Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,223
- 96,083
Nije Kimara au utakuja Bunju?ha haa haaa ikoje hiyo kwani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nije Kimara au utakuja Bunju?ha haa haaa ikoje hiyo kwani
Sawa Masanja.Hakusamehe
ha haaa sitaki sambiNije Kimara au utakuja Bunju?
Mbona unachanganyikiwa [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Wanawake mbona mnaweza kabisa kusamehe,ajifariji tu wanaume hawaridhiki.
Ni wanaume tu ndiyo hatuwezi kusamehe usaliti na ukijikaza ukaweza hata jamii inayokuzunguka inakuona spark plugs kichwani kwako zimeungua.
Nadhani kwa hili mwanaume mwenzetu kakosea sana tena sanaHata kama mmeumbwa kucheat ndio na rafiki wa mke wako jmn
Kweli kabisaUnasalitiwa na unasamehe una akili wewe? Makosa yanayo sameheka ni kuzidisha chumvi na kuunguza mboga na siyo makosa ya usaliti
PointSijui kwa nini watu wanaona kusamehe dhambi ya usaliti ni kawaida tena kwa watu walio kwenye ndoa.
Unapoingia kwenye ndoa ni umeamua kuwa na huyo mtu wako ndio maana mnakula viapo iwe kidini au kimila.
Dhambi ya usaliti haina msamaha. Mimi siku nachukua mke niliwaambia wazazi wa pande zote. Mmoja wetu akionekana msaliti itakua mwisho wa ndoa na hakuta kua na vikao. Wote tukakubaliana
Alipitiwa na shetaniHata kama mmeumbwa kucheat ndio na rafiki wa mke wako jmn
Mh dadavua kdgUyo hajasamehe...issue alikua anaijua dunia nene hiii
Kwa sababu gan?Mie binafsi sijaona usaliti hapo-mwanamke ndio anasaliti sio Mwanaume.
ya kwenye buti hio let the nature take care of.....USIMWAMINI MTU!!Hapo kwa mizigo iliyo ndani vipi kuhusu iliyo kwenye buti..?
Ha ha haya kwenye buti hio let the nature take care of.....USIMWAMINI MTU!!