Uliwezaje kutengeneza laki mbili kwa siku?

Uliwezaje kutengeneza laki mbili kwa siku?

Mkuu twende hivi,
Tsh200,000 kwa siku maana yake ni Tsh600,000 kwa mwezi.


Sasa kwa mfuko wa bond fund UTT ili upate. Profit kwa mwezi mil sita sawa na 0.9% ya mtaji, hivyo yakupasa kuwa na Capita ya mil 670 Tsh. Sawa na dola292k

Mil 670, fanya tu hivi, nunua instant account kwa prop firm ya Dola 10000, then itrade Hadi Dola 292k ,ukifikisha usipoteze muda chomoa kwenda bank account then hamishia UTT.ukifanikiwa tu, basi utakuwa unapokea gawio la 6mil miaka yote utakayoishi duniani.sawa na 200k kwa mwezi.. provided capital Yako IPO palepale.
Hii hesabu ya dunia gani?
 
insta acc unafanyaje business au unamaanisha forex acc
mkuu ni forex sema unaifanya kupitia prop firms, mfano kuna finotive funding wana account za instant zina bei zake hakuna cha kufanya challenge so wewe unachotakiwa kufanya ni kucontrol risks ili usipoteze account.ukiwa na 100k account instant na ukamanage drowdown vizuri kutoboa ni kugusa, simanisha ni simple hapana na kupoteza pia ni simple tu.
 
unashangaa milioni kuna watu sales zao kwa siku zinafika 100m


haya unafanya biashara gani? tuangalie kama inaweza leta hiyo 200k au kutuchosha tu
 
Ukiwa na mtaji wa $10,000 kwenye account yako ya forex, kutengeneza laki 3 kwa siku ni kama kunywa maji tu.
ikifa je?
halafu $10k sawa na Tsh.25m
investment ya 25m kupata faida ya 300k inawezekana tena biashara ambazo hazina risk kama forex


NB: risk takers always win
 
Back
Top Bottom