Uliwezaje kumsamehe mke/mme wako baada ya kugundua kakusaliti?

Uliwezaje kumsamehe mke/mme wako baada ya kugundua kakusaliti?

Sasa huyo mwanamke atapata wapi mwanaume asiecheat[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Na yeye mfukunyuku mpaka amejua angetulizanaa tuh... anyway aachane na rafiki ake azidi kumpenda mumeweee
Hata kama mmeumbwa kucheat ndio na rafiki wa mke wako jmn
 
Ndo muache kuleta uzungu kwa ngoz nyeusi,mambo ya family friend waachien wazungu...ABIRIA CHUNGA MZIGO WAKO!!![sauti ya mtu aliae nyikani]
 
Siwezi kumsamehe msaliti oyaaaaa ukimwi mbaya jaman
 
It's a nature,inaaminika kuwa mwanamke akichepuka amependa kutoka moyoni,so kubadili msimamo wake ni ngumu,lkn mwanaume anachepuka kwa tamaa tu,ndio maana kuna wanaume wengine ni wachepukaji sana lkn hasahau familia yake kamwe
Naomba wanawake mtuelewe hapa
 
Kuchitiwa kunauma ila kuchitiwa na rafiki kunauma zaidi.....

Kuhusu cha kufanya I reserve my comment [emoji16] sitaki kuchafua hali ya hewa.
Kimsingi unapomtambulisha rafiki yako kwa mwanafamilia wako yeyote wa jinsia tofauti UNAWASAIDIA HATUA YA KWANZA YA KUTONGOZANA..

Endapo mmoja akimtaka mwingine. inakuwa simple mno. Kwa sababu umewafanya waaminiane, umewaunganisha.

Imagine rafiki yako anajua jinsi gani mumeo/mkeo alivyo mwema, anavokujali, hadi vile anavyotaka sebuleni na hata kitandani, vyote umemsimulia. Kwanini asitamani viwe vyake??

Tufanye nini, usiwe mwepesi kumsifia saaaana rafiki kwa wanafamilia wako, hasa wa jinsia tofauti. Usiwarahisishie ukaribu.

Hii itapunguza kitu.. japo haiondoi kabisa
 
Ndo muache kuleta uzungu kwa ngoz nyeusi,mambo ya family friend waachien wazungu...ABIRIA CHUNGA MZIGO WAKO!!![sauti ya mtu aliae nyikani]
Hapo kwa mizigo iliyo ndani vipi kuhusu iliyo kwenye buti..?
 
Wanawake mbona mnaweza kabisa kusamehe,ajifariji tu wanaume hawaridhiki.

Ni wanaume tu ndiyo hatuwezi kusamehe usaliti na ukijikaza ukaweza hata jamii inayokuzunguka inakuona spark plugs kichwani kwako zimeungua.
Hiyo hiyo jamii inaweza kukujenga na kukuinua kipindi cha maumivu-kila jambo kina mwisho wake
 
Ni wiki mbili sasa tangu bidada agundue mme wake anauhusiano wa kimapenz na rafiki yake wa miaka mingi...
Mdada alikua na rafiki yake tangu 2009 ambapo walikutana chuo wakawa marafiki wakaribu sana mpaka wakaitwa mapacha kwan hata nguo walikua wanavaa za kufanana ....
Kila mmoja aliweza kwenda kwao na mwenzie kufikia hatua mpaka wazazi wakawa wanafahamiana ...
Badae wote walipata familia ...2019 bidada huyu alimkaribisha mwenzie nyumban kwake mkoa mwingine alipokua ameolewa akaenda kumsalimia kama familia wakamchinjia mbuzi.... Kama miez miwili hv bidada akashangaa ukaribu wa mawasiliano aliokua nao na rafiki yake ukapungua bila sababu ya msingi...

Kama wiki mbili zilizopita ndio akakuta chating kwenye cm ya mume wake za mapenz baina yake na mume wake. Mume anaomba msamaha tu yaishe alipitiwa ...rafiki mtu ndio hapokei cm kabisaa...
Mdada anshindwa kabisa kumsamehe mwanaume anajikuta roho inamuuma tu kila akifikiria ukaribu aliokua nao na rafiki yake wa miaka 13 umevunjika kijinga sana ....

Uliwezaje kumsamehe mwenzie wako ulipogundua kakusaliti?
Huyo mwanamke mjinga hakuna kitu kinaitwa urafiki wa kweli kuna urafiki, fursa ya wakati na hali ya nyakati. Atubu yeye Kwa kosa alilofanya na uzembe wake. Hata mimi mwanamke wangu akinisogezea mbususu kali halafu yenye muonekano wa Radha kama yake simuachi nalamba. A friend is longtime future enemy and an enemy is the next savior
 
Wanaume wengine huwa hatuelewani katika hili na sijui kwa nini. Iko hivi nalirudia hili na sitachoka kulirudia.
👇

KOSA LA MWANAMKE KU CHEAT HALISAMEHEKI, HALIVUMILIKI WALA HALINA NAFASI YA MSAMAHA HATA KWA BAHATI MBAYA.

HALISAMEHEKI, HALISAMEHEKI.

Wanaume sijui mnanielewa hapo? Sijui nitumie lugha gani
 
Back
Top Bottom