kabambe ya kukukomboa kiuchumi, yahitaji umakini, ukakamavu na ujemedari uliotukuka..kujiajiri ni passion ya ujasiriamali zaidi than kuwaza kipato... maana inachukua muda kuanza kupata faida kubwa
Kiualisia ni Miaka Mingi lkn Inajenga Experience nzuri unajifunza kuwa agressive na persistence sbbu Business is Simple but not easy nlivyoanza miez 3 ya kwanza ilikuwa horrible..nlikosa mpka hela ya luku nkikaa Mwezi nakwepa Bar..fixed cost na kodi zilinikatisha tamaa lakini nlijua lazima itakuwa hvyo Nmesoma Bcom na PG cert Nyingne ila ujuzi wa miaka 3 imenifungua sana.Ss naona mwanga mkubwa yaaanMkuu miaka mitatu ni mingi sana hasa unapokuwa ktk taifa kama hili letu,kumbuka kama leo tu-assume ana 3mill kwa sasa akikaa mpaka 2021 akiitia sokoni itaonekama kama 300k kulingana na kila siku kodi za vitu zinapandishwa pia fursa aliyoiona itakuwa imeshapotea.
Ujasiriamali unabeba vyote hapo....ila ndani ya ujasiriamali utaamua ufanye vyote au kimoja wapo.UKitaka kufanikiwa vizuri maishani, tengenevyo vyanzo vitatu vinavyotokana na:-
1: KILIMO
2: Ujasiriamali
3: Taaluma.
Ukichanganya hivyote vitatu, hutokuwa maskini kamwe.
mdogo angu umeshavuka viwango vingineeeKwangu mm vitu ni vingi mnooo vilivyopelekea kuvitunza vyeti vyangu kwenye sanduku LA chuma,..lakini hivi ndivyo nilianza navyo;
•Uthubutu
•Kuvua aibu/kutojali nitaonekanaje
•Kujiamini kuwa nitaweza
•Hamu ya kutimiza malengo..n.k.
Familia yetu kwa asilimia 95 tumelelewa na mama kwa ukaribu sana, ilifikia hatua nikawa sina urafiki na mzee.Ni utumwa sana unashindwa kukaa karibu na familia kisa kazi za watu, ni bora uwe mbali na familia kwa kitu ulichojiajiri mwenyewe kuliko kaz ya kuajiria
Ukijiajiri siri kubwa ambayo nilishaiona mwanzoni ni kukubali kuteseka ili kulijenga jina, baadae ukitambulika unageuka mfano kwa jamii yakokujiajir mwanzo mgumuuu hatari unakua hamna faida unayopata mpk ukae vzr
.............Una maana gani mkuu!!!au sijaelewa?Kuwa mbali kwa muda kwa biashara yako ni sawa, lakini kuwa mbali kwa muda wote, kwa ajili ya biashara yako, bado ni sawa na utumwa wa kazi ya kuajiliwa.
Mungu ni muaminifu siku zote...nataka uje tushuhudie wote mambo makuu Mungu anayotutendea.mdogo angu umeshavuka viwango vingineee
Aminaa ntakuja kuona .Mungu ni muaminifu siku zote...nataka uje tushuhudie wote mambo makuu Mungu anayotutendea.
Eimeen!!!Aminaa ntakuja kuona .
Kwamba kabla ya hata kumaliza msimu tayari amepata vyote hivyo, ngumu kuamini.kuna competent doctor mmoja ameacha kazi na kuamua kuwa mkulima watu hawamuelewi wanamwita chizi
ila tangu ameacha kazi mpaka sasa haujapita mwaka ameshaweza kumiliki mashamba kadhaa ana trkekta la kukodisha na kutumia kwenye shughuli zake na ana scania tayari kwa ajili ya kudistribute bidhaa zake jamaa namuona mbali sana ndani ya miaka mitano ijayo.
i mean hana mwaka ameacha kazi.shamba la kuanzia lina kama miaka kama minneKwamba kabla ya hata kumaliza msimu tayari amepata vyote hivyo, ngumu kuamini.
Anyway mtu kuamua kufanya jambo usije muiga ukidhani nawe utapita katika njia ileile alopita, kila mtu hujua amefanya nini kufanikisha yale yanayoonekana na wengi wetu huwa tunazungumzia mafanikio tunayoyaona bila kujua nini kipo nyuma yake.
but nadhan alikuwa na others sources of income hta reserve alikuwa nayo coz ni vigum sana kuamini mafanikio ya mda mfupi kis hchoi mean hana mwaka ameacha kazi.shamba la kuanzia lina kama miaka kama minne
jamaa ana kuku,mbuzi bata mzinga,kondoo,ng'ombe'anafuga samaki anatoa ushauri kwa wakulima wenzie,anahamasisha watu wale matunda kwa afya. jamaa namkubali kinoma though kwao ni wakulima pure so yeye anafanya kisomi