Uliwezaje kumsamehe mke/mme wako baada ya kugundua kakusaliti?

Kati ya tiba nzuri sana ya moyo ni kusamehe au kupotezea...

Ukiishi na makosa ya mtu moyoni, kifuatacho ni kypata magonjwa yasiyo na majina wakati mkosaji akiishi kwa furaha tele...

Sana sana ukiona maji mazito, piga chini uishi kwa amani...wachuchu wapo wengi tu
 
[emoji119][emoji119]
 
Duuh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…