TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 28,186
- 15,549
HakusameheSamehe Kama masanja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HakusameheSamehe Kama masanja
Hata kama mmeumbwa kucheat ndio na rafiki wa mke wako jmnSasa huyo mwanamke atapata wapi mwanaume asiecheat[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Na yeye mfukunyuku mpaka amejua angetulizanaa tuh... anyway aachane na rafiki ake azidi kumpenda mumeweee
Dah!Ndo muache kuleta uzungu kwa ngoz nyeusi,mambo ya family friend waachien wazungu...ABIRIA CHUNGA MZIGO WAKO!!![sauti ya mtu aliae nyikani]
Siku ukute mbuzi na majani wanapiga story neverHakunaga mazoea ya kawaida eti baina ya mwanamke na mwanaume!!
Haipogo hioo
Naomba wanawake mtuelewe hapaIt's a nature,inaaminika kuwa mwanamke akichepuka amependa kutoka moyoni,so kubadili msimamo wake ni ngumu,lkn mwanaume anachepuka kwa tamaa tu,ndio maana kuna wanaume wengine ni wachepukaji sana lkn hasahau familia yake kamwe
Kawaida tu hiyo, ni tukio fulani amazing sana kupiga shoo na rafiki ya demu wako. Ni mojawapo ya shoo nazipenda sanaHata kama mmeumbwa kucheat ndio na rafiki wa mke wako jmn
Kimsingi unapomtambulisha rafiki yako kwa mwanafamilia wako yeyote wa jinsia tofauti UNAWASAIDIA HATUA YA KWANZA YA KUTONGOZANA..Kuchitiwa kunauma ila kuchitiwa na rafiki kunauma zaidi.....
Kuhusu cha kufanya I reserve my comment [emoji16] sitaki kuchafua hali ya hewa.
Hapo kwa mizigo iliyo ndani vipi kuhusu iliyo kwenye buti..?Ndo muache kuleta uzungu kwa ngoz nyeusi,mambo ya family friend waachien wazungu...ABIRIA CHUNGA MZIGO WAKO!!![sauti ya mtu aliae nyikani]
Hiyo hiyo jamii inaweza kukujenga na kukuinua kipindi cha maumivu-kila jambo kina mwisho wakeWanawake mbona mnaweza kabisa kusamehe,ajifariji tu wanaume hawaridhiki.
Ni wanaume tu ndiyo hatuwezi kusamehe usaliti na ukijikaza ukaweza hata jamii inayokuzunguka inakuona spark plugs kichwani kwako zimeungua.
Huyo mwanamke mjinga hakuna kitu kinaitwa urafiki wa kweli kuna urafiki, fursa ya wakati na hali ya nyakati. Atubu yeye Kwa kosa alilofanya na uzembe wake. Hata mimi mwanamke wangu akinisogezea mbususu kali halafu yenye muonekano wa Radha kama yake simuachi nalamba. A friend is longtime future enemy and an enemy is the next saviorNi wiki mbili sasa tangu bidada agundue mme wake anauhusiano wa kimapenz na rafiki yake wa miaka mingi...
Mdada alikua na rafiki yake tangu 2009 ambapo walikutana chuo wakawa marafiki wakaribu sana mpaka wakaitwa mapacha kwan hata nguo walikua wanavaa za kufanana ....
Kila mmoja aliweza kwenda kwao na mwenzie kufikia hatua mpaka wazazi wakawa wanafahamiana ...
Badae wote walipata familia ...2019 bidada huyu alimkaribisha mwenzie nyumban kwake mkoa mwingine alipokua ameolewa akaenda kumsalimia kama familia wakamchinjia mbuzi.... Kama miez miwili hv bidada akashangaa ukaribu wa mawasiliano aliokua nao na rafiki yake ukapungua bila sababu ya msingi...
Kama wiki mbili zilizopita ndio akakuta chating kwenye cm ya mume wake za mapenz baina yake na mume wake. Mume anaomba msamaha tu yaishe alipitiwa ...rafiki mtu ndio hapokei cm kabisaa...
Mdada anshindwa kabisa kumsamehe mwanaume anajikuta roho inamuuma tu kila akifikiria ukaribu aliokua nao na rafiki yake wa miaka 13 umevunjika kijinga sana ....
Uliwezaje kumsamehe mwenzie wako ulipogundua kakusaliti?
Haipogo hio ni lazima tu mmoja aliwe!!Siku ukute mbuzi na majani wanapiga story never
Zobaaaaaaa!!!
Mi nitamsamehe kama atanipa mbususu kwa ile staili ya mtumbwi wavuta meli aliyojifunzia kwa mchepukoUkifumwa tu ujue no retreat no excuse
ha haa haaa ikoje hiyo kwaniMi nitamsamehe kama atanipa mbususu kwa ile staili ya mtumbwi wavuta meli aliyojifunzia kwa mchepuko